This is University of Dar es Salam bwana,its challenges towards brighter education!

Nilitaka ku point out hilo la mawasiliano tu kwanza, sina maana ya ku divert mjadala.

Wenye uzoefu wanaweza kutuelezea kwa ufasaha zaidi kama wakuu walivyokwishaanza kufanya.

Moja ya suluhishi za matatizo haya ni kuanzisha vyuo vikuu vingi zaidi vya binafsi na umma, ili sio tu kuweza kuwapa nafasi watu wengi zaidi waweze kupata elimu ya juu, bali pia kuweza kujenga vyuo vipya kwa kutumia miundombinu na nyenzo za kisasa.

Elimu pia inaweza kuwa sehemu ya uwekezaji, katika mana ya kifalsafa, kwamba tunmawekeza katika elimu ili itufae baadaye na hata katika maana ya kibiashara kwamba kuna namna ya kuwekeza kifalsafa na kuchuma hapo hapo. Ukiangalia namba za wahitimu wa vyuo vikuu wa nchi jirani tu ya Kenya, ambayo ni ndogo zaidi zinatilisha huruma.

Kwa hiyo pengine tunafanya overkill katika vyuo vyetu vikuu hivi viwili vitatu vya ngama, inabidi tu diversify, kuwe na mashindano, serikali iweke mazingira mazuri ya uwekezaji katika elimu, kuwe na feasible programs za kutosha kuongeza idadi ya wahitimu pamoja na kazi za kutosha kuwachukua wahitimu hao, ambazo zitaongeza uzalishaji zaidi.

Tatizo naona hakuna nia, kama tungekuwa na nia mabilioni yanayoibiwa kila mwaka yangetumiwa katika elimu nabadiliko tungeyaona.
 
Huu ni uongo wa kijiweni.

Watanzania hatuna shukrani na kile M/Mungu alichotujaalia. Ila naona watu wenye kukrihi wanazidi kuongezeka ktk thread.

Njoo hapa: Skilled – Recognised Graduate (Temporary) visa (subclass 476) ..

Huu ni mfano kuwa UDSM iko juu kwa sana tu ..ila hata Jesus alisema 'Nabii hutambulika isipokuwa nyumbani kwake'

Mmenikera sana 'wajuaji'

Nawaachia thread yenu.

Baba!! Mi naongea na actual employers na employees kwenye makampuni mengi binafsi ya bongo! Na hicho ndicho wanachokisema! Sijasema hawajui the actual subject matter, ila kujieleza vizuri ni shida!!
 
Huu ni uongo wa kijiweni.

Watanzania hatuna shukrani na kile M/Mungu alichotujaalia. Ila naona watu wenye kukrihi wanazidi kuongezeka ktk thread.

Njoo hapa: Skilled – Recognised Graduate (Temporary) visa (subclass 476) ..

Huu ni mfano kuwa UDSM iko juu kwa sana tu ..ila hata Jesus alisema 'Nabii hutambulika isipokuwa nyumbani kwake'

Mmenikera sana 'wajuaji'

Nawaachia thread yenu.

Sasa wewe huoni hata aibu?

Tunajua mtu akisiliba alma mata inauma, lakini hiki chuo kilicho juu sana ndicho hiki hiki kinachotoa wanafunzi wanaotuandikia madudu hapa? je umejaribu kusoma huyo mtoa mada alichoandika ukalinganisha na mtu wa chuo kikuu anavyotakiwa kuandika? Au ndiyo mambo ya "either can't tell the difference or do not care"?

The fact kwamba mambo anayosema ni muhimu haiondoi umuhimu wa yeye kutakiwa kujua kujieleza.
 
Baba!! Mi naongea na actual employers na employees kwenye makampuni mengi binafsi ya bongo! Na hicho ndicho wanachokisema! Sijasema hawajui the actual subject matter, ila kujieleza vizuri ni shida!!

Kama mimi ni employer halafu namuomba mwanafunzi prospective employee aniandikie a short IMPROMPTU piece kuhusu matatizo ya UDSM, halafu ndiyo ananiandikia utumbo huo, siwezi kuona ugumu wa kumkatalia. Hata kama nitaweka pembeni swala la kuchanganya lugha.
 
Sasa wewe huoni hata aibu?

Tunajua mtu akisiliba alma mata inauma, lakini hiki chuo kilicho juu sana ndicho hiki hiki kinachotoa wanafunzi wanaotuandikia madudu hapa? je umejaribu kusoma huyo mtoa mada alichoandika ukalinganisha na mtu wa chuo kikuu anavyotakiwa kuandika? Au ndiyo mambo ya "either can't tell the difference or do not care"?

The fact kwamba mambo anayosema ni muhimu haiondoi umuhimu wa yeye kutakiwa kujua kujieleza.

Wewe nawe saa ingine bana....aaagggghhhh...unakera sana!!!
 
Kuhusu tatizo la kujieleza ni la watz wengi waliosoma Tanzania,Watz hatujui Kiswahili wala Kingereza lakini pamoja na matatizo hayo nafikiri ujumbe umefika
 
McCain is going to win....watch for the biggest upset in PA....liberals will have a looooong night tomorrow

OK, there is a thread for that, let's be civil and not hijack this one on account of that. I noticed my question is unattended.
 
OK, there is a thread for that, let's be civil and not hijack this one on account of that. I noticed my question is unattended.

Unakera kwa sababu unajifanya unajua sana....ooh wait a minute...you gonna say I have low self esteem....dang it...
 
Sijajua kama muanzisha thread kajitambulisha kuwa anasoma UDSM?

Upande mwingine Pundit yuko sahihi,graduate wa Udsm ni ovyoo hakuna mfano.Tena kama FCM ndio zero kabisa.
 
Unakera kwa sababu unajifanya unajua sana....ooh wait a minute...you gonna say I have low self esteem....dang it...

Pengine siyo mimi najifanya najua sana ila ni wewe ndiye hujui au umeridhika na kutokujua hata kile kidogo ninachojua mimi, ushawahi kufikiria hicho?

Halafu ingekuwa poa kama hujui/ hujali kujua halafu pia hukereki na kutokujua.

Sasa wewe hujui/hujali kujua halafu ukiona mtu anaelezea mambo ya kujua unakereka, wapi na wapi?

Kama unachagua kuwa bum kuwa bum, siyo unachagua kuwa bum halafu mtu anapita na suti ya pinstripes unamkandya jamaa anajifanya anajua kuvaa huyu, hujakatazwa na wewe kufanya vitu vyako.
 
You can see how Pundit alivyobadili title ya thread, kutoka matatizo yaliyopo UDSM hadi kuwa capacity ya wanachuo/wahitimu! I think hii ingeweza kuwa another thread, na si post ktk thread iliyopo sasa! Sana sana anakera!
 
Ndugu zangu tunapokosolewa tuchukulie kama ni changamoto ya kujirekebisha. Si kila anayekosoa anafanya hivyo kwa dharau, wengine huwa na nia thabiti ya kusaidia; kwa hiyo tusiruhusu jazba kutuzidi nguvu na kuanza malumbano yasiyo na kichwa wala miguu!!
 
You can see how Pundit alivyobadili title ya thread, kutoka matatizo yaliyopo UDSM hadi kuwa capacity ya wanachuo/wahitimu! I think hii ingeweza kuwa another thread, na si post ktk thread iliyopo sasa! Sana sana anakera!


Pundit si author wa thread wala admin na hivyo hana uwezo wa kubadili title ya thread, title ya thread imebaki ile ile.Ndiyo yale yale ya kutojua kujielezea, kama tunapata wanasheria kama hawa wanaenda kutetea taifa katika kesi kubwa mtu anaweza kutumaliza kwa kitu ambacho tunaweza kusema ni kidogo tu, kujieleza.

Zaidi ya hapo, wewe unaweza kuona vitu viwili hivi, matatizo ya resources na uwezo wa wanachuo kujieleza, kama mambo mawili ambayo hayahusiani.Mimi naweza kusema mambo mawili haya ni pande mbili za shilingi moja hii hii inayosababisha vicious cycle of poverty. Kwa sababu hatuipi elimu umuhimu, tunakuwa na wanafunzi mediocre, wanafunzi mediocre wanaenda kuwa viongozi mediocre (kina Kikwete) viongozi mediocre hawaipi elimu umuhimu, kwa sababu elimu haipewi umuhimu na viongozi mediocre, haipewi bajeti ya kutosha, kwa sababau haipewi bajeti ya kutosha, wanafunzi wanakosa maji, wanalala wawili kwenye vitanda vya wamoja etc the vicious cycle goes on and on, further deteriorating with each cycle.

Sijui ulishaangalia uwezekano wa hili? I thought you wrote "Opaque is watching everything" apparently some things are either escaping your eye or are you just turning a blind eye?



