Tigo wameanza tena ule ujinga wao

anjnr

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
539
208
Ukimpigia mtu kama hapatikani badala ya kukuambia hapatikani wanakuletea kwanza matangazo yao ukimaliza kuyasikiliza ndipo unaambiwa unayempigia hapatikani. Mimi kama mteja hii inanikera jamani.
 
Ukimpigia mtu kama hapatikani badala ya kukuambia hapatikani wanakuletea kwanza matangazo yao ukimaliza kuyasikiliza ndipo unaambiwa unayempigia hapatikani. Mimi kama mteja hii inanikera jamani.

Hata airtel...bora waanze kunambia yule nnayemtafuta then wanpgie hayo matangazo yao nami nitachagua kuckilza au la co kunianzia matangazo!
 
Mi walitaka kuniharibia ndoa hvhv nimepiga nikakuta kamziki nkajua namba iko busy nkaendelea kupiga na kukata kila mziki ukianza, baada nkawasha moto mbn ubusy saa nzima kumbe kweli ilikuwa off duh huu kweli ujinga
 
Wananiudhi kweli hata mimi.. Yaani unakuta mtu una haraka zako.. unashangaa matangazo kwanza Halafu ndo simu inaitaaaa

TCRA wapo kimyaaaa..
 
io toka jana maneno kibao mwishoni ndo wanakwambia hapatikani
 
Ukimpigia mtu kama hapatikani badala ya kukuambia hapatikani wanakuletea kwanza matangazo yao ukimaliza kuyasikiliza ndipo unaambiwa unayempigia hapatikani. Mimi kama mteja hii inanikera jamani.
kwani line za mitandao mingene zimeisha ua ?
 
Wananiudhi kweli hata mimi.. Yaani unakuta mtu una haraka zako.. unashangaa matangazo kwanza Halafu ndo simu inaitaaaa

TCRA wapo kimyaaaa..

uliwafata ukawaambia? Kama kuna mtu ana njia rahisi ya kuripoti kwa tcra angeieka hapa tatizo likiripotiwa kwao kwa wingi hata wao watashtuka. Huwez jua hii mitandao maybe imejitetea wateja hawana neno na tcra wameona hamna alielalamika.

juzi juzi tigo wamebadilisha keyword ya kujiunga bundle A kwenda bundle B hivyo wote waliojiunga bundle A waliforciwa kilazima kununua bundle wasioitaka
 
uliwafata ukawaambia? Kama kuna mtu ana njia rahisi ya kuripoti kwa tcra angeieka hapa tatizo likiripotiwa kwao kwa wingi hata wao watashtuka. Huwez jua hii mitandao maybe imejitetea wateja hawana neno na tcra wameona hamna alielalamika.

juzi juzi tigo wamebadilisha keyword ya kujiunga bundle A kwenda bundle B hivyo wote waliojiunga bundle A waliforciwa kilazima kununua bundle wasioitaka

Sasa kama wao TCRA hawajaweka Wazi namba Zao unadhani sisi tutawatumiaje hayo malalamiko mkuu....

Tanzania mambo yamefichwa fichwa sana hasa HAKI ZA KIRAIA. hata leo Mtu akikuonea hujui unaenda wapi
 
View Profile: TCRA
User Name: TCRA
User Title: Member
Last Activity: 6th September 2013 09:18
 
Back
Top Bottom