This will be my biggest risk! Kilimo cha alizeti Singida

mk
Dodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge

mkuu niunge kwenye hilo group kwa hisani yaako pls 0774272617
 
Mwenye kuhitaji mbegu ya Hysun 33 kwa bei ya punguzo anicheki pm.1kg Tsh 30,000 badala ya Tsh 35,000.Wahi mapema ,Nina Kg 15 tu zimebaki
 
2.Kwa ekari 40 hiyo cost yako ya 5M bado ipo chini
Nilitaka kumuambia hiki kitu.
Haiwezekani kwa zao lolote hekari 40 kulima kwa gharama za Tsh 5M.
Pia hapo kwenye gharama uongeze za kuvuna, usafiri, ukamuaji n.k.

Kwenye mavuno pia uangalie changamoo za ndege na wadudu wengine waharibifu.
Kufukuza ndege nayo ni gharama kubwa kidogo, au kutega sumu kuuwa panya na jamii yake.

Kulima kwa kutegemea mvua tu ni bahati nasibu kubwa, hiyo ni kamari kama betting game.
 
Kitu kingine muhimu sana zingatia kununua mbegu zilizo thibitishwa(certified) toka kwa taasisi maalum za uzalishaji na usambazaji mbegu zilizothibitishwa na serikali.
Kununua toka kwa wakulima wenzio ambao mbegu zao ambazo hazijathibitishwa ubora unaweza kujikuta unanunua mbegu duni au sio zenyewe.

Kuhakikisha unazingatia (maintain) ubora wa mbegu baada ya kuzipanda first generation (F1) ni kazi ngumu sana,
Wakulima wengi hasa waswahili wasio kuwa na elimu kubwa au elimu ya kilimo cha kitaalamu huwa wanapuuzia vitu vingi sana. Kwa hivyo hizo mbegu toka shambani kwao sio Hysun 33 F1.
Hizo mbegu za kutoka kwa wenzio tunaita za kukamua sio F1 tena, zinakuwa na magonjwa mengi, mazao machache, zinatoa mafuta pungufu.
 
Mwenye kuhitaji mbegu ya Hysun 33 kwa bei ya punguzo anicheki pm.1kg Tsh 30,000 badala ya Tsh 35,000.Wahi mapema ,Nina Kg 15 tu zimebaki
hivi hii mbegu ukiipanda unaweza rudia tena baada ya mavuno?
 
Dodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge
Mkuu check inbox yako
 
Salute kwenu mabibi na mabwana.

Mafanikio makubwa huja kwa ku-take risk kubwa vilevile. Ukikosa unakosa kweli unaweza usirudie tena lakini mzigo ukitiki unatoboa kweli kweli.

Sasa mpango mzima nimeshau-draft kila kitu hadi soko la mafuta ya alizeti nitakayokamua. Kilichobaki ni kusubiri mwezi wa kumi na mbili niingie site nikapambane.


Nimepanga kulima ekari 40 za alizeti mkoani singida. Ardhi ninayomiliki hadi sasa ni ekari 10 tu ila nipo kwenye hatua za mwisho kukodi ekari 30 ili zifike 40. Nitalima alizeti zote.

Michakato mingine kama trekta la kulimia inaenda vizuri na muda sio mrefu inakamilika.

Kuna mbegu moja ya alizeti inaitwa Hysun 33. Hii mbegu balaa lake sio la nchi hii. Inasemekana kwa ekari moja inaweza kutoa gunia 15-18 za alizeti za kilo mia mia. Inasemekana inavumilia hali zote za ukame na mvua nyingi, magonjwa n.k. Ni mbegu bora sana naona hata serikali ya mkoa imeipitisha rasmi which means huenda ipo vizuri. Bei yake kwa kilo ni 35000/=.


Nimepiga hesabu zangu za kilimo cha mtandaoni au kwenye makaratasi. Kwa ekari 40 nitaweza kupata gunia 400 (nimeassume ekari moja itatoa gunia 10 badala ya gunia 15 walizosema wataalam).

Kwa hizo gunia 400 nitakamua mafuta ya alizeti ambapo sasa watalaam wa mbegu ya Hysun 33 wamesema uhakika ni kupata dumu 2 za mafuta ya alizeti kwa kila gunia. Mimi nita-lower expectation zangu nipate average ya dumu moja kwa gunia moja). Hapo nitazungumzia habari ya kupata dumu 400 za mafuta.

Nitauza mafuta kwa bei ya 50,000/= kwa dumu moja la lita 20. Hapo nitapata 20M. Calculation zangu zinaonyesha kuwa running cost zote zitanigharimu 5M). Hapo nategemea net profit ya 15M.


Sina shaka na mahesabu yangu yote hapo juu. Hapo nimeweka minimum value sana ukilinganisha na maelekezo ya wataalam na wazee wa kijiji niliopata fursa ya kukutana nao hivi majuzi. Shida yangu ni moja tu: MVUA HAITANIANGUSHA KWELI? ukizingatia mkoa wa singida ni mkoa wa ukame ukame.


