Wapenzi wa sheria,
Napenda kujua kama kuna kikundi chochote nchini ambacho tunaweza kukiita ThinkTank katika mambo ya Sheria. Nadhani kuwepo kwa kikundi kama hicho kungesaidia sana katika mambo mengi. Yakiwemo
- kutoa uchambuzi na ushauri wa maswala mbalimbali ya sheria, kwa serikali, NGOs na vitengo mbalimbali.
- kuwepo kwa mtazamo wa kutokea nje kidogo, na hivyo kuweza kuzuia mambo fulani kabla hayajatoke. Mojawapo laweza kuwa kwa mfano namna ya kupambana na rushwa. Mara nyingine "kamata weka ndani", inaweza ikawa siyo jibu la muda mrefu.
- kubuni namna ya kuwawezesha raia wa kawaida wazijue haki zao, wasiogope kudai haki zao kwa kufuata sheria, nk.
Jioni njema,
Thadeo.
Napenda kujua kama kuna kikundi chochote nchini ambacho tunaweza kukiita ThinkTank katika mambo ya Sheria. Nadhani kuwepo kwa kikundi kama hicho kungesaidia sana katika mambo mengi. Yakiwemo
- kutoa uchambuzi na ushauri wa maswala mbalimbali ya sheria, kwa serikali, NGOs na vitengo mbalimbali.
- kuwepo kwa mtazamo wa kutokea nje kidogo, na hivyo kuweza kuzuia mambo fulani kabla hayajatoke. Mojawapo laweza kuwa kwa mfano namna ya kupambana na rushwa. Mara nyingine "kamata weka ndani", inaweza ikawa siyo jibu la muda mrefu.
- kubuni namna ya kuwawezesha raia wa kawaida wazijue haki zao, wasiogope kudai haki zao kwa kufuata sheria, nk.
Jioni njema,
Thadeo.