Tigo sasa mmeamua..

Tigo sasa mmeamua..

Hawalazimishi ndo maana ni Upuuzi kuendelea kulalamika Akati line haziuzwi Mil unaweza nunua line ya mtando mwingine kwa matumizi ya Internet then hii uitumie kawaida tu
Dah...unabahati sana kama hujawahi kulazimishwa
 
solution,kama wanamandisha bei,wewe punguza mda wa kukaa online,mfano kama kwa siku unakua online masaa matano,jiwekee lisaa limoja tu la kupata habari muhimu,au teua siku mbili kwa wiki,siku tano fanya mambo mengine usiguse online hata nukta
 
Yaani saa hivi pamoja na mi sms zenu za saizi yako mnatukera nazo kututumia kila mda ndo mmeamua kupunguza muda wa bando yani 2000 gb 2 siku tatu?
Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .
Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!
Tigo ni wasenge km wasenge wengine.f*ck!
 
Yaani saa hivi pamoja na mi sms zenu za saizi yako mnatukera nazo kututumia kila mda ndo mmeamua kupunguza muda wa bando yani 2000 gb 2 siku tatu?
Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .
Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!
Tigo ni wa ovyo sana
 
Yaani saa hivi pamoja na mi sms zenu za saizi yako mnatukera nazo kututumia kila mda ndo mmeamua kupunguza muda wa bando yani 2000 gb 2 siku tatu?

Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .

Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!
Pole sana, nilishawahamaga baada ya kujiunga gb 1 halafu zikaishia kwa kuperuzi JF tu hata lisaa halijafika wanaleta sms kuwa mb zako zimeisha. Nimehamia Airtel.

Airtel unapata gb 4 za bure wiki nzima na kwa buku 10 unaongea mwezi mzima.
Screenshot_2019-09-28_111556.jpeg
Screenshot_2019-09-28_111739.jpeg
 
Yaani saa hivi pamoja na mi sms zenu za saizi yako mnatukera nazo kututumia kila mda ndo mmeamua kupunguza muda wa bando yani 2000 gb 2 siku tatu?

Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .

Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!
karibu wale jamaa wa pale morocco. wapo poa sana
 
Back
Top Bottom