Jamiix
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 885
- 548
Awataje kwanza wale wote waliokua/walie nae kwenye mzunguko wa madawa hatarishi ya kulevya(vituo vya kununulia, wauzaji wote(nyumba, majina na mbinu wazitumiazo ili wasikamatwe)), akiweza na akaaminika anaweza pata public sympathyAmesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv