huoni wanalalamika ,hawajui simba ilivyo na jina kubwa africa kwa sasa,nafasi ya 17, ipo bewst 16 ina social media followers wengi wao wamewekeza kuifanyia majungu simba badala ya kuhangaika ku ji revive,yaani wanaofanya research ya jezi bora africa wahangaike hata kujua za utopolo zinafananaje?Utopolo haipo
Sasa umeshindwa nini?? Na je unateseka kutokea mkoa gani?Nani kasema?
Kwa research gani?
Hata mimi Naweza kuphotoshop kibandiko changu kama hicho nikaiweka jezi ya kiluvya united kama jezi zenye mvuto zaidi.
pumzikaKwenye hiyo research wametumia methodology gani? Na sample size yao kwa bara zima la Africa ni ngapi ili kuja na hiyo findings?
NIPE VIGEZOwalifanya utafiti kwa teams za kueleweka siyo za hali ya chini