Vipi hii ukiivuna unaweza ipanda tena?
Mimi nimeifanyia majaribio ya kuipanda mara ya pili, na imekubali vizuri tu. Mimi msimu ujao sinunui mbegu.
Vipi hii ukiivuna unaweza ipanda tena?
Dodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge
Wewe Msukuma? Eti Mbeyu!! Ka KILIMO Cha Kisukuma, Hybrid unatumia mpaka kilo 6Ekari1 unatumia kg ngapi za Mbeyu?
mk
mkuu niunge kwenye hilo group kwa hisani yaako pls 0774272617
Nilitaka kumuambia hiki kitu.2.Kwa ekari 40 hiyo cost yako ya 5M bado ipo chini
hivi hii mbegu ukiipanda unaweza rudia tena baada ya mavuno?Mwenye kuhitaji mbegu ya Hysun 33 kwa bei ya punguzo anicheki pm.1kg Tsh 30,000 badala ya Tsh 35,000.Wahi mapema ,Nina Kg 15 tu zimebaki
hivi hii mbegu ukiipanda unaweza rudia tena baada ya mavuno?
Mdau hapo juu;post #69 ameelezea vzr .Kurudia mbegu baada ya kuvuna haitakiwi
Mkuu check inbox yakoDodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge
Vipi kuhusu hilo soko mkuu utapata?Salute kwenu mabibi na mabwana.
Mafanikio makubwa huja kwa ku-take risk kubwa vilevile. Ukikosa unakosa kweli unaweza usirudie tena lakini mzigo ukitiki unatoboa kweli kweli.
Sasa mpango mzima nimeshau-draft kila kitu hadi soko la mafuta ya alizeti nitakayokamua. Kilichobaki ni kusubiri mwezi wa kumi na mbili niingie site nikapambane.
Nimepanga kulima ekari 40 za alizeti mkoani singida. Ardhi ninayomiliki hadi sasa ni ekari 10 tu ila nipo kwenye hatua za mwisho kukodi ekari 30 ili zifike 40. Nitalima alizeti zote.
Michakato mingine kama trekta la kulimia inaenda vizuri na muda sio mrefu inakamilika.
Kuna mbegu moja ya alizeti inaitwa Hysun 33. Hii mbegu balaa lake sio la nchi hii. Inasemekana kwa ekari moja inaweza kutoa gunia 15-18 za alizeti za kilo mia mia. Inasemekana inavumilia hali zote za ukame na mvua nyingi, magonjwa n.k. Ni mbegu bora sana naona hata serikali ya mkoa imeipitisha rasmi which means huenda ipo vizuri. Bei yake kwa kilo ni 35000/=.
Nimepiga hesabu zangu za kilimo cha mtandaoni au kwenye makaratasi. Kwa ekari 40 nitaweza kupata gunia 400 (nimeassume ekari moja itatoa gunia 10 badala ya gunia 15 walizosema wataalam).
Kwa hizo gunia 400 nitakamua mafuta ya alizeti ambapo sasa watalaam wa mbegu ya Hysun 33 wamesema uhakika ni kupata dumu 2 za mafuta ya alizeti kwa kila gunia. Mimi nita-lower expectation zangu nipate average ya dumu moja kwa gunia moja). Hapo nitazungumzia habari ya kupata dumu 400 za mafuta.
Nitauza mafuta kwa bei ya 50,000/= kwa dumu moja la lita 20. Hapo nitapata 20M. Calculation zangu zinaonyesha kuwa running cost zote zitanigharimu 5M). Hapo nategemea net profit ya 15M.
Sina shaka na mahesabu yangu yote hapo juu. Hapo nimeweka minimum value sana ukilinganisha na maelekezo ya wataalam na wazee wa kijiji niliopata fursa ya kukutana nao hivi majuzi. Shida yangu ni moja tu: MVUA HAITANIANGUSHA KWELI? ukizingatia mkoa wa singida ni mkoa wa ukame ukame.
Naombeni maoni yenu kuhusu hii kitu. Nina uzoefu kidogo kwenye kilimo hiki kwani mwaka jana nililima ekari 2 ili nipate uzoefu. Nilipata gunia nane tu. Kosa langu la kwanza nilikua napiga simu na kutuma hela tu kijijini hadi muda wa mavuno sijakanyaga shambani. Mwaka huu nitakua mwenyewe shambani mwanzo mwisho nikishiriki kila kitu. Kosa la pili nilitumia mbegu za kienyeji. Mwaka huu nitatumia mbegu hybrid za Hysun 33.
