MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #81
samahani kwa kuwarudisha nyuma mh kuna ubeti umenigusa hapa eti\
........Siri iko, siri iko kwa Manaani, sio hapa , sio hapo dunianii
siwafichi, siwafichi abadani, siri yangu X 2 siri yangu ya moyoni X 2
La kwanza ni mkarimu, akiwa na mimi ndani
tena hapendi kunidhuliumu, ananienzi kwa hisani
Na pia ni msikiu akiwa na mimi ndani,
hapendi kunidhulumu, ananienzi kwa hisani
Tena amejaliwa hakuna mithili yake, walahi anaelewa ni wapi anishike
Walahi ninalelewa ni wapi anishike
Eti na mimi ninamshika natumia wangu uzoefu.................duh I wish
Acha tu............................................................