Alivyoandika dikteta
"Rostam alizaliwa hospital ya mission ilioko kijiji cha mwamalwa,mpaka masista watu waliomuhudumia mama yake bado wako hapo hai,katika tarafa ya Bukene wilaya ya Nzega akiwa mtoto wa kwanza wa marehemu Aziz.Aidha babu yake na bibi yake walizkwa wilaya ya Bukene walikokuwa wakiihi tokea ujana wao,Babu yake Rostam alikuwa mtanzania wa kwanza kununua gari aina ya fiat mwaka 1954....Alisoma shule ya msingi Mwamalwa ambapo mwaka 1969 aliomgoza mkoa wa tabora kwa kufaulu darasa la saba.alipata maksi 148 kati ya 150".
Hapa mimi nachanganyikiwa, huo mwaka 1969 si ndo aliozaliwa??? iweje tena mwaka huohuo amalize darasa la saba????????????
Daima njia ya mwongo ni fupi.
Mimi narudia kutoa wito kwa watanzania wote yeyote aliye soma na Rostamu Aziz popote pale atumwagie hapa!.
Atueleze shule/chuo walicho kuwa mwaka na hata mkuu wa shule/chuo. Hii itaondoa mzizi wote.
Please wana jamii leteni nondo.