kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Kwa kipindi hichi, dunia inaishi na watu siyo waaminifu. Kwa asilimia kubwa wanaume kwa wanawake wanakuwa na mipango ya kando. Pamoja na yote naamini kwamba kuna watu kama mimi (sijisifu) ambao wamefanikiwa kuishi kwa uaminifu kwa wapenzi wao. Wameshinda vishawishi na majaribu mbalimbali kutokana na nia yao madhubuti ya kuwa waaminifu.
Binafsi nipo na mke wangu kwa miaka 4 sasa, toka niwe naye sijawai kulala na mwanamke mwingine yeyote mpaka leo. Kipindi mke wangu akiwa just a girlfriend, watu walikuwa wakisema she is cheating on me. Sikujali sababu I have made commitment to stay faithful kwake yeye sababu she special to me. Naamini kuna watu wengi wanaume kwa wanawake both singles & married whove stayed faithful to their partners no matter what the world has turned into today.
Kwa hiyo sasa, uzi huu una dedicate kwa wote wanaume kwa wanawake mafaithfulness. Kujumuika pamoja hapa kubadilishana mawazo katika safari yetu ya kubaki waaminifu kwa wapenzi wetu tuwapendao katika maisha yetu.
Karibuni sana
Binafsi nipo na mke wangu kwa miaka 4 sasa, toka niwe naye sijawai kulala na mwanamke mwingine yeyote mpaka leo. Kipindi mke wangu akiwa just a girlfriend, watu walikuwa wakisema she is cheating on me. Sikujali sababu I have made commitment to stay faithful kwake yeye sababu she special to me. Naamini kuna watu wengi wanaume kwa wanawake both singles & married whove stayed faithful to their partners no matter what the world has turned into today.
Kwa hiyo sasa, uzi huu una dedicate kwa wote wanaume kwa wanawake mafaithfulness. Kujumuika pamoja hapa kubadilishana mawazo katika safari yetu ya kubaki waaminifu kwa wapenzi wetu tuwapendao katika maisha yetu.