This is too much. Kila kitu Magufuli kafanya

This is too much. Kila kitu Magufuli kafanya

Wewe, vile unafanya kupata mlo siyo kila mtu anapita njia hiyo! Kama wewe upo humu kujaza tumbo ni wewe! Wengine tunaandika kwa hulka tu ya kuwasaidia mbadilike na muache huu ujinga wenu wa kuwabagua watanzania badala ya kuwaunganisha! Mnapenda Sana kusifiwa!
mtanzania gani aliyekwambia anahitaji msaada wako!!kama sio wewe mwenyewe.

kama unaona hamna haja ya kusifia unapata wapi kuona haja ya kukosoa,simply it a deal,otherway get busy life is too short mr.
 
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
Wacha serikali, serikali inapata wapi pesa kama sio tunazokamuliwa sisi?
 
Hapo nani kachukia, au kukuambia usijifanye mjinga hujapenda?
kwanini mawazo tofauti na yako yaitwe ujinga.

unaita ujinga sababu huna mamlaka,vinginevyo usingeishia hapo ungekuwa zaidi hata ya jiwe,mnayemlaumu hakubali mawazo tofauti na yake.
 
ITV ni kisemeo tu, ni utamaduni kwa sasa kila afisa mwandamizi kumsifia JPM, ama kusema ni maelekezo ya JPM.Muhimu kwetu wananchi maisha yawe bora na yasonge. Angalizo tusisahau kumshukuru daima anaetupa pumzi bure.
 
mtanzania gani aliyekwambia anahitaji msaada wako!!kama sio wewe mwenyewe.

kama unaona hamna haja ya kusifia unapata wapi kuona haja ya kukosoa,simply it a deal,otherway get busy life is too short mr.
First correct your English kwani unajua kuandika vijineno vya kiingereza but it's ungrammatical! Second you are too judgemental Jambo ambalo siyo Jena Sana hasa unapotaka kuwa critical thinker! Ukiyarekebisha hayo utakuwa unaelekea kujijenga! Nakuambia Tena, Mimi siyo wewe na Maisha yangu hayafanani na yako na hayatakaa yafanane kwani my life style is quite different from yours! Siandikii tumbo Bali furaha na hobby ya kucritisize rationally!
 
Naangalia taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya. Hivi amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakuwa anakereka na hizi sifa.
Hayo ndiyo maelekezo, hakuna kuhoji.
 
We jamaa lazma utakua Muhaya. Subiri tetemeko lije kukuumbua. Tutajua tu utajiri wako
First correct your English kwani unajua kuandika vijineno vya kiingereza but it's ungrammatical! Second you are too judgemental Jambo ambalo siyo Jena Sana hasa unapotaka kuwa critical thinker! Ukiyarekebisha hayo utakuwa unaelekea kujijenga! Nakuambia Tena, Mimi siyo wewe na Maisha yangu hayafanani na yako na hayatakaa yafanane kwani my life style is quite different from yours! Siandikii tumbo Bali furaha na hobby ya kucritisize rationally!
 
First correct your English kwani unajua kuandika vijineno vya kiingereza but it's ungrammatical! Second you are too judgemental Jambo ambalo siyo Jena Sana hasa unapotaka kuwa critical thinker! Ukiyarekebisha hayo utakuwa unaelekea kujijenga! Nakuambia Tena, Mimi siyo wewe na Maisha yangu hayafanani na yako na hayatakaa yafanane kwani my life style is quite different from yours! Siandikii tumbo Bali furaha na hobby ya kucritisize rationally!
huandikii tumbo,mbona una hasira sana na asiyeathiri maisha yako!!labda hujui unasimamia wapi?
 
Back
Top Bottom