This is too much. Kila kitu Magufuli kafanya

This is too much. Kila kitu Magufuli kafanya

ila uchumi ukiharibika mnamtaja yeye bila kupepesa macho.

mwakinyo anasema tatizo la watz ni ujuaji.
mimi nasema na unafiki pia.
Na mharibifu wa uchumi ni yeye na chama chake kwani Sera zao ndizo zinzotekelezwa kwa sasa! Hata hivyo uchumi wa kuharibiwa uko wapi? Au ni huu unaoendeshwa kwa pesa za bima ya afya?
 
Pia tunamshukuru Mh Lais kwa juhudi zake zilizowezesha watanzania kupitia Mwakinyo tukapata ushindi dhidi ya Mphilipino Tinampay
 
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
Wamuite tu Kim Jong Un wa Tanzania tujue moja.
 
Itachukua muda mrefu kwa WaTz kutambua pesa si ya Magufuli bali ni ya walipa kodi (Tz)
Vyombo vya habari vinapotosha sana sijui kwa nini?!
Mmelogwa si bure....
 
Sidhani kama anakereka
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
 
Na mharibifu wa uchumi ni yeye na chama chake kwani Sera zao ndizo zinzotekelezwa kwa sasa! Hata hivyo uchumi wa kuharibiwa uko wapi? Au ni huu unaoendeshwa kwa pesa za bima ya afya?
sasa kwanini wakisema mh kajenga barabara mnasema ni wananchi,ila korosho zikikosa wanunuzi anaachiwa zigo lake peke yake.

kwani ni logic gani mnatumia!
 
Kakojoe ukalale ila kumbuka nguvu anazotumia shemeji yako kukulisha ndio kiburi chako!!


Jipange kabla hujaitambua tabia ya ccm
nyinyi ndio mnaoandika kwenye vioo vya magari vyenye vumbi "niosheni".

unadhani kila mtu anakaa mjini kwa hisani ya mume wa dada yake kama nyinyi.
 
Jiwe hakupaswa kuwa Rais wa nchi hii! Kwa hulka na tabia za jiwe narudia hakupaswa kuwa Rais wa nchi hii! Sema ndio hivyo kwa aina ya watu waishio katika nchi hii yeyote yule anaweza akawa Rais! Jamaa anapenda Umungu mtu hivi!
 
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.

Yeye ndio anataka hivyo, na myendaji atakaeacha kusema au kutaja Magufuli ajue hana kazi.
Analazimisha ionekane nchi haina mipango ya marndeleo na taasisi zake zipozipo tu. Kwamba yeye ndio anaamua na kufanya kila jambo.

Akubali pia kwenye Korosho kafanya yeye madudu na hela iliyopigwa kapiga yeye amewaacha wananchi wanalia.
Na kwenye Pamba pia amepiga hela ya ununuzi, wakulima wanaenda msimu mpya wakiwa na pamba ya zamani ndani. Yeye anataka wakopeshe, mbona ndege ananunia cash?
Huyu bwana is a disgrace to the nation
 
sasa kwanini wakisema mh kajenga barabara mnasema ni wananchi,ila korosho zikikosa wanunuzi anaachiwa zigo lake peke yake.

kwani ni logic gani mnatumia!
Hajiamini na hawaamini akiwateua kumsaidia! Hii one man show inamcost Sana na hataki kubadilika kwani Ana obsessive disorder. Kwani, huko ccm hamjawaajiri matherapists wa kuwasaidia? Aliintervene soko la korosho huku akiwa Hana knowledge ya biashara akasukumizwa stoo na korosho za watu!
 
Nakuamini na hawaamini akiwateua kumsaidia! Hii one man show inamcost Sana na hataki kubadilika kwani Ana obsessive disorder. Kwani, huko ccm hamjawaajiri matherapists wa kuwasaidia?
halafu nanyinyi mtakula wapi sasa mkikosa sehemu za kukosoa kama hivyo?
 
halafu nanyinyi mtakula wapi sasa mkikosa sehemu za kukosoa kama hivyo?
Wewe, vile unafanya kupata mlo siyo kila mtu anapita njia hiyo! Kama wewe upo humu kujaza tumbo ni wewe! Wengine tunaandika kwa hulka tu ya kuwasaidia mbadilike na muache huu ujinga wenu wa kuwabagua watanzania badala ya kuwaunganisha! Mnapenda Sana kusifiwa!
 
Hujuagi tu? ITV & Radio one is a Mic for Magufuli.
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
 
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
Hahaa hii awamu imejaa washamba tupu,kwahiyo aliwakuta takukuru wanapanda fisi.ccm ya sasa ni uwongo na kujisifia tu
 
Back
Top Bottom