Thread nyingine zinaboa

Magna Carta

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
4,348
Reaction score
6,669
Naunga hoja mkono,hope ujumbe utafika kwa wahusika
 
Eti ukitaka kwenda Bandarini unapitia njia ya wapi?

JF ya siku hizi ikiwa na element nyingi za FB.
 
Na wewe kama inakuchosha husiendelee kuifatilia, of course ni kweli mara nyingine kuna thread zinaboa ila hauwezi kuanza kulimit mtu humu, hili ni jukwaa huru as long as wasitoke nje ya maadili... Kwa upande wangu nikiona thread michosho huwa naachana nayo!
 
Eti ukitaka kwenda Bandarini unapitia njia ya wapi?

JF ya siku hizi ikiwa na element nyingi za FB.

mtu anaomba ushauri ampeleke wapi demu wake out, nonesense kabisa nashauri mods wafanye namna
 
Wengine wanaanzisha mada ya athari za punyeto wakati hii mada imeshajadiliwa kibao hapo awali. This is bullshit.
 
Nawewe unatuchosha pia
 
Nadhani pia mods watusaidie kuondoa thread zinazokera.

Cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Kwa mfano mtu anaanzisha uzi eti mwanamke ukimpa pesa lazima akuambie baby I love u...haaahaaa Mkuu natania tu
 
Yaani Hii Mitandao Imefanya Watu Wamekuwa Wavivu Kufikiri,thread Za Kijinga Jinga Tu Unauliza Mambo Ya Kipumbavu Tu Mda Wote,yaani Hakuna Vya Maana,
 
Nadhani pia mods watusaidie kuondoa thread zinazokera.

Cc Paw

hasa thread za jukwaa la mahusiano kuna thread za ajabu ajabu mno huwezi jua nani mkubwa nani mdogo,ubaya zinaleta attention kwenye new posts ukijaribu kufungua unaambulia kuboreka,mods watakusikia
 
Last edited by a moderator:

aisee hata mashuleni kuna levo mbalimbali haiwezekani watoto wa chekechea ukawachanganya na wadarasa la sita kuunda timu ya shule mathalaani ya mpira wa miguu
 
aisee hata mashuleni kuna levo mbalimbali huwezi ukawachanganya chekechea na darasa la sita uunde timu ya shule mathalani ya mpira wa miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…