Time Travel Kwenye Ndoto

Duuh! swali gumu ni hilo sasa je, yapi ni maisha halisi?
kweli mkuu, maana ki uhalisia mtu ukiwa ndotoni ni ngumu sana kujua kama unaota(bali utaona kila kitu kipo katika uhalisia wake,kuanzia mazingira,watu,na shughuli zote zinazoendelea zipo kawaida kama haya maisha yetu ya jf,bali utofauti utakaokuwepo ni swala mda na wakati, kuhusu mda ni kwamba kila kitu kinafanyika/kutendeka papo kwa hapo, ama kufumba na kufumbua, kwa mfano ukiwa ndotoni labda ukawaza kwenda mahali tofauti na hapo ulipo utajikuta mda huohuo umefika mahali ulipokusudia, haijawahi kukutokea!? na kuhusu swala la wakati kwenye ndoto huwa halipo unaweza ukajiona umezaliwa umekua umekufa kwa wakati huohuo,ama unaweza kuishi nyakati tofauti kwa kufumba na kufumbua, ) na kama itatokea ukafanya jambo au kitu kufanyika juu yako na ukaamini 100% sio la kweli au likaleta mshangao wa kutolielewa wala kufikirika ni lazima utashituka/kuamka, kwa mfano labda unaota unakimbizwa au unataka kufa nawe ukakinzana na hiyo hali je hujikuti umeshituka ghafla usingizini!?

Kwa mtazamo na fikra zangu maisha halisi yapo katikati ya maisha haya tuliyonayo hapa jf na maisha ya ndotoni, leo usiku ukilala au kwa wakati wako wowote utakaoamua kulala ile hali itakayokuwepo katikati baada ya kuuacha huu uhalisia wa jf na kabla hujaingia ndotoni mi ndio fikra zangu zinanituma hayo ndio maisha halisi
 
(It's true my self)

Habari wakuu,
Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo mbalimbali. Naomba mchango wa mawazo / maono/ Tafsiri zenu juu ya ndoto yangu hii.

Niende mmoja kwa moja kwenye Mada.

Jana usiku nimechelewa Sana kulala na nilikuwa Nina uchovu mwingi sana. Nimelala ya pata kama vile Saa 7:30 ambapo Sio kawaida yangu.
,,,Jinsi nilivyo lala na kuanzia kuota sikumbuki,, nimekuja tu kupata Ufahamu kuwa nipo mwaka 1973 (mwaka ambapo bado hata sijazaliwa). Na nilijua tu bila kuambiwa na mtu kuwa huu ni mwaka 1973, kwa kujiridhisha nikawauliza tena watu wawili waliokua karibu yangu kuwa eti jamani huu ni mwaka gani wakaniambia tena kwa kunishangaa, we vipi, umeshapoteza kumbukumbu? Tumeingia mwaka 1973 - 72 tumeiacha wiki mbili zilizopita.

Chaajabu nilikuwa sijui wala sitambui kama naota nilikuwa najua nipo kwenye uhalisia ila kilichonishangaza zaidi nilikuwa nikiwaona watu am so sasa hivi ni watu wazima/ wengine wazee/ wengine walishakufa namaeneo na mitaa (ambayo haina hata lami kwa sasa ina lami na imejengeka) naishangaa Sana na kujiuliza kuwa hawa watu mbona kama nilishawahi kuwaona some where ila sikumbuki nibwapi! Hizi Barabara zenye vumbi na mitaa mingine haina hata nyumba nyingi nikiiona naikumbuka najiuliza hii mitaa mbona kama nilishawahi kuiona hapo kabla ila sikumbuki ni wapii,,!?

Ghafla nilianza kuwaona watu kwenye uhalisia wa maisha yao ya enzi zilee...!!
Nilianza kutembea kwenye mitaa mbalimbali nikianza kuyafananisha maeneo ambayo kama nayakumbuka vile ila sijui niliwahi kuyaona wapi. Nakumbuka katika tembea tembea nikakutana na Jamaa mmoja ni jirani yangu (sasa hivi ni mbaba mtu mzima) maeneo ya nyumbani kwake anayoishi, ila chaajabu eti amerudi ujanani, nikamsalimia kwa kumchangamkia ila alikuwa ananishangaa kuwa nimemjuaje wakati yeye hanijui na hanikumbuki kwa kuwa nilimtaja na jina kabisa kwenye salamu. Nilimuuliza unamjua fulani (jinalangu- ambae ndio Mimi) akasema mbona simjui? Na wakati huku kwenye uhalisia ni jamaa yangu na tunapigaga nae stori

Nili experience mazingira mengi ambayo sijawai yaona na siwezi yaelezea yote. Ila picha zilivyo kuwa zinaonekana zingine ni kama kwenye mfano wa negative photograph.

Naombeni msaada wakuu hiyo ni ndoto ya aina gani? Na inavyjumbe gani?
(Tambua nilikuwa sikumbuki kwamba nimo kwenye ndoto au hapa naota Hapana, nilipo shtuka tu ndio nikajua kumbe nilikuwa naota!)

Msaada wakuu
Mshana Jr Rakims Undava King msafiri.razaro MziziMkavu na wengineo

(It's true my self)

Habari wakuu,
Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo mbalimbali. Naomba mchango wa mawazo / maono/ Tafsiri zenu juu ya ndoto yangu hii.

Niende mmoja kwa moja kwenye Mada.

Jana usiku nimechelewa Sana kulala na nilikuwa Nina uchovu mwingi sana. Nimelala ya pata kama vile Saa 7:30 ambapo Sio kawaida yangu.
,,,Jinsi nilivyo lala na kuanzia kuota sikumbuki,, nimekuja tu kupata Ufahamu kuwa nipo mwaka 1973 (mwaka ambapo bado hata sijazaliwa). Na nilijua tu bila kuambiwa na mtu kuwa huu ni mwaka 1973, kwa kujiridhisha nikawauliza tena watu wawili waliokua karibu yangu kuwa eti jamani huu ni mwaka gani wakaniambia tena kwa kunishangaa, we vipi, umeshapoteza kumbukumbu? Tumeingia mwaka 1973 - 72 tumeiacha wiki mbili zilizopita.

Chaajabu nilikuwa sijui wala sitambui kama naota nilikuwa najua nipo kwenye uhalisia ila kilichonishangaza zaidi nilikuwa nikiwaona watu am so sasa hivi ni watu wazima/ wengine wazee/ wengine walishakufa namaeneo na mitaa (ambayo haina hata lami kwa sasa ina lami na imejengeka) naishangaa Sana na kujiuliza kuwa hawa watu mbona kama nilishawahi kuwaona some where ila sikumbuki nibwapi! Hizi Barabara zenye vumbi na mitaa mingine haina hata nyumba nyingi nikiiona naikumbuka najiuliza hii mitaa mbona kama nilishawahi kuiona hapo kabla ila sikumbuki ni wapii,,!?

Ghafla nilianza kuwaona watu kwenye uhalisia wa maisha yao ya enzi zilee...!!
Nilianza kutembea kwenye mitaa mbalimbali nikianza kuyafananisha maeneo ambayo kama nayakumbuka vile ila sijui niliwahi kuyaona wapi. Nakumbuka katika tembea tembea nikakutana na Jamaa mmoja ni jirani yangu (sasa hivi ni mbaba mtu mzima) maeneo ya nyumbani kwake anayoishi, ila chaajabu eti amerudi ujanani, nikamsalimia kwa kumchangamkia ila alikuwa ananishangaa kuwa nimemjuaje wakati yeye hanijui na hanikumbuki kwa kuwa nilimtaja na jina kabisa kwenye salamu. Nilimuuliza unamjua fulani (jinalangu- ambae ndio Mimi) akasema mbona simjui? Na wakati huku kwenye uhalisia ni jamaa yangu na tunapigaga nae stori

Nili experience mazingira mengi ambayo sijawai yaona na siwezi yaelezea yote. Ila picha zilivyo kuwa zinaonekana zingine ni kama kwenye mfano wa negative photograph.

Naombeni msaada wakuu hiyo ni ndoto ya aina gani? Na inavyjumbe gani?
(Tambua nilikuwa sikumbuki kwamba nimo kwenye ndoto au hapa naota Hapana, nilipo shtuka tu ndio nikajua kumbe nilikuwa naota!)

Msaada wakuu
Mshana Jr Rakims Undava King msafiri.razaro MziziMkavu na wengineo
Unajua mtu unaweza kuota ndoto kwa nafasi ya mtu mwingine, sasa kwa vile hujui unazani ni wewe ni mpaka utulie ndio utajua kuwa hukuwa wewe, sasa hiki ndicho ninachokiona kwako wewe, na ndio maana imekuwa rahisi kuota mwaka ambao ulikuwa bado haujazaliwa, na pia ndio maana yule mtu alisema hakujui japo wewe umjua, kwamba mwili ni wako wa sasa lakini kumbukumbu ni ya mtu mwingine.

Sasa swali la kujijluliza ni nani huyo ambaye umechukua taarifa zake na kwa nini?

Ebu jaribu kujiuliza huko kwenu huo mwaka wa 1973 kulikuwa na tukio gani? Uzuri yule mzee uliyemuona kwenye ndoto bado hupo nenda kamuulize kuna tukio gani lilitokea kipindi hiko si vibaya ukamuelezea hiyo ndoto yako.

Ila mwisho wa siku Mungu ndio mtafsiri wa kweli wa ndoto, usipopata ufumbuzi wewe muulize Mungu muumba atakujibu hata kama unazambi.
 
Unajua mtu unaweza kuota ndoto kwa nafasi ya mtu mwingine, sasa kwa vile hujui unazani ni wewe ni mpaka utulie ndio utajua kuwa hukuwa wewe, sasa hiki ndicho ninachokiona kwako wewe, na ndio maana imekuwa rahisi kuota mwaka ambao ulikuwa bado haujazaliwa, na pia ndio maana yule mtu alisema hakujui japo wewe umjua, kwamba mwili ni wako wa sasa lakini kumbukumbu ni ya mtu mwingine.

Sasa swali la kujijluliza ni nani huyo ambaye umechukua taarifa zake na kwa nini?

Ebu jaribu kujiuliza huko kwenu huo mwaka wa 1973 kulikuwa na tukio gani? Uzuri yule mzee uliyemuona kwenye ndoto bado hupo nenda kamuulize kuna tukio gani lilitokea kipindi hiko si vibaya ukamuelezea hiyo ndoto yako.

Ila mwisho wa siku Mungu ndio mtafsiri wa kweli wa ndoto, usipopata ufumbuzi wewe muulize Mungu muumba atakujibu hata kama unazambi.
inawezekana kuwa kweli labda kachukua nafasi ya kaka/dada,baba/mama,mjomba/shangazi,babu/bibi, kama si je rafiki basi ni adui, swali ni kwamba ktka hii ndoto yeye uhusika wake ni upi!? maana kufikia hatua ya yeye kuota ndoto hiyo inawezekana anahusika pia au kuna bond fulani kupitia fulani katika hiyo ndoto, je ni kwanini yeye aote hiyo ndoto na sie mhusika mwenyewe!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom