peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Tunawashukuru sana TIGO kwa kudhamini blog hii ya JAMII FORUM ila tunaomba wajirekebishe kwani tumewachoka na huduma zao mpaka tunafikiria kuhama mtandao huu kama huduma zitaendelea kuwa duni na dhaifu hivyo
Haya ni mambo machache tu ambayo nayaorozesha hapa
Mosi, unampigia mtu simu unaambia haipatikanbi wakati simu iko on
Pili. simu unapiga unaambia inatumika wakati haitumiki
Tatu, unapiga simu kwa mtu inaenda kwa mtu mwingine
Nne, huduma yao ya Kununua umeme Luku, unanunua halafu kwa siku 3 hawakutumii namba za kuingiza
Tano, huduma yao ya internet kila mara inakuwa haifanyi kazi.
Haya ni machache tu ambayo nimeyaorothesha kwa watumiaji wa tigo watakuwa lazima wengi wao wameshakutana na haya matatizo.
natamani sana niandike makala kwenye magazeti au japo barua ya wasomaji lakini kwa kuwa tigo ni watangazaji wa kwenye magazeti, tv na redio hata ukiwasilisha jambo kama hili haliwezi kuripotiwa
Tigo badilikeni tutahamia mitandao mingine, mmetulaza gizani mara kibao kwa luku, mmetukosesha michongo pale tutapopigiwa simu hatupatikani, simu zetu tunashindwa hata kuingia jamii forum kwa kuwa internet mara kibao haifanyi kazi. tumewachokaaaaaaaaaa.
TIGO, SOTE NI NDUGU
Haya ni mambo machache tu ambayo nayaorozesha hapa
Mosi, unampigia mtu simu unaambia haipatikanbi wakati simu iko on
Pili. simu unapiga unaambia inatumika wakati haitumiki
Tatu, unapiga simu kwa mtu inaenda kwa mtu mwingine
Nne, huduma yao ya Kununua umeme Luku, unanunua halafu kwa siku 3 hawakutumii namba za kuingiza
Tano, huduma yao ya internet kila mara inakuwa haifanyi kazi.
Haya ni machache tu ambayo nimeyaorothesha kwa watumiaji wa tigo watakuwa lazima wengi wao wameshakutana na haya matatizo.
natamani sana niandike makala kwenye magazeti au japo barua ya wasomaji lakini kwa kuwa tigo ni watangazaji wa kwenye magazeti, tv na redio hata ukiwasilisha jambo kama hili haliwezi kuripotiwa
Tigo badilikeni tutahamia mitandao mingine, mmetulaza gizani mara kibao kwa luku, mmetukosesha michongo pale tutapopigiwa simu hatupatikani, simu zetu tunashindwa hata kuingia jamii forum kwa kuwa internet mara kibao haifanyi kazi. tumewachokaaaaaaaaaa.
TIGO, SOTE NI NDUGU