Tido Mhando asema Serikali imelipa milioni 887.1 kwa watu wasiojulikana na tuhuma hizo zimemuumiza sana

Hii kitu unayoelezea ndo imeua mashirika ya umma, mashamba ya serikali, viwanda nk. Imeua upatikanaji wa viongozi na watumishi bora wa umma! Na itaendelea kutuletea umasikini zaidi na zaidi!!
Mfano, hii sheria ya takwimu inavyofanya kazi.
Ni hivi punde kupitia Clouds Fm, RPC wa Mwanza anadhindwa kujibu swali dogo tuu. Kuwa, ni watu wangapi wameopolewa hadi sasa kwenye ajsli ya Kivuko Mv . Nyerere? Anajibu haju, hadi zoezi liishe!!! Swali, hivi kuhesabu miili 1,2,3.... nayo inahitaji vifaa? Mtu amekuwa punje za mchanga kiasi hawahesabiki? Lengo ni nini? Aidha, nia inaweza kuwa nzuri,lakini wenzetu,hawako hivyo!!
Very well said
 
Rich kwa muda mrefu sana umekua mtetezi wa serikali hata kama ikifanya makosa kiasi gani,ndo maana mdau kasema nyinyi akimaanisaha u upande wa serikali. ha ha haa.

Inategemea utetezi huo nimeusimamia vipi.

Ila natetea sana kwenye hoja ambazo hazijengi.

Mimi zamani nilikuwa upinzani ufahamu?

Nilibadili msimamo pale Lowasa alipokaribishwa UKAWA na CCM ilipompata John Magufuli.

Ila nielewe, mimi si mpinzani na wala si mwana CCM, bali ni raia wa kawaida mpenda maendeleo kwa nchi yangu.
 
Una weza MPA MTU cheo cha marehem kumbe hajafa... Mwenye kusema kafa ni daktari... Wao police wana lifahamu hiloo... Kama daktari haja thibitisha ufu wa MTU basi kisheria wewe huruhusiwi...

Mara nyingi huwa wana wapelekea madaktari wakafanye kwanza taratibu zao na wao wana fata baadae
Upuuuzi mtupu, wavuvi toka jana wanaopoa maiti na mapolisi wapo. Nani ambaye hajui maiti? Kuna ugumu gani Kusema mpaka muda huu tumeopoa maiti mia? Huyo daktari si na yeye angekuwa site ili kama kuna wasiojua maiti asaidie hapo hapo?
 
Mgosi ana tatizo moja kwamba haelewi mfumo unataka nini.

Yale mahojiano ambayo yanaweza kubadili fikra ndani ya sekunde moja miongoni mwa wapira kura yeye alipaswa kuachana nayo.

Hivyo makosa aliyafanya akiwa TBC na JK hakupenda hiyo style yake ya uwasilishaji mada.

Alipokwenda Azam bado akataka kuweka "umakini" katika mahojiano yake na watu maarufu, bila kuzingatia "mfumo" unataka nini.

Kinachomponza ni kutokuuelewa mfumo ulopita unataka nini na mfumo mpya pia unataka nini.

Yeye angejikita zaidi kwenye kuiboresha TBC.

Niishie hapo.
PAC chini ya uenyekiti WA Zitto walimhoji Tido baada ya CAG kuhoji huo mchakato. Ofisi ya CAG ingekuwa inatumika kijinga hivyo isingefichua uozo juu ya hao inaowatumikia kama ilivyo sasa.It doesn't make sense ni hisia zaidi kuliko uhalisia
 
Wakimshirikisha roho mtakatifu rushwa atakula nani?
Ndo maana nilianza kwa kusema other factors has to remained constant moja wapo ni swala LA rushwa pamoja na upendeleo ikiwa hivyo havipo basi itabidi amshirikishe roho Mt. Ila kwa sasa huyo roho Mt ndo rushwa upendeleo wa kujuana na kauli kutoka juu
 
Kama akina Nyerere, Mandela nk wangekuwa na mawazo kama wewe mpaka leo tungekuwa chini ya wakoloni. Mtu kama Tido na exposure yake aliyajua yote haya but alijitoa mhanga , Kama wengine mfano Lissu nk akitegemea watanzania watamuunga mkono ili kuondoa haya mambo ya kidhalimu yanayofanywa na kikundi kidogo cha wateule kwa faida zao binafsi. Unfortunately watanzania nao wakamtupa mkono so now he is fighting alone.

Ndo maana nasema Tido hakupaswa kwenda tena kuumiza kichwa TBC bali angekwenda Azam au angeanzisha TV yake kabambe ili atoe changamto kwa TV zingine.

Angeazisha TV yake nina uhakika angeajiri vijana wote makini katika tasnia ya habari na TV ingeshindana na Azam na zingine.

Halafu tusichanganye na la Tundu Lissu kwani yeye ni kesi ingine ambayo ni "complex" na mjadala wake ni tofauti.
 
kama kaongea ukweli vile hapo la maana wamsake aliefungua kesi mahakamani huko ughaibuni
 
Japo tunajifanya Kunyamaza kwa Kigezo cha Kumpenda ila kama kuna Awamu ambayo Tanzania ilifanywa ' Shamba la Bibi ' na Maadili mengi Kuanguka huku Ufisadi ukiwa ni wa Kiwango cha Juu kama siyo cha Kimataifa basi ni ya 2005 hadi 2015. Naomba niishie hapa tafadhali.
Zinafika 1.5t?
 
Are you critical? Ina maana palr site,hakuna madakitari?
Kwahiyo kila anae okolewa una taka waseme huyu kafa huyu hajafa... Huyu kafa huyu hajafa... Vipi wanao pelekwa kituo cha afya ukala??? Wale taarifa zao vipi... Waachwe wataalam wafanye kazi taarifa zitakuja tu... Ila muhimu tupiganie haya ya muhimu kuhusu uokoaji... Yalitokea nungwi, bukoba nk... Migodini pia
 
Upuuuzi mtupu, wavuvi toka jana wanaopoa maiti na mapolisi wapo. Nani ambaye hajui maiti? Kuna ugumu gani Kusema mpaka muda huu tumeopoa maiti mia? Huyo daktari si na yeye angekuwa site ili kama kuna wasiojua maiti asaidie hapo hapo?
Una zani ni rahisi kusema huyu kafa huyu hajafa... Akiwa kapoteza fahamu??? Tumia akili pia...
 
Kwahiyo kila anae okolewa una taka waseme huyu kafa huyu hajafa... Huyu kafa huyu hajafa... Vipi wanao pelekwa kituo cha afya ukala??? Wale taarifa zao vipi... Waachwe wataalam wafanye kazi taarifa zitakuja tu... Ila muhimu tupiganie haya ya muhimu kuhusu uokoaji... Yalitokea nungwi, bukoba nk... Migodini pia
Mkuu, unavyonijibu hapa, tiyari updates tunapewa kama tulivyohitaji. Huenda maoni yetu yamezingatiwa. Hii ni nchi yetu, hawa ni ndugu zetu, tunahitaji kupewa habari. Kuna thread iko hapa JF inatupa updates. Tafadhali, itembelee.
 
Upuuuzi mtupu, wavuvi toka jana wanaopoa maiti na mapolisi wapo. Nani ambaye hajui maiti? Kuna ugumu gani Kusema mpaka muda huu tumeopoa maiti mia? Huyo daktari si na yeye angekuwa site ili kama kuna wasiojua maiti asaidie hapo hapo?
Asante kwa majibu mazuri sana.
 
Inategemea utetezi huo nimeusimamia vipi.

Ila natetea sana kwenye hoja ambazo hazijengi.

Mimi zamani nilikuwa upinzani ufahamu?

Nilibadili msimamo pale Lowasa alipokaribishwa UKAWA na CCM ilipompata John Magufuli.

Ila nielewe, mimi si mpinzani na wala si mwana CCM, bali ni raia wa kawaida mpenda maendeleo kwa nchi yangu.
Kwani walisema Mh Lowasa alikula ngapi akiwa Prime Minister?
 
Ni vugumu kupata jibu la mja kwa moja kutokana na suali lako.
Hoja yangu ni ya msingi. Kwa nini kuchafuana? Tumejifunza sheria " Mahakama ndo ina uwezo wa kuhukumu mhalifu, vinginevyo ni kupakana matope"". Kuna mahala akili zetu sisi Waafrika ziliacha gape wakati wa kuumbwa tofauti na mabara mengine. "Kitu ustaarabu" hatuna hasa linapokuja suala la "siasa". From no evidence, unaita mtu mwizi, fisadi ili adharaulike,wewe upate kura!!!!! This is a big nonsense!.
Kuna mtu mmoja huwa simwelewi, anazunguka kuita wengine mafisadi, huku yeye kajilundikia mali ambazo ameshindwa kueleza kazipataje. Na watu, wanaona. Its very funny!!
 
Back
Top Bottom