Thread ya AC Milan kutua JF hivi punde...

Companero ishu ni kuwa Paselella alisema kwenye timu yake hataki watu wavae hereni, wavae kamba mkononi, wavae hereni, hataki wachole tatoo, wala wawe na nywele ndefu....
Na ndio maana Veron alivua hereni, bartgoo akanyoa nywele, na wengine wakavua kamba mikononi na kufuta tatoo

Hiyo ikawasaidia kushinda mechi na kuchukua ubingwa bila Redondo Manywele?
 
Alesandro Del Pierro ama Alexander Peter ni Mungu mtu hapo Torino.
Umaarufu wake ni zaidi ya ule wa Hayati bibi Lavecchia Signorra.
So kama atatuwa Milanelo itakuwa ni rrrraha isiyo kifani.
Yaani itakuwa sawa na asali kumwagikia kwenye ftari.

The Real Phenomenon!The Real Pinnturicchio!Del P ni silaha nayojivunia Juventus....nawakubali Milan kwa hizi sera zenu za kunyakua vipenzi vya mashabiki kwani kumnasa huyu fundi ni kuteka mashabiki kama si wafusai wake lukuki ambao wapo tayari kwenda naye kokote atapotua....forza juve,forza capitano del piero!
 
Yaani unaweka thread kutujulisha ujio wa thread!!? Kwa nini hii isiwe ndo thread yenyewe ya AC Milan hadi utuarifu kwamba itakuja? Kwa nini usingejiandaa ndo uje, au unaweka ukiritimba isianzishwe na mwingine zaidi yako? Sijaelewa!
 
Yaani unaweka thread kutujulisha ujio wa thread!!? Kwa nini hii isiwe ndo thread yenyewe ya AC Milan hadi utuarifu kwamba itakuja? Kwa nini usingejiandaa ndo uje, au unaweka ukiritimba isianzishwe na mwingine zaidi yako? Sijaelewa!

Hili ni tone la maji sheikh, ila bahari yaja
 
Gang historia haiweza kukamilika bila kugusia enzi za AC Milan's Dutch Contingent vs Inter Milan's German Contingent - pungufu ya hapo ni uchakachuaji tu wa historia ya San Siro!
 
ingawa mimi ni mpenzi wa ligi ya uingereza watoto wa emarates, ila unapoongelea AC-,milan unaikumbusha my all time fev. Filippo inzaghi a.k.a "super pippo" ukisikia uzee dawa basi cheki hii super sup ikiwa uwanjani.

much respect broda
Forza Milan

P.S onyo! zungukeni mnako zunguuka msiombe mkaja kukutana na Gunners ligi ya mabigwa any year, any day, any time Mtapata TABUU

heh heh heh hv mlivyochapwa 4-0 ulijisikiaje?
 
"When people think of Italy, after the mafia and pizza, they think of AC Milan"
 
[''maandalizi yoote yamekamilika, data za uhakika zimepatikana, history na mambo muhimu yoote yameshakusanywa, hivyo tunasubiri muda uliopangwa ili tuweze kuirusha hewani na wadau mpate kuifahamu timu hii yenye mafanikio zaidi Duniani'']

Hiyo ni kauli ya shabiki nguli wa AC Milan Gang Chomba alipokuwa anajibu maswali na kutoa maelezo kwa wachangiaji wa maswala ya michezo hapa JF ndugu Belo, Abdulhalim, Barantanda na Acid.

Gang Chomba ameahidi kuwa thread ya AC Milan itakuwa hewani hivi punde.

wapenzi wa soka mara kadhaa wamekuwa wakitaka kuanzishwa kwa thread inayoihusu timu hii ili kuweza kupata habari za nyota kama Robinho, Ibracadabra, Nesta, Pippo, Seedorf, Pato na kiungo anayeaminika kucheza soka la Mbinguni Ronaldo de Assis Morreira ama Dinho Gaucho....

Forza Milan
pumba tupu
 
:D:D:DHii club ilishaishiwa power... :D:D,mshabiki wake ni gang chomba peke yake...gang nakushauri hamia juve au napoli na uanzishe thread utapata ma-fans wakumwaga, Au kama vipi njoo kwetu BARCA
 
  • Thanks
Reactions: PNC

Similar Discussions

Back
Top Bottom