Threat?: Kim Threatens "Firm Action" Against US Sanctions

Threat?: Kim Threatens "Firm Action" Against US Sanctions

Arafu kunakitu watu awakijui duniani wanadhani japani ni rafiki wa marekani!! Kama kuna nchi ingestaili kuwa rafiki wa USA ni China sasa jiulizeni kwann China siyo rafiki wa USA wakati histori inaonyesha USA alimpiga mjapani aliyeitesa China sana tena kwann China hipo nyuma ya Kim kwakifupi marekani ni taifa lisilo takiwa Asia yote kwaiyo marekani itajiingiza kwenye death trap

Mkuu tukumbuke pia kuwa Marekani inatoa military support kwa baadhi ya nchi na nchi za Asia zikiwemo, na kama sijakosea hata M Japan anapata msaada huo. Pamoja pia na ulinzi katika hilo eneo, Japan akiwepo na kama tunavyojua South Korea, dhidi ya N. Korea (Dogo Kim na vitisho vyake)
 
Anything can happen, mtu kama huyu NK ni wa kumuangalia kwa jicho la 3 , yani marekani teknolojia yake yote hajui missile bombs zinapotengenezwa? je atajuaje siraha zilizofichwa na Nk na tukumbuke siraha za jeshi siri hizo tulizoona ni samples tu hatujui ghala lake lipoje
hakika hii itakua WW3

Do Something 2day That Your Future Will Thank You 4
 
NK ni mikwara tu hamna kitu, huwezi kupigana na taifa kama US wewe eti uko kwako wakati yeye yuko some few kilometres away from your border utegemee kumpiga, sio US hii ya sasa.

Kwa muda kama wa miaka 25 hivi iliyopita US imewekeza fedha zaidi ya dola 15 Trilion kwa maswala ya ulinzi na hii ni zaidi ya uwekezaji wa mataifa sita combined yani Russia, Germany, UK, France, Italy na Japan.

Ktk kipindi hiki wamefanya major modernization ktk vyombo vyao vya ulinzi kuliko nchi yoyote ile duniani. Hivyo kufikiria eti NK anaweza aka-withstand the US military muscle, is just like playing with a time bomb. Wanaangalia zaidi " The Overall Effect Of The Collateral Damage" that might occur as a direct result of the combat, kabla ya kujiingiza ktk vita, na hapa ndo watu wa vijiweni wasioelewa kitu wanapoona Mapanki eti ana-win.!
 
IMG_20170804_200203.jpg
Mkuu, with all due respect. First of..
Sorry if you were offended in any way, shape or form by some of the comments.

Kwenye kutoa habari hatuja pindisha ukweli wa uwezo wa NK, ni kweli wanatengeneza vifaa vya nguvu kwa mfano ICBMs kama ya juzi ambayo inasemekana kuweza kufika ndani ya US.
Kupachika hayo majina ni sehemu tu ya kufurahishana, to go along with this kind of News.
Hatufanyi kwa nia mbaya mkuu.

Na kwa upande mwingine inasaidia, na imesaidia kuleta watu kama wewe na wengine, na mumeongezea some information ambazo pengine wengine wetu hatukuzifahamu.
So thank you for that!..
Peace! ✌
Ungesema tu samahani wakuu ninaondoa neno pipa badala yake nina weka neno
Intercontinental ballistic missile
!!!
 
Timu kiduku bhana, mnafikiri ni rahisi ki hivyo..

Mie swali langu moja tu, mnasema yuko vizuri lakini mbona hapa analia na vikwazo, mpaka anatishia kama atabanwa zaidi.
Nawewe juilize kwanini USA yuko busy kuweka vikwazo nasio kumtwanga?? marekani anajua hatari za siraha za nyuklia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa nyie raia ukisoma mawazo yenu mnaongea ujinga msio ujua! Hamjui madhara ya Nuke wala hamuijui US iko strong kiasi gani.
NKorea inaweza kupotezwa within an hour! Ila haitaadhirika NK tu, madhara yake ni ya wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata USA anajua madhara ya nuclear, na anajua N.korea pia amepiga hatua kwenye nuclear,so I don't think so kama USA anawaza kama wewe unavowaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume kila siku kutishanatishana, mwingine sijui alipue mabaruti, mwingine sijui eti anatest!

Inakuaje?

Kama vile wavulana wanaomgombania 'demu mkali vile sijapata mwona' wanavyotambiana!

Kama vipi mkinukishe, muache kuimba taarab na kushoot mavideo ya single zenu!

Steve Jobs - Giant Of Technology.
 
