Tigo leo mmeniharibia sana

Tigo leo mmeniharibia sana

Maombi yao kwa wateja hayajakidhi matakwa
 

Attachments

  • 1447003025974.jpg
    1447003025974.jpg
    38.9 KB · Views: 627
Imenibidi kuweka lain ya voda nikajaribu kuingia page yao ya facebook nikakutana hiyo na taarifa sijui walikuwa wanamtaarifu nani wakati mtandao wao haupo hewani
 
Hawa tigo kuna kitu wanatafuta, wameniharibia appointment ya Muhimu sana...sijui itakuwaje ?
 
Tigo ndio mtandao wa ovyo zaidi kwa sasa hapa Tanzania! Tigo wananitesa mno hadi nimeanza kua ba presha . Ni tatizo na wala wenyewe hawajali.

Kwakuwa umekubaliana na maumivu basi endelea nao tu mkuu ipo siku mtafutwa machozi na tGo tehteh
4G huku 3G yenyewe majanga
Leo mnalalamika hakuna simu kuingia wala kutoka duuh poleni
 
Mnisamehe lakini in advance, kwangu mimi mtu mwenye line ya tigo namuona ni magumashi na ni mtu ambaye hayuko serious na mambo, kama Kuna deal ukinopa namba ya tigo nakuwa na mashaka mno yaani usiku silali naweweseka.
 
Taarifa za tigo kutokuwa hewani nimezipata jioni leo kwani mimi na huo mtandao ni tofauti kabisa
 
Na vipi kuhusu tuliojiunga na vifurushi vyao na vinakaribia kuisha muda, watatufidia katika hilo? Maana katika bango lao la kuomba radhi, hawakuliongelea hilo. Na hata ukipiga huduma kwa wateja 100 - hawapatikani. Kikawaida wanatakiwa wapatikane kwenye namba hiyo, maana siyo wote wenye Access ya mitandao kama facebook, twitter, na mengineyo.

Ahsante!
 
Wameharibu deal za watu leo.poleni watumiaji wa tigo
 
Daah maskini GB zangu nimezibebanisha kwa siku 3 mfululizo inaniuma sana lazima wakirudi hewani niwaendee hewan tu haiwezekani lazima warudishe
 
Back
Top Bottom