Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Wape wape vidonge vyao....wakimeza wakitema....ni shauri yao.....misss you my dear! :yo:
hah ahhah michelle sema mama vp pande io?anko obama ajambo?
ahh awa magubegubeaily naona wameamka nazo leo...ngoja tutambaenao MZH moja....nipe nikupe...niguse kwa bahat mbaya nikukanyage kwa makusud...et wanawake wananuka mhh jamn kuna mkaka uyo tulikuwa tunasoma nae jaman ata km akisimama km 10 toka ulipo unaipata habar yake yan anatema hatar...boksa inanukaaaaaaaaaaaaaaa rang ya bluu ahhh..asitake nimchambe nikimchamba atalia...na leo nataka nikaungame so boflo asitake uchokoz akanifanya nikapewa sala za malipiz nying...chtakkkkkkkkkkkk mie...:nono: