Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,769
- 3,644
- Thread starter
- #201
Jokes!
Huamini?
Jokes!
Without vision people parish.......keep working on yours..
safi sana kajumba kadogo halafu kazuri sana!
hapo had umalze nyumba yako utakuw umewatajrsha mafund kuliko ww, mana mtagawana nusu kwa nusu garma ya ujenz na utashangaa w umemalza nyumba na kuflisika wenzako(mafund) ndo wanauanza utajir na kukuajr ww tena kam ...
Kwa hiyo nyumba dogo hata binti Makamba utakuwa umempiga baoHa ha haaaa!!! Itajengwa tu mkuu hata kama ikiwa bilioni 100...Maana waswahili wanasema kipandacho roho....
Kwa hiyo nyumba dogo hata binti Makamba utakuwa umempiga bao
Hii inaonekana kuwa ni nyumba halisi, yaani ishajengwa na ni kama vile ipo nje. Usije ukuwa unatuchezea akili zetu mh? Au unataka kukopi na kupesti?
Baadaye unipatie mchongo......mshahara umeshindwa!Huamini?
tuache utani nieeleze vizuri jinsi utakavyo fanikiwa kushusha huo mjengo mimi ninakibanda changu mwaka wa sita sasa hakijaisha wewe unafanyajefanyaje!
option,jiandae kuwa fisadi.
lazima nikutafute napenda watu wabishi kama wewe wanoamini kuwa wanauweza na huku wakimtegemea MUNGU nimejifunza kitu mzee