Three greatest of all time 'mou left out Cristiano Ronaldo'

Wewe ndio ujui chochote kabisa.
1. Diego Armando Maradona
2. Leonel "king" Massijah
3. Pele.

Mourinho yupo sahihi sana. Unajua Ronaldo wa ukweli yaani di Lima pamoja na kucheza kote soka na vilabu vikubwa hakuwahi kushinda UCL! Huko hakumfuanyi asiwe mmoja kati ya washambuliaji wakali kutokea kwenye hii dunia.
Usisahahu de lima kachukua World Cup na ndo kinacho mfanya awe bora zaid, na ndo kina wafanya Pele na Maradona wawe wacheza bora wasio pingika kwa muda wote
 
Szczesny said:
Usisahahu de lima kachukua World Cup na ndo kinacho mfanya awe bora zaid, na ndo kina wafanya Pele na Maradona wawe wacheza bora wasio pingika kwa muda wote
Kwahyo kuchukua kombe la dunia ndio zaidi??
Bas hata wakina cannavaro wa Italy,gatuso,Muller ,podoliski nao ni zaidi
 
1469105550883.jpg
1469105560127.jpg
 
Maoni yangu:
1. zidane, kashinda karibu vikombe vyote na pia ana madoido ya kutosha.
2. Gaucho, nae kashinda vikombe vingi tu vya aina mbalimbali, kwenye madoido usiseme utamalizia wewe.
3. maradona, kazibeba timu peke yake kushinda vikombe
 
Kwaiyo kigezo ni kombe isimfanye awe bora?

Okay na Mario Kempes wamfahamu?
Hakipunguzi ubora alio kuwa nao na heshima aliyo nayo kama mwana soka bora
Lakin hapo inapungiza sifa ya kuekwa kwenye class ya kina Pele na Maradona

Simjui vizuri kwa kweli ila najua naye kasha shnda world cup na argentina nadhan
 
Hakipunguzi ubora alio kuwa nao na heshima aliyo nayo kama mwana soka bora
Lakin hapo inapungiza sifa ya kuekwa kwenye class ya kina Pele na Maradona

Simjui vizuri kwa kweli ila najua naye kasha shnda world cup na argentina nadhan

MARIO KEMPES ARGENTINA STRIKER

Club
Valencia
Copa del Rey: 1978–79

UEFA Cup Winners' Cup: 1979–80

UEFA Super Cup: 1980

River Plate
Primera División: 1981 Nacional

International
Argentina
FIFA World Cup: 1978

Na huyu naye ana makombe, 1978 na 1986 akiwepo na Baba yake wa soka DIEGO10s.

So huyo anaerukaruka uwanjani unamchukulia vipi kwa ma-legendery hawa? Hapo Mfalme nimemweka pending coz anajulikana ni nani..
 
MARIO KEMPES ARGENTINA STRIKER

Club
Valencia
Copa del Rey: 1978–79

UEFA Cup Winners' Cup: 1979–80

UEFA Super Cup: 1980

River Plate
Primera División: 1981 Nacional

International
Argentina
FIFA World Cup: 1978

Na huyu naye ana makombe, 1978 na 1986 akiwepo na Baba yake wa soka DIEGO10s.

So huyo anaerukaruka uwanjani unamchukulia vipi kwa ma-legendery hawa? Hapo Mfalme nimemweka pending coz anajulikana ni nani..
Duuh
Ukisema hivo basi kaangalie cv ya buffoni, Pique, Mata, Lilian Thulam, Trezegut, na makelele

Nani asiye jua kuwa pele na maradona ni exceptional players lakin na vikombe ndo vina onyesha effect ya exceptionality yenyewe

Kaitafute Napoli aliyo ibeba maradona huko Italy pia na world cup kabeba, Pele ana Magoli zaid ya 1000 yet ame beba makombe ya dunia mara 3.

