Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
We acha kumlisha maneno SAF yeye siku zoote husema Ronaldo ndiye boraBaada ya kutolewa man u kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya barcelona...ambapo abidal alikuwa anaumwa nafasi yake ikarithiwa na Yaya toure! Ferguson alisema Messi alikuwa mwiba kwao kwasababu hawakuweza kumdhibiti! Kiufupi alimvulia kofia, kipindi ambacho huyo ronaldo alikuwepo Man U!!! Huyo ferguson mchezaji wake bora ni messi ila hataki kumkera kijana wake (ronaldo)!
Wenger kashahojiwa sana...yeye kafunga brwki kabisa kuwa hakuna kama MESSI!!!
Kama vip google tuu utakuana na kauli zake nyingi tuu akisema Ronaldo kwake ni bora