PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,107
- 14,352
povu la niniUmekosea mkuu washabiki wa Ronaldo ni wa wazi kweli na kama wasingekuepo hata huu mjadala ungeisha mapema.
Nimeweka sababu zangu labda nizirudie
Ronaldo kachaze ligi mbili na timu mbili tofauti na kafanikiwa kushinda kila kitu kwenye kila timu
Nika maliza kuwa Ronaldo kachukua ubingwa wa Euro
Kwenye individual records ndo usiseme bado ana zieka na kuvunja
Pia kawa consistent toka 2003, hadi sasa na bado jamaa yuko juu
Lakin wewe una ishia kusema Messi ni king sasa u king uko wapi!!? Weka sababu kama mimi nlivo eka zangu
Ulianza kufuatilia mpira ndo kitu unacho ishia kujitetea wakat pia hujui mi nilianza lino kifuatila!!
NIKUSAHIHISHE
Penado ama mmorocco kacheza ligi 3
Pili Nitajie rekod 5 tu za King kat ya rekod zake zaid ya Laki 1 zilizovunjwa na mmoroco ili niwe mshabiki wake kuanzia sasa
Mkono mtupu haulambwi weka ushahid
Nasubiri sitak ngonjera