Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Take a look at @JoeWMuchiri's Tweet:
Mawazo juu yetu naona yameshika kasi sana
Nyambafu zenu
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Kisha kamatwaHuyo anafanya kwenye expedition company inaitwa Tan Tours ipo Arusha anaitwa Emanuel Mmari kama tour guide ni mchagga wala sio mkenya.
Lini sababu video yenyewe mbona ina mudaKisha kamatwa
Hata wewe wanipa shida kitambo sana kujua we mukeiii au mutiziii.Aki ya nani nakufa kwa kicheko...manina zake huyo.....
Halafu lafudhi ya Mtanzania japo mtaanza kulialia ni Mkenya.
Lakini mbona bahili hivi kwa nchi yake?? Ama ni wa upinzani na hataki kabisa mambo ya Magu??Huyo anafanya kwenye expedition company inaitwa Tan Tours ipo Arusha anaitwa Emanuel Mmari kama tour guide ni mchagga wala sio mkenya.