TENGEFU
Senior Member
- Jan 25, 2017
- 138
- 206
Nimeingia kununua bando mitandao yote kwa mtandao wa Tigo kama kawaida kwa kupiga *147*00# na voda *149*01#. baada ya kubonyeza button ya mwisho nikapokea kifurushi cha mwezi lakini kimeandikwa kitakuwa kinatumika kuanzia saa 4 usiku hadi saa 11:59 asubuhi.
Huu ni wizi mkubwa kwa sababu mnafanya haya bila makubaliano na mteja AMBAYE LENGO NI KUNUNUA BANDO LA MASAA 24. Mbaya zaidi mnafanya hivi kwa kumtega mteja bila kumpa prio information kuwa ni bando la usiku.
Kifurushi hiki hiki ndicho tulichokuwa tunanunua kwa matumizi masaa 24. leo mnabadilisha bila kumpa taarifa mteja huu ni wizi mkubwa na itabidi wanasheria mtusaidie kuwachukulia hatua.
Kama walipata hasara kipindi cha uchaguzi siyo sisi tuliosababisha maana inaonekana wanataka kufidia hasara kwa migongo yetu.
ninao ushahidi na ninaandika kwa sababu nimenunua vifurushi vya jumla ya 20000 na vyote vnikalazimishwa nianze kutumia saa 4 usuki.
Huo muda huwa ni wa kulala na wao wanajua kwa kinachofanyika hapa ni uhuni na wizi.
Naomba mamlaka husika pia watusaidie ili turudishiwe hela zetu.
Huu ni wizi mkubwa kwa sababu mnafanya haya bila makubaliano na mteja AMBAYE LENGO NI KUNUNUA BANDO LA MASAA 24. Mbaya zaidi mnafanya hivi kwa kumtega mteja bila kumpa prio information kuwa ni bando la usiku.
Kifurushi hiki hiki ndicho tulichokuwa tunanunua kwa matumizi masaa 24. leo mnabadilisha bila kumpa taarifa mteja huu ni wizi mkubwa na itabidi wanasheria mtusaidie kuwachukulia hatua.
Kama walipata hasara kipindi cha uchaguzi siyo sisi tuliosababisha maana inaonekana wanataka kufidia hasara kwa migongo yetu.
ninao ushahidi na ninaandika kwa sababu nimenunua vifurushi vya jumla ya 20000 na vyote vnikalazimishwa nianze kutumia saa 4 usuki.
Huo muda huwa ni wa kulala na wao wanajua kwa kinachofanyika hapa ni uhuni na wizi.
Naomba mamlaka husika pia watusaidie ili turudishiwe hela zetu.