AC Milan vs Man UTD...

Gang Chomba

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
20,302
4,681
UWANJA - Sansiro
MAHALI - Milan
WATAZAMAJI - 85,700
ULIANZA KUJENGWA - 1925
KUFUNGULIWA RASMI - 19 SEP: 1926
BARABARA YA KUINGILIA - PICCOLONINI.

Siku chache zimebaki kabla ulimwengu kushuhudia tena mtanange ambao miaka kadhaa iliyopita tulishuhudia timu moja ikitupwa nje ya mashindano na nyingine kupeta kama ilivyo ada.

Huu ni mpambano kati ya AC Milan na klabu ya Manchester UTD.
Mpambano huu unazidi kuvuta hisia za watu wengi ukizingatia kuwa Man UTD wanataka talaka yao kwa lazima ili wakaanzishe maisha mapya yasiyo na vipigo vya kila msimu, huku AC nao wakijipanga kuendeleza ubabe kwa wanyonge wao.

Leo niko hapa kwa ajili ya kuizungumizia timu yangu kipenzi AC Milan.
Milan kama Milan ilipoanza ligi ilionekana wazi kuwa isingemudu mikiki ya mashindano yoyote yale.

Lakini kuwa fit kwa wachezaji wake kulipelekea haraka kuaminiwa kuwa ni timu ambayo kwa msimu huu yaweza nyakuwa baadhi ya vikombe.

Hofu ya wapinzani wetu ilipanda maradufu pale AC walipotua ktk uwanja wa el Santiago Bernabeu na kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya timu iliyopewa nafasi ya kufanya vizuri kutokana na usajili waliofanya.

Hali hii imepelekea kuanzia kocha wa Man UTD mpk mshabiki aliye hapo Tanzania kujawa hofu huku wakiwa hawapati usingizi.

Milan ina wachezaji wenye vipaji kama uncle Seeldorf, pirlo, Beckham, Pato, nesta, Ambrosini, silva, dinho, Pippo na wengine weengi ambao mara kwa mara wamekuwa wakielewana sana wawapo uwanjani.

IVAN ''RHINO'' GENNARO GATTUSO...
huyu ni mtumishi wa klabu.
Mara kadhaa Gattuso amekuwa akiwashikisha adabu wachezaji wanaopambwa na sifa za mashabiki.
Siku hiyo Gattuso atakabidhiwa Rooney huku akipokea msaada toka kwa Beki bora wa kati Duniani Alesandro Nesta.

ANDREAS PIRLO...
hii ni Injini ya Milan.
Anasifika kwa kupoza mpira ili kuendana sawa na spidi ya Milan.
Ana pasi zenye akili na uwezo mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa.

DAVID JOSEPH ROBERT BECKHAM...
Ttumemtaka asihangaike na kukaba siku hiyo. Bali amimine majalo yenye upako yatakayofika kwa Hitman Pato.

UNCLE SEERDOLF...
kila mtu anafahamu kuwa kadri siku zinapozidi kwenda, basi nae anazidi kuwa imara.
Kizazi chake amebaki kwenye Ramani yeye pmj na kipa Van Der Sir.

SUPER PIPPO...
Ktk washambuliaji ambao sir Alex anawachukia basi Inzaghi anaongoza.
Na kama atapewa muda wa kucheza ni wazi ukuta wa Man UTD utakuwa busy kwa kipindi choote mpk filimbi ya mwisho.

PATO & BORIELLO
Ni double snipers.
ni wauaji hatari na wenye mbinu kali.

RONALDO ''ASSIS'' de MOREIRRA...
sina cha kumzungumzia.
Ila nauliza je ni wachezaji wangapi wa Man UTD watakaojitolea kudhalilishwa na mchezaji huyu anayefananishwa kiuchezaji na wachezaji wa ligi za mbinguni?

FRANCO BARRESI, ALESANDRO COSTACURTA NA PAOLO MALDINI...
Hawa watakuwepo jukwaa kuu wakihamasisha.

Hakika Milan tuna kila sababu za ushindi, kwani tupo ktk ari na pia tuna uzoefu mkubwa ktk mashindano haya kuliko wapinzani wetu.

Milan imebeba kombe hili mara 7, wakati wagosi wao wana mara 3.

Forza Milan.
 
UWANJA - Sansiro
MAHALI - Milan
WATAZAMAJI - 85,700
ULIANZA KUJENGWA - 1925
KUFUNGULIWA RASMI - 19 SEP: 1926
BARABARA YA KUINGILIA - PICCOLONINI.

Siku chache zimebaki kabla ulimwengu kushuhudia tena mtanange ambao miaka kadhaa iliyopita tulishuhudia timu moja ikitupwa nje ya mashindano na nyingine kupeta kama ilivyo ada.

