Tiba zenye madhara

Adam hajawahi kuwapo..Habari ya Adam na Eva ni story ya kufikirika iliyo tungwa ..Pope Francis
 
Mkuu; Kama unafanana sana na huo maana yake sio huo. Je, ulio halisi ni upi na nitaupataje? Msaada tafadhali. Naomba picha yake niingie porini kuusaka leo.
Picha haiko clear sana ndio maana nikasema unafanana... Kwakweli naujua kwa jina hilo tu la mkafiri... Waulize wazee wa karibu yako wanaweza kunisaidia nami nafanya jitihada
 
Picha haiko clear sana ndio maana nikasema unafanana... Kwakweli naujua kwa jina hilo tu la mkafiri... Waulize wazee wa karibu yako wanaweza kunisaidia nami nafanya jitihada
OK. Mkuu; picha hiyo niliichukuwa usiku nikiwa safarini. Nitajitahidi kwenda mchana japokuwa ni mbali.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…