Naombeni maoni yenu kuhusu hii kitu. Nina uzoefu kidogo kwenye kilimo hiki kwani mwaka jana nililima ekari 2 ili nipate uzoefu. Nilipata gunia nane tu. Kosa langu la kwanza nilikua napiga simu na kutuma hela tu kijijini hadi muda wa mavuno sijakanyaga shambani. Mwaka huu nitakua mwenyewe shambani mwanzo mwisho nikishiriki kila kitu. Kosa la pili nilitumia mbegu za kienyeji. Mwaka huu nitatumia mbegu hybrid za Hysun 33.

Karibuni kwa mchango.
Vipi kuhusu hilo soko mkuu utapata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nalima maeneo ya kijungu na nina mpango wa kulima ekari 20 za alizeti na nimeambiwa mbegu ya hysun33 ndo nzur naomba ushaur wenu na msimu wa kulima huko ni january
 
Naomba msaada kidogo mm nina mpango wa kulika alizeti ila naskia ndege wanapenda sana hili zao mnawezaje kueafukuza ndege naombeni msaada kwa wenye unusi na hili swala
Uwe shambani asubuhi kabla ndege hawajaamka na jioni kabla hawajarudi..

Uwe na dumu au bati ukiwaona piga piga ili yatoe makelele..

Ndege wanaogopa kelele..

Na pia tengeneza vitu kama watu shambani uwe unawahamisha ili wasikariri

#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau!
-Kuna mtu yoyote amelima alizeti mbegu ya Hysun 33 msimu huu?
-Kama yupo/mpo mnaweza kuleta ushuhuda wa matokeo mliyopata ili na wengine wajifunze.
-Pia kama una matarajio ya kuvuna kiasi kikubwa,soko la uhakika lipo,nitakuunganisha na wadau.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli nimeamini kuwa watu huwa mnalima kwa maneno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salute kwenu mabibi na mabwana.

Mafanikio makubwa huja kwa ku-take risk kubwa vilevile. Ukikosa unakosa kweli unaweza usirudie tena lakini mzigo ukitiki unatoboa kweli kweli.

Sasa mpango mzima nimeshau-draft kila kitu hadi soko la mafuta ya alizeti nitakayokamua. Kilichobaki ni kusubiri mwezi wa kumi na mbili niingie site nikapambane.


Nimepanga kulima ekari 40 za alizeti mkoani singida. Ardhi ninayomiliki hadi sasa ni ekari 10 tu ila nipo kwenye hatua za mwisho kukodi ekari 30 ili zifike 40. Nitalima alizeti zote.

Michakato mingine kama trekta la kulimia inaenda vizuri na muda sio mrefu inakamilika.

Kuna mbegu moja ya alizeti inaitwa Hysun 33. Hii mbegu balaa lake sio la nchi hii. Inasemekana kwa ekari moja inaweza kutoa gunia 15-18 za alizeti za kilo mia mia. Inasemekana inavumilia hali zote za ukame na mvua nyingi, magonjwa n.k. Ni mbegu bora sana naona hata serikali ya mkoa imeipitisha rasmi which means huenda ipo vizuri. Bei yake kwa kilo ni 35000/=.


Nimepiga hesabu zangu za kilimo cha mtandaoni au kwenye makaratasi. Kwa ekari 40 nitaweza kupata gunia 400 (nimeassume ekari moja itatoa gunia 10 badala ya gunia 15 walizosema wataalam).

Kwa hizo gunia 400 nitakamua mafuta ya alizeti ambapo sasa watalaam wa mbegu ya Hysun 33 wamesema uhakika ni kupata dumu 2 za mafuta ya alizeti kwa kila gunia. Mimi nita-lower expectation zangu nipate average ya dumu moja kwa gunia moja). Hapo nitazungumzia habari ya kupata dumu 400 za mafuta.

Nitauza mafuta kwa bei ya 50,000/= kwa dumu moja la lita 20. Hapo nitapata 20M. Calculation zangu zinaonyesha kuwa running cost zote zitanigharimu 5M). Hapo nategemea net profit ya 15M.


Sina shaka na mahesabu yangu yote hapo juu. Hapo nimeweka minimum value sana ukilinganisha na maelekezo ya wataalam na wazee wa kijiji niliopata fursa ya kukutana nao hivi majuzi. Shida yangu ni moja tu: MVUA HAITANIANGUSHA KWELI? ukizingatia mkoa wa singida ni mkoa wa ukame ukame.


Naombeni maoni yenu kuhusu hii kitu. Nina uzoefu kidogo kwenye kilimo hiki kwani mwaka jana nililima ekari 2 ili nipate uzoefu. Nilipata gunia nane tu. Kosa langu la kwanza nilikua napiga simu na kutuma hela tu kijijini hadi muda wa mavuno sijakanyaga shambani. Mwaka huu nitakua mwenyewe shambani mwanzo mwisho nikishiriki kila kitu. Kosa la pili nilitumia mbegu za kienyeji. Mwaka huu nitatumia mbegu hybrid za Hysun 33.

Karibuni kwa mchango.
Mkuu tunaomba mrejesho kama ulifanikiwa kulima, tutiane moyo ila pia tujue changamoto na sisi mwakani tujitose
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom