Things ladies do that turn men on

Things ladies do that turn men on

hahhahhhhahahahahaha,imebidi nicheke tu jmn,eti oyaa..hahhaha

Kama nakosea weka wazi ila kwa unadishi wako humu naona kabisaaaaaaaaa unazijua haki zako na unaweza zifuata kama zikichelewa!!!!
 
Subutu! Unless wawe na genuine love for football.

Hamna kinachokeraga wanaume kama mwanamke anaejidai anajua mpira, she's the loudest in the room na hamna lolote.

Yeye na Karucee ni wale wale, wanajua penalty tu! na ni baada ya kuona mijamaa ikipangana mstari imeziba pumbu.

She: baby ile kadi ya njano ni ya nini
he: onyo kuwa kafanya kosa, na nyekundu anatoka nje
she: ooh kijani je?
he: hiyo huwa haipo
she:baby na yule ni nani
he: arsenal wenger
she: aaaah so na yule pale ni manchester wenger
he: kimyaaa
full kerooooo
 
Ha ha haaa
Unamtaka yule mfiwa?
Hahaha mimi i have genuine lov for football na niliambukizwa na kakangu mkubwa na paw. But i am not so vocal, i just watch na kucomment hapa na pale (nna mapozi, lmao, usinichukulie poa. Mamndenyi ana bahati simjui mumewe manake ningemdaka!)
 
And gals who watch football, wink��

He he he, yaani japo niko Chelsea ila sitaki Arsenal ifungwe, maana ndani kunakuwa hamna story tena. Watu wamenunia hadi mafuta ya kujipaka khah!

Saaaaana kaka yaani huyu hata avae gunia! !!!!!!!!!!

King'asti, Kongosho, Ennie mujeeeeeee gfsonwin mnasemwa huku

Bee, umeniita Braza? Ila shangaa kuna mambo bado napata divishen 7

Hahaha. Mie zombie banaa, kila kitu naitika 'ndio baba'

Usininambie na wewe unataka kuwa zombie?
 
unajua kila mtu anacho kinachompa mzuka,japo baadhi hapo ni general,ni vyema ukamuuliza au ukamlearn kuliko kujifanya unajua kila kitu waweza kuishia kumkera tu,ila kama ujui kupika hilo ni janga,kuna wwngine wanapenda mtazame pamoja movie au kupika pamoja,ila swala make up inategemea uko wapi au mnaenda wapi.??
 
Last edited by a moderator:
Big up mkuu,, umegusa apetite yangu 100% has kwenye kupika na hiyo ya mwisho
 
Ila wanaume wanaoshabikia arsenal ni wavumilivu aisee. Yaani wanajua kabisa hawashindi kikombe chochote, na bado tu kila msimu ukianza wanajisifia weeeeh!
akinuna atajijuu, ila bet lazma zilipwe lol.

sio nataka kuwa zombie, i already am a zombie
He he he, yaani japo niko Chelsea ila sitaki Arsenal ifungwe, maana ndani kunakuwa hamna story tena. Watu wamenunia hadi mafuta ya kujipaka khah!






Usininambie na wewe unataka kuwa zombie?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom