Tigopesa application ina ukweli wowote?

Tigopesa application ina ukweli wowote?

Sio kweli ukishajiunga unatoa unaweza hata weka line ya mtandao mwingine mimi nilijiunga line nikatoa na natumia halotel au voda lakin bado napata huduma.
Nina mwez wa tatu sasa
Na ukiangalia comment za wengi malalamiko yao ndo hayo. Sasa cjaelewa kwako imekubali vp?
 
Back
Top Bottom