Hii itakuwa moja ya changamoto kubwa waliyonayo Trump&Comp.
Kutokuwa na uhakika wa silaha za adui.
Ni kweli mkuu halafu special forces wa NK nao ni hatari sana na wanatumia sana silaha za kibailogia na kikemikali.
Refer ile ishu ya kifo cha kaka yake Kim, kim jong-nam alie uawa akiwa Kuala Lumpur na VX nerve agent.
NK si watu wa kuwa dharau hata kidogo.
 
NK ni mikwara tu hamna kitu, huwezi kupigana na taifa kama US wewe eti uko kwako wakati yeye yuko some few kilometres away from your border utegemee kumpiga, sio US hii ya sasa.

Kwa muda kama wa miaka 25 hivi iliyopita US imewekeza fedha zaidi ya dola 15 Trilion kwa maswala ya ulinzi na hii ni zaidi ya uwekezaji wa mataifa sita combined yani Russia, Germany, UK, France, Italy na Japan.

Ktk kipindi hiki wamefanya major modernization ktk vyombo vyao vya ulinzi kuliko nchi yoyote ile duniani. Hivyo kufikiria eti NK anaweza aka-withstand the US military muscle, is just like playing with a time bomb. Wanaangalia zaidi " The Overall Effect Of The Peripheral Damage" that might occur as a direct result of the combat, kabla ya kujiingiza ktk vita, na hapa ndo watu wa vijiweni wasioelewa kitu wanapoona Mapanki eti ana-win.!

Mkuu una maana gani? Hivi unafikiri wakati Merikani ina imarisha ulizi na ku-modernise zana zao za kivita Mataifa mengine yalikuwa yamelala usingizi?? Stori zenu wakati mwingine ushangaza kidogo - nyie au USA mnajuaje Budget ya kweli ya Ulinzi wa Uchina, Urusi na say Korea Kasikazini, tangu lini Mataifa hayo yakaweka Budget zao za ulizi adharani wakati hawanunui silaha yoyote kutoka nje i.e kutoka Nchi za magharibi - wanahunda silaha zao wenyewe?

Nani kawambieni Taifa likiwa na TERA Budget ndiyo passport ya kushinda VITA - nani?Again, hapo ndipo mnakosea mahesabu kweli kweli na sijui kwa nini!! Hivi kwa akili za kawaida unaweza kweli ukalinganisha gharama za undaji ndege za vita huko Uchina, Urusi na India na hizo zinazo hundwa huko Merikani?

FYI ndege za vita za Mataifa tajwa zinaundwa kwa robo ya gharama ya kuunda ndege za Marekani, na actually ndege za kijeshi za mataifa mengine zunahundwa na viwanda ambavyo share holder mkubwa ni Serikali zao hivyo hakuna uwezekano wa kufanya ufisadi wa kufuja fedha za walipa kodi kwa ku-inflate gharama, ujanja janja wa makampuni ya USA yanayo pewa contract za kuunda zana za kivita ndiyo ufanya gharama ziwe kubwa mno au wewe hilo ulijui?? Chukulia mfano mdogo wa F-35 jetfighter, je, unajua fighter hizo zimekwisha inagharimu Taifa la Merikani kiasi gani cha fedha mpaka sasa na bado ina matatizo lukuki lakini Serikali ya USA bado inaendelea kuwapatia fedha kampuni ya Lockheed Martin kuendeleza usanii wao wa kuwaibia walipa kodi, si hilo tu hata cost of living za huko Merakani ni kubwa mno ukilinganisha na Mataifa tajwa, hivyo ni wazi mishahara ya wafanya kazi viwandani ni ya juu mno ndio maana wamiliki wa viwanda wa huko Merikani uhamishia viwanda vyao Mexico, Uchina nk wakiwa na lengo la kupunguza gharama za uzalishaji.

Dhana zenu za kujaribu ku-equate Budget za DoD ya huko Merikani na Mataifa mengine kana kwamba hicho ndicho kigezo cha kuonyesha Merikani ni zaidi katika sekta ya ulizi na uwezo kivita, in my opinion dhana hiyo inakuwa grossly misreading na sijui kwa nini wenye mawazo haya potofu hawataki kujifunza kutokana na mifano hai ifuatayo: Merikani iliwahi kuingia vitani na Korea Kaskazini mbona pamoja na Budget yao kuwa kubwa walishindwa na Wakorea Kaskazini, haya tuje vita ya VietNam mbona walitolewa mkuku na walima mpunga wa VietNam, je, Budget kubwa ya USA mnayo ipigia debe hapa iliwasaidia nini kushinda vita, haya tuje vita ya huko Afghanistani huu mwaka wa 16 na bado USA inaendelea kutolewa kamasi na Wataliban - ushahidi huu mdogo unadhilisha kwamba uwezo wa USA kivita hupo kwenye propaganda za MSM, movies za Hollywood, Video games na kijifanya paper Tiger, historia inaonyesha hawajawahi kushinda vita bila ya kusaidiwa/Shirikisha Mataifa mengine, USA ni mabingwa wa kukusanya kusanya Mataifa mengine yamsaidie kuendeleza Gun Boat Diplomacy zake zilizo pitwa na wakati, narudia - USA hawana ujasiri wala uwezo kupigana vita wakiwa pekee yao - leo hii ndiyo wajifanye wana uweza wa kupigana na Uchina, Urusi na Korea Kasikasini kwa mpigo!!!!

