Hio inawatokea wewe na wenzio wenye nyota ya kuliwa tigo.......yatatimia tuHabari za juma pili wadau
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa wachangiaji nawaleta mada ndani ya jukwaa ili kubadilishana uzoefu kwenye mambo mbalimbali yakijamii na kifamilia
Dhumun lakuandika uzi huu ni kutaka kueleza maswahiba yanayonisibu na haswa kwenye mahusiano.
Kwa kasi ya ajabu sana nimejikuta nina idadi kubwa ya wake za watu ambao najihusisha nao kimapenzi (kama wa4) siwezi kusema najiona rijali au mwerevu sana ila kwa namna ambazo sielew elewi najikuta naangukia kwa wake za watu (kuna ambao either niliwapenda mm na ambao wao walianza)
Hii trend inakua kadri ck zinavyoenda na najikuta i love them more....kwa sababu sio wasumbufu and wanajiheshimu
Wakuu hii hali hua inamtokea kila mmoja au ni mm tu na kwa kadri siku zinavyozid kwenda i think it is getting stronger.
I am early 30's na sijaoa
Ushauri,maoni,vijembe, vyote ruksa
Nikushauri tu Mkuu, wake za watu wanakupotezea muda wako wa kuwa na mkeo, sijui kama una hata mchumba, hapo ulipofika kwa umri ndiyo haswaa unatakiwa kuwa namke na kuanza kujenga familia yako.Habari za juma pili wadau
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa wachangiaji nawaleta mada ndani ya jukwaa ili kubadilishana uzoefu kwenye mambo mbalimbali yakijamii na kifamilia
Dhumun lakuandika uzi huu ni kutaka kueleza maswahiba yanayonisibu na haswa kwenye mahusiano.
Kwa kasi ya ajabu sana nimejikuta nina idadi kubwa ya wake za watu ambao najihusisha nao kimapenzi (kama wa4) siwezi kusema najiona rijali au mwerevu sana ila kwa namna ambazo sielew elewi najikuta naangukia kwa wake za watu (kuna ambao either niliwapenda mm na ambao wao walianza)
Hii trend inakua kadri ck zinavyoenda na najikuta i love them more....kwa sababu sio wasumbufu and wanajiheshimu
Wakuu hii hali hua inamtokea kila mmoja au ni mm tu na kwa kadri siku zinavyozid kwenda i think it is getting stronger.
I am early 30's na sijaoa
Ushauri,maoni,vijembe, vyote ruksa
nashukuru sana mkuu,wewe ndio wakwanza kusumbuka kujiambia maneno yabusaraNikushauri tu Mkuu, wake za watu wanakupotezea muda wako wa kuwa na mkeo, sijui kama una hata mchumba, hapo ulipofika kwa umri ndiyo haswaa unatakiwa kuwa namke na kuanza kujenga familia yako.
Inaonekana baraka yako iko kwenye ndoa hivyo, unavyochelewa kuoa ndivyo unavyopoteza, unachezewa boya na uovu ili uendele kushughurika na wake za watu wakati kibarua cha ndoa yako kinaharibika, nakuomba jitenge nao najua haitakuwa rahisi kwa sababu ndoa ni eneo lako la baraka shetani atakuletea ugumu mwingi kutoka, na inawezekana hata kupata mkee ikawangumu.
Kama ni kweli itakuwa hivyo, basi huo utakuwa uthibitisho kuwa ndoa ni eneo lako la baraka, hivyo itakuhitaji kutumia ujuzi wako wote kupata mke sahihi kwa maisha yako. kwa maana nyingine utahitaji sana kumshirikisha Mungu kuvuka hapo.
Usiogope yote yanawezekana kwake aaminye, piga chini hao waovu haraka kwa kuwaambia sio kwa siri, na waambie unaoa na hautaki kuchanganya mambo. Ukipata ugumu kuacha omba toba kwa Mungu kisha omba mara kwa mara na utatoka.
yap, sifa na utukufu ni vya MUNGU atupendaye sanaaaanashukuru sana mkuu,wewe ndio wakwanza kusumbuka kujiambia maneno yabusara
asante sana will consider your advice
Hahahaa umenikumbusha mbali hilo neno ``msimbe``Aisee yaani unaacha serengeti unakomaa na hao ambao wengine seal zimekufa,maambukizi ya ukimwi ni asilimia 50 kwa wanandoa,wote wanachepuka mke na mume.unaona sifa hiyo? jiongeze.tafuta msimbe mmoja tulia naye.achana na umario huo.
[emoji445] [emoji445] mwenye kupenda haoniiii...ingawa macho aaanayoooo[emoji444] [emoji444]Kwenu hakuna wakubwa??
Nikushauri tu Mkuu, wake za watu wanakupotezea muda wako wa kuwa na mkeo, sijui kama una hata mchumba, hapo ulipofika kwa umri ndiyo haswaa unatakiwa kuwa namke na kuanza kujenga familia yako.
Inaonekana baraka yako iko kwenye ndoa hivyo, unavyochelewa kuoa ndivyo unavyopoteza, unachezewa boya na uovu ili uendele kushughurika na wake za watu wakati kibarua cha ndoa yako kinaharibika, nakuomba jitenge nao najua haitakuwa rahisi kwa sababu ndoa ni eneo lako la baraka shetani atakuletea ugumu mwingi kutoka, na inawezekana hata kupata mkee ikawangumu.
Kama ni kweli itakuwa hivyo, basi huo utakuwa uthibitisho kuwa ndoa ni eneo lako la baraka, hivyo itakuhitaji kutumia ujuzi wako wote kupata mke sahihi kwa maisha yako. kwa maana nyingine utahitaji sana kumshirikisha Mungu kuvuka hapo.
Usiogope yote yanawezekana kwake aaminye, piga chini hao waovu haraka kwa kuwaambia sio kwa siri, na waambie unaoa na hautaki kuchanganya mambo. Ukipata ugumu kuacha toba kwa Mungu kisha ombaombaombaa kwa mara na utatoka.
Mkuu angalia hii ni nzuri sana kwakoNikushauri tu Mkuu, wake za watu wanakupotezea muda wako wa kuwa na mkeo, sijui kama una hata mchumba, hapo ulipofika kwa umri ndiyo haswaa unatakiwa kuwa namke na kuanza kujenga familia yako.
Inaonekana baraka yako iko kwenye ndoa hivyo, unavyochelewa kuoa ndivyo unavyopoteza, unachezewa boya na uovu ili uendele kushughurika na wake za watu wakati kibarua cha ndoa yako kinaharibika, nakuomba jitenge nao najua haitakuwa rahisi kwa sababu ndoa ni eneo lako la baraka shetani atakuletea ugumu mwingi kutoka, na inawezekana hata kupata mkee ikawangumu.
Kama ni kweli itakuwa hivyo, basi huo utakuwa uthibitisho kuwa ndoa ni eneo lako la baraka, hivyo itakuhitaji kutumia ujuzi wako wote kupata mke sahihi kwa maisha yako. kwa maana nyingine utahitaji sana kumshirikisha Mungu kuvuka hapo.
Usiogope yote yanawezekana kwake aaminye, piga chini hao waovu haraka kwa kuwaambia sio kwa siri, na waambie unaoa na hautaki kuchanganya mambo. Ukipata ugumu kuacha omba toba kwa Mungu kisha omba mara kwa mara na utatoka.
ya leti ningelikuwa mwalim.... not at all, welcome... ila sasa sitisha uasherati!! Kwani malipo ni hapahapa Duniani!!inaonekana ww ni mwl,,either way thanks