Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
Uhali na ukweli huo ni kwa upande wakoMkuu watu wa hivyo wakupuuza tu, they know Mesi yu juu ila hawampendi
King Mesi na King Diego hakuna atakae kuja kuwafunika wawili hawa, huu ndio ukweli halisi.
Maradona kafunikwa na pele
Na Messi kafunikwa na Ronaldo
Huwezi kunilazimisha niwaze unacho waza wewe
Ambacho ni hisia tena zenye bias na zczo za kisoka