Ronaldo ame beba Euro Cup, halaf cheki na individual records zake na asha sumbua ligi kubwa 2 dunianj, ndo maana kakaa namba 3 hapo

Unatak nimuweke mtu anaye bebwa na kina iniesta daily!!? Uo utakuwa ni ushabiki sasa usio na tija
 
Duuh
Ukisema hivo basi kaangalie cv ya buffoni, Pique, Mata, Lilian Thulam, Trezegut, na makelele

Nani asiye jua kuwa pele na maradona ni exceptional players lakin na vikombe ndo vina onyesha effect ya exceptionality yenyewe

Kaitafute Napoli aliyo ibeba maradona huko Italy pia na world cup kabeba, Pele ana Magoli zaid ya 1000 yet ame beba makombe ya dunia mara 3.

Ronaldo ame beba Euro Cup, halaf cheki na individual records zake na asha sumbua ligi kubwa 2 dunianj, ndo maana kakaa namba 3 hapo

Unatak nimuweke mtu anaye bebwa na kina iniesta daily!!? Uo utakuwa ni ushabiki sasa usio na tija


Kwa Diego nakubali bila ubishi 100 Percent..except pele hakuwa na mvuto zaidi japo ana makombe mawili,na la tatu alikuwa injury....huyo ronaldo unamweka hapo kwa kigezo kipi euro cup ama? Ndio maana nikakuuliza Alfredo na Mario unawafahamu vizuri? Au umeanza kucheki ball 2010 era ya
 
Kwa Diego nakubali bila ubishi 100 Percent..except pele hakuwa na mvuto zaidi japo ana makombe mawili,na la tatu alikuwa injury....huyo ronaldo unamweka hapo kwa kigezo kipi euro cup ama? Ndio maana nikakuuliza Alfredo na Mario unawafahamu vizuri? Au umeanza kucheki ball 2010 era ya
Wewe Messi umemuweka kwa kigezo kipi!!?
Mimi nime muweka Ronaldo kwa kuwa
Kafanya vzuri EPL na La liga (ligi kubwa dunian hizo)
Na kafanya vzuri kwenye timu ya taifa ya wakubwa na kawa cinsistent toka mwaka 2003 hado sasa.

Sion kama kuna mtu ana weza ku mmatch
 
Kwa Diego nakubali bila ubishi 100 Percent..except pele hakuwa na mvuto zaidi japo ana makombe mawili,na la tatu alikuwa injury....huyo ronaldo unamweka hapo kwa kigezo kipi euro cup ama? Ndio maana nikakuuliza Alfredo na Mario unawafahamu vizuri? Au umeanza kucheki ball 2010 era ya
Sasa kama unampinga alfredo kwa taarifa yako rekod zake nyng tuu Raul alizivunja hapo sisemi Ronaldo, ila bado ni legendary vile vile

Kwa Pele na Maradona ukiweka doubt kwa mmoja wapo yyte hiyo tuna iita bias, tena namheshimu Maradona hata kama alikuwa ana ji boost na madawa
 
Sasa kama unampinga alfredo kwa taarifa yako rekod zake nyng tuu Raul alizivunja hapo sisemi Ronaldo, ila bado ni legendary vile vile

Kwa Pele na Maradona ukiweka doubt kwa mmoja wapo yyte hiyo tuna iita bias, tena namheshimu Maradona hata kama alikuwa ana ji boost na madawa


Kwaiyo unataka kutuambia Ronaldo ni zaidi ya Alfredo na Mario kempes? yaani Mpaka na yeye umweke kwenye greatest players of all time?

Kama humkubali mfalme wa soka kuwahi kutokea hapa ulimwenguni LEO10s, basi kati ya hao Mario Kempes na Alfredo di ambao ni underrated kwa Mfalme na overrated kwa jamaa yako waweza ku-replace nafasi ya huyo jamaa yako ambae hastahiki kuwepo kwenye hiyo list....
 
Huyu Mourinho akifukuzwa Manchester United sijui atakwenda wapi. Mi naona labda Arsenal.
 
Back
Top Bottom