Tatizo kubwa la Taifa hilo linatokana na baadhi ya Ma General wa jeshi lao wanakuwaga na njozi za mchana, hawana habari kinacho endelea Duniani na wasipo kuwa makini kwa kujifunza kutokana na historia ya miaka ya nyuma basi, wakae wakijua kwamba Taifa lao litakuja kupata wakati mgumu sana wakijitia kuanzisha WW3.
 
NK ni mikwara tu hamna kitu, huwezi kupigana na taifa kama US wewe eti uko kwako wakati yeye yuko some few kilometres away from your border utegemee kumpiga, sio US hii ya sasa.

Kwa muda kama wa miaka 25 hivi iliyopita US imewekeza fedha zaidi ya dola 15 Trilion kwa maswala ya ulinzi na hii ni zaidi ya uwekezaji wa mataifa sita combined yani Russia, Germany, UK, France, Italy na Japan.

Ktk kipindi hiki wamefanya major modernization ktk vyombo vyao vya ulinzi kuliko nchi yoyote ile duniani. Hivyo kufikiria eti NK anaweza aka-withstand the US military muscle, is just like playing with a time bomb. Wanaangalia zaidi " The Overall Effect Of The Collateral Damage" that might occur as a direct result of the combat, kabla ya kujiingiza ktk vita, na hapa ndo watu wa vijiweni wasioelewa kitu wanapoona Mapanki eti ana-win.!
Kuna masuala mawili unasahahu.

1. Kwamba ugomvi wa NK na Mmarekani ni wa kihistoria. Ambapo vita ile HAIKUISHA inaendelea hadi leo. Kwamba vita ya North ilikuwa baina ya WESTERN na EASTERN powers na waamerika na ndugu zao walikufa sana tu. Angalia documentaries huko youtube.

2. Kwamba North sio tu atatumia silaha alizonazo. Bali pia za marafiki zake wa Eastern. Kama mmarekani kapeleka THAAD south. Tegemea chochote kutoka Russia na China kimesha wasili North.

Unadhani kwa nini Mrusi amekuwa akisakamwa kwa sana na Marekani na Ulaya kwa hivi karibuni? Usiseme ni kuhusu uchaguzi amerika na vijisababu sijui mitambo ya siemens ujerumani.

Sababu kubwa ni mrusi KUPINGA UBEBERU wa mmarekani na kuzuia maslahi yao hasa kwa alilolifanya SYRIA. Western hawajafurahishwa na hawapo tayari kukubali kushindwa. Ndiyo maana vikwazo dhidi yake vilianza baada ya kujiingiza Syria na wakashusha bei ya mafuta kumkosesha mapato.

Bahati mbaya wamegundua ana tekinolojia ya silaha ya kisasa kabisa hasa ndege vita na makombora yake. Ndio sasa wanaweka vikwazo dhidi ya teknolojia yake.... tooo late.

Kwa ufupi. Vikwazo vya juzi dhidi ya Rusia NK na Iran havikuwa vya kushitukiza. Viliandalia kitambo baada ya kuona ni nani anamsaidia KIM.

Historia ya KOREA PENINSULA itajirudia kwa kuchapana. Hakutakuwa na matumizi ya nukes on first attacks. Mmarekani akizitumia ategemee majibu kutoka Rusia na China. NK hawezi anza kuzitumia. Watapelekeana MOTO wa kawaida siyo nukes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una maana gani? Hivi unafikiri wakati Merikani ina imarisha ulizi na ku-modernise zana zao za kivita Mataifa mengine yalikuwa yamelala usingizi?? Stori zenu wakati mwingine ushangaza kidogo - nyie au USA mnajuaje Budget ya kweli ya Ulinzi wa Uchina, Urusi na say Korea Kasikazini, tangu lini Mataifa hayo yakaweka Budget zao za ulizi adharani wakati hawanunui silaha yoyote kutoka nje i.e kutoka Nchi za magharibi - wanahunda silaha zao wenyewe?

Nani kawambieni Taifa likiwa na TERA Budget ndiyo passport ya kushinda VITA - nani?Again, hapo ndipo mnakosea mahesabu kweli kweli na sijui kwa nini!! Hivi kwa akili za kawaida unaweza kweli ukalinganisha gharama za undaji ndege za vita huko Uchina, Urusi na India na hizo zinazo hundwa huko Merikani?