Pia,

Kama unaongelea mimi kubadili maudhui ya na muelekeo wa thread, nilishasema hapo mwanzo kwamba siyo nia yangu kubadili maudhui ya thread, na nikashukuru wachangiaji wengine walioweza kulielezea tatizo hili la resources Mlimani, na nikatoa mchango wangu, na sikuwa nataka kuendelea kuongelea swala la presentation zaidi.Kama ukiangalia post zangu utaona ninajibu hoja na maswali ya watu, kwani mimi si mtu wa kuacha hoja au swali bila kujibu, sasa unataka nisijibu watu?

Tena, hili si gazeti la print media, hii ni online media na moja ya feature zake ni kwamba threads huwa zina evolve.Kama huelewi hii concept ya evolution of threads utapata tabu kila siku hapa na zaidi ya hapo utashindwa kujenga mawazo kwa sababu utakuwa unaoperate katika ulimwengu ulio stagnant.

Unaweza kuendelea kujibizana kuhusu hili, au kuendelea ku-discuss resources chuo kikuu, hujakatazwa.

Mbiu yetu hiyo hapo juu, we dare talk openly
 
Last edited:
It demands not,a language guru to realize pasipo na maji hapana wavuvi.
Hali ya maisha ya wanafunzi wa UD inasikitisha and needs taken seriously.Hivi,viongozi wetu,(Kikwete to be precise) wanaposema kuwa asilimia kubwa ya bajeti ya nchi ya miaka mitatu iliyopita,ilitumika kuinua elimu Tanzania,vitu kama hivi vinakuwa included au?

Hata hivyo,critiquing a presentation mechanism is a crucial starting point in analyzing the proposed theme and not necessarily a contumacious act as it has been perceived here.
 
It demands not,a language guru to realize pasipo na maji hapana wavuvi.
Hali ya maisha ya wanafunzi wa UD inasikitisha and needs taken seriously.Hivi,viongozi wetu,(Kikwete to be precise) wanaposema kuwa asilimia kubwa ya bajeti ya nchi ya miaka mitatu iliyopita,ilitumika kuinua elimu Tanzania,vitu kama hivi vinakuwa included au?

Hata hivyo, critiquing a presentation mechanism is a crucial starting point in analyzing the proposed theme and not necessarily a contumacious act as it has been perceived here.


Suki vipi tena!
Umekusudia kutuacha wengine njiani nini? Wengine huko UDSM tunapasikia tu.




.
 
Naomba niseme/niulize haya;
kwanza,je hivi imeshathibitika kuwa mtoa mada ni mwanafunzi wa UDSM?Naona ni kama wachangiaji wameshaconclude hivyo!Je itakuwaje kama mleta mada ni mfanyakazi wa hapo chuo,au ni mtoto/ndugu wa mfanyakaz au akawa ni mtu alyesimuliwa matatizo hayo na mwanachuo.Mi nadhani haya pia yanawezekana,tusikazanie tu kuwa mleta hoja ni mwanachuo mpaka hapo utakapopatkana uhakika.
Pili,kama kwel ni mwanachuo.Hv itakuwa sahihi kwel kitaalamu kugeneralize kuwa wanachuo wa udsm wapo hivyo just kwa kurefer kitu kilichofanywa na mmoja wao(only)!Ni kvp ntaweza kusema kuwa yeye n mfano halisi wa wengne?Hili nadhani si sawa,au ndo ule usemi wa samak mmoja akioza?.
Tatu,mi nadhani mleta hoja alikuwa na nia ya kuleta taarifa/kupasha habari na pia kupata mchango wa watu wengne wanalionaje,sidhani kama alikuwa anatakiwa kuandaa kama hotuba!Ilikuwa ni suala la kuandka kwa namna ambayo anaona yeye inafaa na itaeleweka.Pia humu JF kuna watu mchanganyko hvyo cdhan kama kuna std mtu anatakiwa afikie ktk kuandka
 
Ni vigumu kwa mwandishi kuleta mada kwa hadhira yenye watu mchanganyiko kana kwamba anaipeleka kwa wahadhiri.Huko kunakuwa na certain std of presentation inabidi afikie ikiwamo lugha na pia mtiririko wa hoja.Kwa hapa sidhani kama hali ni hiyo,unless akitokea mtu wa kunisahihisha ktk hili.Tunapozungumza kuhusu matatzo ya sehemu fulan sidhan kama tutazungumza kwa namna sawa kama vile tunazungumzia mikataba mbalimbali.Nway,we build strength out of our weaknesses.So naona next time wanachuo watakuwa makini(simaanisha hawakuwa makini) pindi watakapoleta hoja hapa.
 
Back
Top Bottom