Ni kweli vipimo hivyo huweza kumletea maumivu kwakuwa inapita kwenye njia nyembamba hivyo huweza kuchubua maeneo hayo kwakiasi chakupata maumivu, bila shaka alipewa dawa za maumivu hivyo baada ya muda wa 72hrs tunatarajia maumivu kupungua.
Ingawa bado atakua na maumivu kiasi kwakua tatizo bado lipo. Kama ninavyo kunukuu ni kua nikipindi cha miaka kumi toka afanyiwe upasuaji hivyo kuna muda alikua sawa.
Ikiwa sababu zakuvimba kwa gland ya prostate ilitokana pia na ulaji wa vyakula vya asidi vilivyo changia uzalishwaji wa inflammation kwenye tezi husika na kwakua pia mwili ni mfumo madhara yanaonekana maeneo ya korodani bila sha kuna maeneo mengine ya tezi yakua yamadhiri kwa asilimia kadha.
Hivyo tatizo tunaliona lipo kwenye chakula, ni vyema tukaanza na hili kuliangalia kwa kina ulaji wake uwe wa vyakula vya asili kwa sasa hasa upungufu wa matumizi ya ngano, yeast, sukari, wanga, bidhaa za viwandani n.k
Ni vyema ukataza moja ya thread/post (organic foods you must know) kutizama baadhi ya vyakula vya asili kwa ajili ya kuboresha afya, kama utahitaji link nijuze.
Kwa kuwa upasuaji ulifanyika muongo mmoja uliopita ni wazi kwa asilimia kubwa ulifanyika kwa usahihi kama palikua na dosari basi ni wazi ni Kwa kidogo. Niweke wazi hili ikiwa utaumwa kwa ugonjwa wowote ambao umetokana na mtindo mbovu wa ulaji wa vyakula basi kama utapata tiba yeyote na bado ukabaki kwenye mazoea mabaya ya ulaji basi ugonjwa utajirudia.
Hapa nina vitu vichache vyakula na dawa ambavyo ukimpatia basi vitapunguza kasi na uwezekano wa ugonjwa kuenea.
Tumia vitu vifuatavyo kwa mara kwa mara angalau mara nne kwa wiki ili kunguza adhari hizo. Navyo ni:-
• flaxseed kijiko kimoja asubuhi na jioni.
• garlic/ k. Swaumu punje tatu asubuhi na jioni.
• maboga kama chakula angalau mara mbili kwa wiki. Na mbegu za maboga atafune kama karanga at least gramu 100 kwa wiki, zinaweza kua zimekaangwa.
Kama hana matatizo mengine ya kiafya basi anaweza kufunga angalau kwa wiki mara 2, na wakati wakufungua asile vyakula vya wanga kwa sana haitakua na maana yakufung kwa tiba. Mazoezi kidogo kujipa uimara wa afya.
Haya nilieleza ni kwa ajili yakupunguza madhara. Kama utahitaji ushauri binafsi wa kina basi ni PM.
Nashukuru