FYI ndege za vita za Mataifa tajwa zinaundwa kwa robo ya gharama ya kuunda ndege za Marekani, na actually ndege za kijeshi za mataifa mengine zunahundwa na viwanda ambavyo share holder mkubwa ni Serikali zao hivyo hakuna uwezekano wa kufanya ufisadi wa kufuja fedha za walipa kodi kwa ku-inflate gharama, ujanja janja wa makampuni ya USA yanayo pewa contract za kuunda zana za kivita ndiyo ufanya gharama ziwe kubwa mno au wewe hilo ulijui?? Chukulia mfano mdogo wa F-35 jetfighter, je, unajua fighter hizo zimekwisha inagharimu Taifa la Merikani kiasi gani cha fedha mpaka sasa na bado ina matatizo lukuki lakini Serikali ya USA bado inaendelea kuwapatia fedha kampuni ya Lockheed Martin kuendeleza usanii wao wa kuwaibia walipa kodi, si hilo tu hata cost of living za huko Merakani ni kubwa mno ukilinganisha na Mataifa tajwa, hivyo ni wazi mishahara ya wafanya kazi viwandani ni ya juu mno ndio maana wamiliki wa viwanda wa huko Merikani uhamishia viwanda vyao Mexico, Uchina nk wakiwa na lengo la kupunguza gharama za uzalishaji.

Dhana zenu za kujaribu ku-equate Budget za DoD ya huko Merikani na Mataifa mengine kana kwamba hicho ndicho kigezo cha kuonyesha Merikani ni zaidi katika sekta ya ulizi na uwezo kivita, in my opinion dhana hiyo inakuwa grossly misreading na sijui kwa nini wenye mawazo haya potofu hawataki kujifunza kutokana na mifano hai ifuatayo: Merikani iliwahi kuingia vitani na Korea Kaskazini mbona pamoja na Budget yao kuwa kubwa walishindwa na Wakorea Kaskazini, haya tuje vita ya VietNam mbona walitolewa mkuku na walima mpunga wa VietNam, je, Budget kubwa ya USA mnayo ipigia debe hapa iliwasaidia nini kushinda vita, haya tuje vita ya huko Afghanistani huu mwaka wa 16 na bado USA inaendelea kutolewa kamasi na Wataliban - ushahidi huu mdogo unadhilisha kwamba uwezo wa USA kivita hupo kwenye propaganda za MSM, movies za Hollywood, Video games na kijifanya paper Tiger, historia inaonyesha hawajawahi kushinda vita bila ya kusaidiwa/Shirikisha Mataifa mengine, USA ni mabingwa wa kukusanya kusanya Mataifa mengine yamsaidie kuendeleza Gun Boat Diplomacy zake zilizo pitwa na wakati, narudia - USA hawana ujasiri wala uwezo kupigana vita wakiwa pekee yao - leo hii ndiyo wajifanye wana uweza wa kupigana na Uchina, Urusi na Korea Kasikasini kwa mpigo!!!!

Tatizo kubwa la Taifa hilo linatokana na baadhi ya Ma General wa jeshi lao wanakuwaga na njozi za mchana, hawana habari kinacho endelea Duniani na wasipo kuwa makini kwa kujifunza kutokana na historia ya miaka ya nyuma basi, wakae wakijua kwamba Taifa lao litakuja kupata wakati mgumu sana wakijitia kuanzisha WW3.
Muulize pia. Kati ya mmarekani na mrusi. Ni nani ana..

1. Bomu kubwa zaidi la nyuclear alilowahi kulionyesha hadharani.

2. Technolojia ya kisasa ya roketi za kupeleka mizigo anga za juu.

3. Fighter jet za kisasa. Hiyo F35 imesha zidiwa na za kirusi.

4. Bomber za kisasa ZAIDI.

Maana kama muamerika angekuwa imara kiasi hicho. Basi ...

1. Asingetumia majirani wa Russia kama ngao yake na pia kama uwanja wa mapambano. Angebakia kwake akimsubiria mrusi. Ingawa mrusi keaha sema ...NO ONE SHALL BE SAFE...

2. Asingeanzisha ma vikwazo yasiyo na kichwa wala miguu yenye lengo la kuwasimamisha wenzake wasizidi kumwacha ki technologia.

Nionavyo mie NK ni chambo cha kumtandika mmarekani kwa silaha za kichina Ki Iran na kirusi. Yaani Eastern wanatafuta pa kujaribishia siraa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokiona , soon NK itamlipua USA ili sote tupate hasara, yaani NK na USA.

Mimi ni timu NK, angalia avatar yangu!!!
 
Back
Top Bottom