farryandy
Member
- Jun 27, 2012
- 55
- 28
Hivi ni kwanini sisi watanzania ni waoga namna hiyo,nimetangaza azma ya kufanya mabadiliko tunahitaji wabunge vijana kwa mkoa wa iringa eti watu wanaogopa ni lini tutakuwa weledi wa malengo yetu na hisia zetu?
Ni nani atatukomboa kutoka katika umasikini wa fikira tulionao?nani atapata uchungu wa kweli na uzalendo kama sio sisi watoa jasho tuwanufaishae wajanja wajinga wachache wanaodhulumu na kutokomeza haki na mali zetu?ni kwanini tusisitiishe huduma dhalimu za hawa watu?
Natumai hali halisi inaonekana kwetu sisi watoto wa wakulima (walalahoi). Tujifunge mikanda tuiweke nchi yetu pahala stahiki,tujenge uchumi wetu,tukuze demokrasia halisi si ya unyang'anyi na upendeleo,tuijenge tanzania yenye mafanikio na muelekeo.asanteni kama nimeleweka.
Ni nani atatukomboa kutoka katika umasikini wa fikira tulionao?nani atapata uchungu wa kweli na uzalendo kama sio sisi watoa jasho tuwanufaishae wajanja wajinga wachache wanaodhulumu na kutokomeza haki na mali zetu?ni kwanini tusisitiishe huduma dhalimu za hawa watu?
Natumai hali halisi inaonekana kwetu sisi watoto wa wakulima (walalahoi). Tujifunge mikanda tuiweke nchi yetu pahala stahiki,tujenge uchumi wetu,tukuze demokrasia halisi si ya unyang'anyi na upendeleo,tuijenge tanzania yenye mafanikio na muelekeo.asanteni kama nimeleweka.