Karibuni kwa mchango.
Check whatsapp yako pleaseHighsun nimelima msimu ulopita,sikupata kama inavyosemwa humu,kuna changamoto kubwa ya mvua,nivigumu sana kupata gunia 15 ya alizeti kwa heka moja kwa kutegemea mvua
Uwe shambani asubuhi kabla ndege hawajaamka na jioni kabla hawajarudi..Naomba msaada kidogo mm nina mpango wa kulika alizeti ila naskia ndege wanapenda sana hili zao mnawezaje kueafukuza ndege naombeni msaada kwa wenye unusi na hili swala
unauzaje, mimi pia nahitajiNina mbegu ya Hysun 33 nilinunua ya kutosha imebaki .Ukihitaji nicheki PM nakupa kwa bei ya chini
Habari wadau!
-Kuna mtu yoyote amelima alizeti mbegu ya Hysun 33 msimu huu?
-Kama yupo/mpo mnaweza kuleta ushuhuda wa matokeo mliyopata ili na wengine wajifunze.
-Pia kama una matarajio ya kuvuna kiasi kikubwa,soko la uhakika lipo,nitakuunganisha na wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunaomba mrejesho kama ulifanikiwa kulima, tutiane moyo ila pia tujue changamoto na sisi mwakani tujitoseSalute kwenu mabibi na mabwana.
Mafanikio makubwa huja kwa ku-take risk kubwa vilevile. Ukikosa unakosa kweli unaweza usirudie tena lakini mzigo ukitiki unatoboa kweli kweli.
Sasa mpango mzima nimeshau-draft kila kitu hadi soko la mafuta ya alizeti nitakayokamua. Kilichobaki ni kusubiri mwezi wa kumi na mbili niingie site nikapambane.
Nimepanga kulima ekari 40 za alizeti mkoani singida. Ardhi ninayomiliki hadi sasa ni ekari 10 tu ila nipo kwenye hatua za mwisho kukodi ekari 30 ili zifike 40. Nitalima alizeti zote.
Michakato mingine kama trekta la kulimia inaenda vizuri na muda sio mrefu inakamilika.
Kuna mbegu moja ya alizeti inaitwa Hysun 33. Hii mbegu balaa lake sio la nchi hii. Inasemekana kwa ekari moja inaweza kutoa gunia 15-18 za alizeti za kilo mia mia. Inasemekana inavumilia hali zote za ukame na mvua nyingi, magonjwa n.k. Ni mbegu bora sana naona hata serikali ya mkoa imeipitisha rasmi which means huenda ipo vizuri. Bei yake kwa kilo ni 35000/=.
Nimepiga hesabu zangu za kilimo cha mtandaoni au kwenye makaratasi. Kwa ekari 40 nitaweza kupata gunia 400 (nimeassume ekari moja itatoa gunia 10 badala ya gunia 15 walizosema wataalam).
Kwa hizo gunia 400 nitakamua mafuta ya alizeti ambapo sasa watalaam wa mbegu ya Hysun 33 wamesema uhakika ni kupata dumu 2 za mafuta ya alizeti kwa kila gunia. Mimi nita-lower expectation zangu nipate average ya dumu moja kwa gunia moja). Hapo nitazungumzia habari ya kupata dumu 400 za mafuta.
Nitauza mafuta kwa bei ya 50,000/= kwa dumu moja la lita 20. Hapo nitapata 20M. Calculation zangu zinaonyesha kuwa running cost zote zitanigharimu 5M). Hapo nategemea net profit ya 15M.
Sina shaka na mahesabu yangu yote hapo juu. Hapo nimeweka minimum value sana ukilinganisha na maelekezo ya wataalam na wazee wa kijiji niliopata fursa ya kukutana nao hivi majuzi. Shida yangu ni moja tu: MVUA HAITANIANGUSHA KWELI? ukizingatia mkoa wa singida ni mkoa wa ukame ukame.
Naombeni maoni yenu kuhusu hii kitu. Nina uzoefu kidogo kwenye kilimo hiki kwani mwaka jana nililima ekari 2 ili nipate uzoefu. Nilipata gunia nane tu. Kosa langu la kwanza nilikua napiga simu na kutuma hela tu kijijini hadi muda wa mavuno sijakanyaga shambani. Mwaka huu nitakua mwenyewe shambani mwanzo mwisho nikishiriki kila kitu. Kosa la pili nilitumia mbegu za kienyeji. Mwaka huu nitatumia mbegu hybrid za Hysun 33.
Karibuni kwa mchango.