Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Hoja yangu ni ya msingi. Kwa nini kuchafuana? Tumejifunza sheria " Mahakama ndo ina uwezo wa kuhukumu mhalifu, vinginevyo ni kupakana matope"". Kuna mahala akili zetu sisi Waafrika ziliacha gape wakati wa kuumbwa tofauti na mabara mengine. "Kitu ustaarabu" hatuna hasa linapokuja suala la "siasa". From no evidence, unaita mtu mwizi, fisadi ili adharaulike,wewe upate kura!!!!! This is a big nonsense!.
Kuna mtu mmoja huwa simwelewi, anazunguka kuita wengine mafisadi, huku yeye kajilundikia mali ambazo ameshindwa kueleza kazipataje. Na watu, wanaona. Its very funny!!
Hoja yangu ni tofauti.
Lowasa angehama CCM na kuanzisha chama chake kisha akangoja uchaguzi labda wa 2020 na nna uhakika angeshindwa na Dr Slaa ambae angebakia kuwa mgombe wa UKAWA.
Au Lowasa angeingia UKAWA na akawa mjumbe wa halmashauri kuu na ugombea uraisi akaachiwa Dr Slaa.
UKAWA ya Dr Slaa ingeshinda uchaguzi wa 2015 kwa mbinde sana..
Hapo ingeeleweka kwamba siasa za upinzani Tanzania zipo imara.
CCM wanaona mbali ndo maana wakamchukua Dr Slaa na huenda ndiye raisi ajae, huwezi jua.
Again, huo ni mtizamo wangu.