silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,618
- 2,373
Hii si mara ya kwanza kwa watu wa masoko kufeli Tanzania, mnakumbuka simba walitoa jezi ziloandikwa SANDA, ambayo ni nguo wanayovaa maiti,
Katika marketing concept, jina lina nguvu sana, ndio Maana TOYOTA wanakua makini kwenye majina , GARI ZINAZOTUMIKA JAPAN ZINAKUA NA MAJINA TOFAUTI NA GARI ZA ULAYA, hata kama ni model moja, MFANO SPACIO Japan UK INAITWA VERSO, PRADO ULAYA INAITWA COLORADO, IST ULAYA INAITWA URBAN CRUISER
Katika marketing concept, jina lina nguvu sana, ndio Maana TOYOTA wanakua makini kwenye majina , GARI ZINAZOTUMIKA JAPAN ZINAKUA NA MAJINA TOFAUTI NA GARI ZA ULAYA, hata kama ni model moja, MFANO SPACIO Japan UK INAITWA VERSO, PRADO ULAYA INAITWA COLORADO, IST ULAYA INAITWA URBAN CRUISER