Huu ni mpambano kati ya AC Milan na klabu ya Manchester UTD.
Mpambano huu unazidi kuvuta hisia za watu wengi ukizingatia kuwa Man UTD wanataka talaka yao kwa lazima ili wakaanzishe maisha mapya yasiyo na vipigo vya kila msimu, huku AC nao wakijipanga kuendeleza ubabe kwa wanyonge wao.

Leo niko hapa kwa ajili ya kuizungumizia timu yangu kipenzi AC Milan.
Milan kama Milan ilipoanza ligi ilionekana wazi kuwa isingemudu mikiki ya mashindano yoyote yale.

Lakini kuwa fit kwa wachezaji wake kulipelekea haraka kuaminiwa kuwa ni timu ambayo kwa msimu huu yaweza nyakuwa baadhi ya vikombe.

Hofu ya wapinzani wetu ilipanda maradufu pale AC walipotua ktk uwanja wa el Santiago Bernabeu na kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya timu iliyopewa nafasi ya kufanya vizuri kutokana na usajili waliofanya.

Hali hii imepelekea kuanzia kocha wa Man UTD mpk mshabiki aliye hapo Tanzania kujawa hofu huku wakiwa hawapati usingizi.

Milan ina wachezaji wenye vipaji kama uncle Seeldorf, pirlo, Beckham, Pato, nesta, Ambrosini, silva, dinho, Pippo na wengine weengi ambao mara kwa mara wamekuwa wakielewana sana wawapo uwanjani.

IVAN ''RHINO'' GENNARO GATTUSO...
huyu ni mtumishi wa klabu.
Mara kadhaa Gattuso amekuwa akiwashikisha adabu wachezaji wanaopambwa na sifa za mashabiki.
Siku hiyo Gattuso atakabidhiwa Rooney huku akipokea msaada toka kwa Beki bora wa kati Duniani Alesandro Nesta.

ANDREAS PIRLO...
hii ni Injini ya Milan.
Anasifika kwa kupoza mpira ili kuendana sawa na spidi ya Milan.
Ana pasi zenye akili na uwezo mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa.

DAVID JOSEPH ROBERT BECKHAM...
Ttumemtaka asihangaike na kukaba siku hiyo. Bali amimine majalo yenye upako yatakayofika kwa Hitman Pato.

UNCLE SEERDOLF...
kila mtu anafahamu kuwa kadri siku zinapozidi kwenda, basi nae anazidi kuwa imara.
Kizazi chake amebaki kwenye Ramani yeye pmj na kipa Van Der Sir.

SUPER PIPPO...
Ktk washambuliaji ambao sir Alex anawachukia basi Inzaghi anaongoza.
Na kama atapewa muda wa kucheza ni wazi ukuta wa Man UTD utakuwa busy kwa kipindi choote mpk filimbi ya mwisho.

PATO & BORIELLO
Ni double snipers.
ni wauaji hatari na wenye mbinu kali.

RONALDO ''ASSIS'' de MOREIRRA...
sina cha kumzungumzia.
Ila nauliza je ni wachezaji wangapi wa Man UTD watakaojitolea kudhalilishwa na mchezaji huyu anayefananishwa kiuchezaji na wachezaji wa ligi za mbinguni?

FRANCO BARRESI, ALESANDRO COSTACURTA NA PAOLO MALDINI...
Hawa watakuwepo jukwaa kuu wakihamasisha.

Hakika Milan tuna kila sababu za ushindi, kwani tupo ktk ari na pia tuna uzoefu mkubwa ktk mashindano haya kuliko wapinzani wetu.

Milan imebeba kombe hili mara 7, wakati wagosi wao wana mara 3.

Forza Milan.

nilichogundua kwa upeo wangu unaonitosha mimi ni kuwa Milan mna kiungo sugu.
Gattuso, pirlo, ambrosini na seedof.
Hawa wazee mpaka muwakamate basi mnatakiwa na nyie mjaze sugu pia.
Au la msubiri mipira iwateleze ndo mpenyepenye na kwenda kuwafunga.
Ila moto utawaka naamini
 
Siku tisa zimebaki...
yule beki bora wa kati Alesandro Nesta amepona.
Pia fullnack ya kulia Massimo Oddo na ya kushoto Luca Zambrotta pia nao wako kamili.
Pato anaendelea vizuri kutokana na upasuaji wa meno aliofanyiwa.
Na mimi ripota wenu pia niko fit...

Forza Milan
 
Unapoanzisha thread inatakiwa uwe neutral halafu baadae ndiyo uoneshe ushabiki kwa kuchangia. Thread zenye ushabiki kama hizi huwa zinakosa mvuto kwani watu tunajua kuwa mwanzilishi wake tayari ana pre conceived preference. Ila unachotakiwa jua ni kuwa Man U ni chama kubwa anything is possible sijui mkifungwa utakuja ifuta hii thread!
 
Unapoanzisha thread inatakiwa uwe neutral halafu baadae ndiyo uoneshe ushabiki kwa kuchangia. Thread zenye ushabiki kama hizi huwa zinakosa mvuto kwani watu tunajua kuwa mwanzilishi wake tayari ana pre conceived preference. Ila unachotakiwa jua ni kuwa Man U ni chama kubwa anything is possible sijui mkifungwa utakuja ifuta hii thread!

Mimi ni shabiki nguli wa Milan na ni Shabiki nguli wa Yanga.
Siwezi kujifichaficha kwa kushabikia timu hizi, mimi sio mnafiki...

Niko hapa kwa ajili ya AC Milan na Yanga.
So kuwa 50/50 ni sawa na kuwa mnafiki.

Turudi kwenye hilo chama kubwa lako la Manure UTD, hv kumbukumbu yako inaonyesha ni lini mlipata kuwafunga na kuwatoa watoto hawa wa waziri mkuu?

Naomba jibu lisiwe la ubabaishaji.
Jibu nataka liwe kamili na lililojitoshereza
 
Nani atamzuia Pato? Nina wasiwasi na back 4 ya Man Utd
 
Turudi kwenye hilo chama kubwa lako la Manure UTD, hv kumbukumbu yako inaonyesha ni lini mlipata kuwafunga na kuwatoa watoto hawa wa waziri mkuu?

Naomba jibu lisiwe la ubabaishaji.
Jibu nataka liwe kamili na lililojitoshereza[/QUOTE]

Naomba nimsaidie kujibu; mara ya mwisho Man U walipigwa 3-0 kwa tabu sana pale San Siro!
 
AC Milan ina wachezaji wazee tukianza na C SEERDOLF huyu ni mchezaji mzee sana kuweza kukimbizana na akina Fletcher,Nani na Valencia.Man U kwa sasa ipo imara sana rekodi ziko wazi waulize ze Gunners na Man City walivyopewa kichapo bila huruma.
Mpaka sasa hakuna beki wa kumzuia Rooney hata Nesta na Gattuso wamezeeka sana kiasi kwamba hawana njia nyingine zaidi ya kucheza mchezo wa kujiami.
 
AC Milan ina wachezaji wazee tukianza na C SEERDOLF huyu ni mchezaji mzee sana kuweza kukimbizana na akina Fletcher,Nani na Valencia.Man U kwa sasa ipo imara sana rekodi ziko wazi waulize ze Gunners na Man City walivyopewa kichapo bila huruma.
Mpaka sasa hakuna beki wa kumzuia Rooney hata Nesta na Gattuso wamezeeka sana kiasi kwamba hawana njia nyingine zaidi ya kucheza mchezo wa kujiami.

Nakukumbushwa mkubwa kuwa Mpira sio Mbio.
na kama Mpira ungekuwa mbio basi wakenya wangekuwa Mabingwa.
 
Kifuatacho ni kikosi cha AC Milan kilichoicharaza Man UTD goli 3-0 ktk machinjio ya Sansiro Meazza...

Uwanja: sansiro
Tarehe: may/2/2007
matokeo: milan 3-0 man utd
Wafungaji: kaka, seedolf, gilardino
Watazamaji: nyomi

Dida, Oddo, janckulovski, Kaladze, brigadia Nesta, generali Gattusso, pirlo, mkuu wa itifaki Massimo Ambrosini ama wawezamuita Ambro, uncle seedolf, bro Kaka na Super Pippo the pocher phillipo Inzaghi.
 
Na Hapo jana ktk dimba la sansiro meazza klabu ya AC Milan imeichapa klabu ya Udinese goli 3-2 ktk mchezo wa ligi ya serie A ambao ulishuhudia yule kiungo anayefananishwa na wachezaji wa ligi za mbinguni yaani Ronaldinho gaucho akitoa brilliant blind pass tatu zilizozaa magoli.
Kama hiyo haitoshi Milan ilimpokea mshambuliaji wake Alexander Pato aliyekuja na kufunga goli moja akitokea ktk majeruhi.
Wakati magoli mengine yakifungwa na mholanzi Huntelaar.

Forza Milan.
 
England v Italy: Five Ways Milan Can Beat Man Utd

The Rossoneri need not abandon hope just yet.....


88457_news.jpg


Alexandre Pato - Milan

Manchester United are the bookies' favourites to overcome AC Milan in the Champions League, but is it as clear-cut as all that?

Certainly the Rossoneri are not the force they once were; the same accusation can be levelled against the Red Devils, of course, yet it remains the case that they topped their CL group while Milan - admittedly lumbered with a tougher one - limped through in second, scoring few goals along the way.

