Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
Timu yake imebeba na yeye haja beba!!! (Pumba hiii)Unamkubali kwa sababu tu timu yake imebeba euro,na sio yeye aliyebaba
Alifunga goli 3 alikuwa ana assasts 3,
Man of the match mara 2
Na yuko kikosi bora cha Euro
Na jana kaingia 3,borachezaj wa Eufa(obvious ata chukua)
Labda hukuangalia Euro mkuu