Washenzi sana jana kutwa nzima nimekuwa nikijaribu namba zao zote ambazo mmesema humu lakini hakuna hata moja ambayo unaweza kuongea na huduma kwa wateja
ninauzoefu na tigo imefikia hatua nimekuwa frielence wa kujitegemea , namaba zote mnazosema kwa kweli hazitopokelewa kwa kusuluhisha tatizo lako haraka ni kufika ofisi zohio kwa walio dar. kama upo mbali ingia tigo tanzania facebook taja tatizo lako watakusaidia. kunafomu ya tatizo ukiona una haraka sana andika tatizo lako kwenye wall. ukichemka nitumie tatizo lako kwenye sms 0719332343 nitangalia jinsi ya kukusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.