Thinking beyond measures: CCM ni 'mafundi' wa kutengeneza 'matukio' na 'Wapinzani feki'

Hata hili la Maembe ni chezo tu, wapinzani wanaingizwa kingi na kumshabikia kachero wanasahau mambo muhimu.... uchaguzi utafika hawana mtu mwenye sifa ‘wakodishiwe’ Maembe au Marandu kama ilivyokuwa kwa Mamvi.
 
"16. Amid the turmoil and tumult of battle, there may be seeming disorder and yet no real disorder at all; amid confusion and chaos, your array may be without head or tail, yet it will be proof against defeat.

17. Simulated disorder postulates perfect discipline, simulated fear postulates courage; simulated weakness postulates strength." ~ The Art of War, Sun Tzu
 
Hata Mimi naanza kuamini hivyo.Ulaghai tu!
 
Ndiyo ninyi mnaomsifia mtoaji wa sadaka kubwa kanisani kwa mbwembwe nyingi huku mkijua Jana tu kavunja na kupora benki!
 
Nadhani hata goli la mkono nalo itabidi kutumia akili sana ili refa asikuone ikibidi hata VAR
 
Haya mahesabu ya mbali upinzani unashindwaje kuyapiga au hauyajui?
 
Hili ni neno zito haswaaa
Umeona kuna kelele zozote toka upinzani za mkazo kabisa angalau kwamba tume iwe huru? Zaidi ya wapinzani hasa wa mitandao kumshabikia kinachoitwa mgogoro ndani ya ccm kuna lipi lingine?

Sasa hivi hata Lisu kawekwa kando
 
Kwa kuweka neno "kivile" maana yake yametengenezwa lakini siyo kwa kiwango kama cha nyuma
 
Asante Boss,umri wewe ni kijana mdogo lkn,akili zako ni za kiutu!
 
Sio kweli, kwa hiyo waliotaka kumpindua Nyerere ilikuwa planned ndani ya Serikali
Una akili kweli aisee. Ina maana Nyerere alikuwa anauhadaa upinzani? Aisee una akili wewe , tena kipindi kile Chadema na ACT makao makuu yalikuwa mikoani

Wewe ni kichwa, genius kweli , unajua vitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…