This is my future house...Whats yours?

This is my future house...Whats yours?

attachment.php

Ha ha haaa!!! Acha utani mkuu.
 
Ni nyumba nzuri lakini unahitaji kuwa fisadi ili uweze kujenga nyumba ya namna hii.
 
..... alikuwa anauza Twiga sasa bro hapa itabidi uanze dili la kuuza Tembo
 
Ha ha haaaa!!! Itajengwa tu mkuu hata kama ikiwa bilioni 100...Maana waswahili wanasema kipandacho roho....

Anzisha kanisa kama la Getrude Rwakatare au Antony Lusekero,hapo utakuwa na uhakika wa kujenga hilo hekalu.By the way muulize mchungaji huyo mama hekalu lake la kule mbezi beach alitumia shilingi ngapi (window shopping)?.
 
Anzisha kanisa kama la Getrude Rwakatare au Antony Lusekero,hapo utakuwa na uhakika wa kujenga hilo hekalu.By the way muulize mchungaji huyo mama hekalu lake la kule mbezi beach alitumia shilingi ngapi (window shopping)?.

Ha ha haaaa!!! Kwa alitumia bei gani mkuu?
 
It depends on da nature of ur dream,dreaming while sleeping , dreaming while walking ,dreaming when ur hungry ,dreaming when ur jealous ,dreaming when ur full .so which one is yours?.
 
It depends on da nature of ur dream,dreaming while sleeping , dreaming while walking ,dreaming when ur hungry ,dreaming when ur jealous ,dreaming when ur full .so which one is yours?.

nature of the dream doesnt matter...what matters is if you can make that dream come true.
 
Una mpango wa kwenda Peponi kweli wewe!!!??? nadhani utaahirisha hata kama ukipewa nafasi ya upendeleo
 
Mkuu mjengo ni mkali sana isipokuwa wasiwasi wangu ni nguvu ya ndoto yako kwenye huo mjengo halafu ndio Mungu akudondoshee bahati ya mtende MSAFIRI ghafla aamke asubuhi halafu aamue kufanya mabadiliko pale BOT halafu wewe ndio uwe Governor!!!! Mamamamake. yanaweza kutokea ya DAUDI.
 
Mkuu mjengo ni mkali sana isipokuwa wasiwasi wangu ni nguvu ya ndoto yako kwenye huo mjengo halafu ndio Mungu akudondoshee bahati ya mtende MSAFIRI ghafla aamke asubuhi halafu aamue kufanya mabadiliko pale BOT halafu wewe ndio uwe Governor!!!! Mamamamake. yanaweza kutokea ya DAUDI.

Ha ha haaaa!!! Umenifanya nicheke sana mkuu.
 
Utajenga. Je Unao undugu na Lowassa? au wewe ndiye Ridhiwani wa mkwanja?
 
Dogo amka mchana sasa,wenzako wote wako barabarani na vyeti vyao vya chuo, wanazungukia vbarua!,naona una confidence mno na haya maisha, au ndio walewale waliotayarishiwa na washua,isije ikawa mapovu yanatutoka kumbe mwenzetu baba amekwambia lete mchoro nikuandalie ya kwako.
 
Dogo amka mchana sasa,wenzako wote wako barabarani na vyeti vyao vya chuo, wanazungukia vbarua!,naona una confidence mno na haya maisha, au ndio walewale waliotayarishiwa na washua,isije ikawa mapovu yanatutoka kumbe mwenzetu baba amekwambia lete mchoro nikuandalie ya kwako.

ha ha haaaa!!!! Huku kwetu hakuna iyo mambo aisee.
 
Without vision people parish.......keep working on yours..
 
Back
Top Bottom