This is what we say.........

farryandy

Member
Jun 27, 2012
55
28
Hivi ni kwanini sisi watanzania ni waoga namna hiyo,nimetangaza azma ya kufanya mabadiliko tunahitaji wabunge vijana kwa mkoa wa iringa eti watu wanaogopa ni lini tutakuwa weledi wa malengo yetu na hisia zetu?

Ni nani atatukomboa kutoka katika umasikini wa fikira tulionao?nani atapata uchungu wa kweli na uzalendo kama sio sisi watoa jasho tuwanufaishae wajanja wajinga wachache wanaodhulumu na kutokomeza haki na mali zetu?ni kwanini tusisitiishe huduma dhalimu za hawa watu?

Natumai hali halisi inaonekana kwetu sisi watoto wa wakulima (walalahoi). Tujifunge mikanda tuiweke nchi yetu pahala stahiki,tujenge uchumi wetu,tukuze demokrasia halisi si ya unyang'anyi na upendeleo,tuijenge tanzania yenye mafanikio na muelekeo.asanteni kama nimeleweka.
 
Hivi ni kwanini sisi watanzania ni waoga namna hiyo,nimetangaza azma ya kufanya mabadiliko tunahitaji wabunge vijana kwa mkoa wa iringa eti watu wanaogopa ni lini tutakuwa weledi wa malengo yetu na hisia zetu?ni nani atatukomboa kutoka katika umasikini wa fikira tulionao?nani atapata uchungu wa kweli na uzalendo kama sio sisi watoa jasho tuwanufaishae wajanja wajinga wachache wanaodhulumu na kutokomeza haki na mali zetu?ni kwanini tusisitiishe huduma dhalimu za hawa watu?natumai hali halisi inaonekana kwetu sisi watoto wa wakulima(walalahoi).tujifunge mikanda tuiweke nchi yetu pahala stahiki,tujenge uchumi wetu,tukuze demokrasia halisi si ya unyang'anyi na upendeleo,tuijenge tanzania yenye mafanikio na muelekeo.asanteni kama nimeleweka.

Comrade kwanza mageuzi makubwa ya Fikra yanahitajika kule maeneo yote ya Kitanzini,Mshindo,na miyomboni baada ukomboz huo wa fikra kwa maeneo hayo ndipo sasa haya maoni yako yatapata mashiko binafsi nimekuelewa sana lakini tatizo lipo kwenye hiyo kitaa niliyokutajia na kama wewe ni mwenyeji kidogo iringa basi wajua ni kwa nini maeneo hayo yanahitaji ukombozi wa fikra zao
 
tanzania itkombolewa na watu wa mikoani..na kwa kuanzia ni Iringa...Filikunjombe na Msigwa..wengine woga kibao..
wanauma na kupulizia..
 
Back
Top Bottom