Still, below are five reasons why Milan can't never quite be counted out of this monumental match-up. Will they come to pass? We'll see...

1. Every midfield has its day

14399_thumb.jpg
The Milanese central line offers the most danger to United. That's largely down to
Andrea Pirlo . It feels like he's been around forever but in fact he's still "only" 30. Compare and contrast to Paul Scholes, who at 35 is surely in his twilight.

Much else depends on who's on form, but Massimo Ambrosini , the skipper, is in his last year of contract but has over the past two seasons enjoyed an unlikely second wind. Clarence Seedorf needs no introduction.

If this match is going to be won and lost in the middle of the park, it's Milan who could well do the winning.

2. The centre-backs

59192_thumb.jpg
Not a defender in the world wants to face Wayne Rooney at this moment in time. The striker is almost unplayable.


Almost.

In fact, two top defenders on form may well feel that they have what it takes to stop the grinning Scouser. Enter Alessandro Nesta and Thiago Silva, the bedrock of Milan's recent success. The two have surged up the Castrol Rankings this season thanks to a series of fine performances and cut an imposing duo.

However, this strength could just as easily become a weakness. If one of the two is missing, the chain's weaker link becomes that much flimsier. Milan don't really have in reserve anyone who can match these two. But if they last the 180 minutes, Rooney will have a challenge on his hands.
3. The weak areas are a no-man's land

53986_thumb.jpg
AC Milan have perhaps the weakest array of wide defenders left in the competition. But United's current style sees them fail to take advantage of the flanks as much as they did during the heady days of Cristiano Ronaldo, meaning that these areas will remain largely uninhabited.

Sure, the roving Patrice Evra remains a threat, but on the whole the endearingly average Ignacio Abate - the Ringo Starr of San Siro - and an increasingly decrepit Gianluca Zambrotta will be left untroubled.

4. Simply Pato

58730_thumb.jpg
Wayne Rooney is without question the best forward in the world at this moment in time. That's not really up for debate, and it's already been acknowledged.


But while Milan lack the star-studded line-up of previous years, they have in the unassuming Brazilian youngster Pato the kind of player who can rival Rooney for that mantle in years to come.

True, he's only managed two CL goals this season, but his second - a wonderful volley at the Bernabeu against Real Madrid - was worthy of winning any game. It's that kind of magical moment that Pato can produce, if he's given half a chance.

5. A little thing called pedigree

396_thumb.jpg
AC Milan are a European team - it's that simple. Some clubs have it, some clubs don't. Among those who do, some have it more than others.


Sure, United tower among the top continental clubs, but in the history of the European Cup and Champions League, Milan are above even the Old Trafford men. Only Real Madrid top the Rossoneri in the all-time stakes - nobody else.

But will history truly count for anything when the teams line up on 16th? Once again... we'll see.
 
_47302733_vidic.jpg


Nemanja Vidic will miss the first leg of Manchester United's last-16 Champions League tie against AC Milan.

The Serbian defender is yet to play in 2010 because of a nerve problem in a leg and did not travel to Italy.

United boss Sir Alex Ferguson must now decide whether Jonny Evans or Wes Brown join Rio Ferdinand in central defence.

Ryan Giggs is also out of Tuesday's game after breaking an arm in the draw at Aston Villa and fellow midfielder Anderson is not in the squad.

United flew out Italy on Monday morning ahead of their meeting with seven-time champions of Europe Milan, who have beaten the Premier League outfit on all four occasions they have met in a two-legged European tie.

Milan midfielder David Beckham, who is on loan from Los Angeles Galaxy, is poised to face United for the first time since he left Old Trafford for Real Madrid in 2003.

Despite missing the tie, Giggs knows all about Beckham from their time together at United and and he expects the 34-year-old former England captain to be operating at the highest level for some time yet.

"We are different in the sense he has been in the limelight, front page and back, while I prefer to keep myself to myself," said Giggs. "But I still speak to him. He has not changed as a person.

http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/europe/8515983.stm
 
Na Hapo jana ktk dimba la sansiro meazza klabu ya AC Milan imeichapa klabu ya Udinese goli 3-2 ktk mchezo wa ligi ya serie A ambao ulishuhudia yule kiungo anayefananishwa na wachezaji wa ligi za mbinguni yaani Ronaldinho gaucho akitoa brilliant blind pass tatu zilizozaa magoli.
Kama hiyo haitoshi Milan ilimpokea mshambuliaji wake Alexander Pato aliyekuja na kufunga goli moja akitokea ktk majeruhi.
Wakati magoli mengine yakifungwa na mholanzi Huntelaar.

Forza Milan.

Naona umewakamia hawa devils watatoka kweli?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom