Tiba ya kuchoka!

Tiba ya kuchoka!

Yegoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2012
Posts
1,434
Reaction score
510
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty cd!
Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nimesimama kuepuka kelele za godoro pale ninapo jigeuza,na wakati mwingne nina swich off Tv,ndipo naangalia,yaani huwa cpendi kabisa kelele,,nikiwa nimechoka!
 
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty cd!
Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nimesimama kuepuka kelele za godoro pale ninapo jigeuza,na wakati mwingne nina swich off Tv,ndipo naangalia,yaani huwa cpendi kabisa kelele,,nikiwa nimechoka!
Sijaelewa===5!!>>>>!!!
Ebu ngoja niboyeze hiki kitufe!!!
 
Tehe!tumia kamusi kuisoma!
 
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty cd!
Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nimesimama kuepuka kelele za godoro pale ninapo jigeuza,na wakati mwingne nina swich off Tv,ndipo naangalia,yaani huwa cpendi kabisa kelele,,nikiwa nimechoka!

Huo ni umburura tu.
 
Back
Top Bottom