Tigo sasa mmeamua..

Tigo sasa mmeamua..

Mitandao yenu hii ya Tanganyika ya hovyo hovyo sana!

Kimsingi, katika ulimwengu huu wa utandawazi, intaneti inapaswa kuwa nafuu. Tena nafuu sana.

Nchi kama marekani intaneti ni sawa na bure kabisa.

Huko kwenu Tanganyika vigogo wamewekeza hisa kwenye makampuni ya simu wanatengeneza faida asubuhi na jioni huku wanyonge wanaangamia!
Kwa iyo Megabytes za internet USA, England, France, German, Canada, Italy na Japan ni rahisi au sauti ni ndogo? Sijasikia

Ugali Maharagwe umeharibu akili za watanzania
 
Vumilia tu mkuu japo hata mimi nilikuwa na voda ya miaka mingi lakini nikamunua Ttcl ambayo naitumia kwenye Internet
Ttcl inaniudhi upande wa vocha kuna sehemu nakuwa kikazi mbali huko kuipata vocha yake ni tabu sana
 
Kwani huko hamlipii ni free?
Mitandao yenu hii ya Tanganyika ya hovyo hovyo sana!

Kimsingi, katika ulimwengu huu wa utandawazi, intaneti inapaswa kuwa nafuu. Tena nafuu sana.

Nchi kama marekani intaneti ni sawa na bure kabisa.

Huko kwenu Tanganyika vigogo wamewekeza hisa kwenye makampuni ya simu wanatengeneza faida asubuhi na jioni huku wanyonge wanaangamia!
 
Ttcl inaniudhi upande wa vocha kuna sehemu nakuwa kikazi mbali huko kuipata vocha yake ni tabu sana
Dunia ya sasa unalalamika vocha zipo mbali upo serious. Vocha za TTCL unazipata kwa kutumia NMB Mobile, Nmb wakala, crdb simbanking, Tigo pesa na TTCL Pesa. Tunatakiwa kuwa wabunifu wa maisha na sio walalamikaji, maisha hayajawai kuwa rahisi
 
Kwa iyo Megabytes za internet USA, England, France, German, Canada, Italy na Japan ni rahisi au sauti ni ndogo? Sijasikia

Ugali Maharagwe umeharibu akili za watanzania
Ungetuliza akili ungemuelewa jamaa anachomaanisha....

Pasi na Shaka we ndo akili yako imechacha Kwa ugali maharage
 
Back
Top Bottom