wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Yaani saa hivi pamoja na mi sms zenu za saizi yako mnatukera nazo kututumia kila mda ndo mmeamua kupunguza muda wa bando yani 2000 gb 2 siku tatu?
Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .
Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!
Bora mngeweka angalau 1gb siku 7 kwa hiyo buku 2 alafu ile ofa mnayotoa huko huko ya muda wa maongezi muipunguze na ile ya msg za kawaida maana sisi tunajiunga kwa ajili ya bando la internet tuu .
Ni hayo tuu nilikuwa nawaaga bye bye tigo mmeniuzi sana mfyuuuuuuu!!!