FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Tid ndiye aliyefungwa kwa kupiga mtu, Pia iliripotiwa amepigana na Hashim sasa ni kipi mnatarajia kutoka kwake zaidi ya hayo. Na wale watangazaji wote wanaotarajia kumualika TID kwenye mahojiano wakae kwa tahadhari, hukawii kupata ngumi ya uso. SALAMA JABIR na mkasi upo ?