There is no template for relationship

There is no template for relationship

I beg to differ , YES there is template in relationship, there is formula in relationship ....shida ya kwanza inaanzia hapo, kitendo cha kufikiri na kuamini kwamba hakuna template kwenye mahusiano ni dalili tosha kwamba itakuletea shida kichwani mwako jinsi ya kumudu mahusiano yako. Shida nyingine ni kwamba hata kwa wale/sisi tunaoamini kwamba there is template wengi hawajui jinsi ya kui apply hiyo template, na pia kuwa template hata iwe nzuri kiasi gani ni kitu kimoja, lakini kujua jinsi ya kuitumia na ifanye kazi vizuri ni kitu kingine.

I'll tell you bluntly, the biggest challenge that faces many people today especially young in managing their relationships is LACK OF SKILLS, maana yake ni kwamba wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa HAWANA MAARIFA YOYOTE, ya jinsi ya kumudu mahusiano hayo, kwa lugha nyingine wanaingia 'bila template' kichwa kichwa huku wakitarajia mahusiano yawe supa... ni kichekesho, na tatizo hili wanalo hasa vijana wa kiume. Vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano na wanatamani yawe poa while they are doing nothing, eti kisa? tarari yeye ni mwanaume!. Hili tutaliongelea siku nyingine. Yaani watu wanaingia kwenye mahusiano kama vile wanavyocheza michezo ya kubahatisha ya kamari (Betting) , huku wakitarajia matokeo bora, chukulia mfano rahisi sana... ukicheza kamari mara kumi unadhani una nafasi ngapi za kushida? (Zote, 1, 6, 10?) nikusaidie? Uzoefu unaonesha kwamba uwezekano wa kukosa zote ni mkubwa na kama ni kupata labda nafasi moja. Hii inamaanisha nini katika maisha yetu ya mahusiano? Mahusiano yako ni maisha yako kwanini unayabahatisha maisha yako kama unavyobet kamari?

Leo hii hakuna yeyote (Si raia wa kawaida, si serikali) akayeruhusu upewe ufunguo ili uendeshe gari bila kuthibitisha kwamba una SKILLS za kuendesha gari, uthibitisho wa kuwa na maarifa ya kuendesha gari ni pamoja na kupitia mafunzo ya driving school, kupata cheti na hatimaye leseni, kwa lugha nyingine hii ndiyo template yako ya kukuwezesha kuendesha gari. Sasa iweje leo unaingia kwenye mahusiano bila SKILLS, lazima utakwama, sio uchawi. Ni sawa na upewe ufunguo uendeshe gari wakati wewe hujui kuendesha gari, sote tunajua kitakachotokea.

Ukitaka kujua jinsi ambavyo vijana wengi hawana SKILLS za kumudu mahusiano yao angalia au sikiliza 'tones' ya zimulizi zao za kimahusiano utagundua masuala mawili 1) Watalalamika sana, 2) Watamlaumu mtu fulani, si wao bali ni UKOSEFU WA MAARIFA

NDUGU ZANGU BADALA YA KUPOTEZA MUDA KULALAMA, KULAUMU, KUSAGA MENO....GO OUT THERE AND GET SOME SKILLS SO THAT YOU CAN MANAGE AND ENJOY YOUR RELATIONSHIPS.

Ukikwama nitafute inbox tuyajenge

NDIYO MAHUSIANO YANA TEMPLATE
 
I beg to differ , YES there is template in relationship, there is formula in relationship ....shida ya kwanza inaanzia hapo, kitendo cha kufikiri na kuamini kwamba hakuna template kwenye mahusiano ni dalili tosha kwamba itakuletea shida kichwani mwako jinsi ya kumudu mahusiano yako. Shida nyingine ni kwamba hata kwa wale/sisi tunaoamini kwamba there is template wengi hawajui jinsi ya kui apply hiyo template, na pia kuwa template hata iwe nzuri kiasi gani ni kitu kimoja, lakini kujua jinsi ya kuitumia na ifanye kazi vizuri ni kitu kingine.

I'll tell you bluntly, the biggest challenge that faces many people today especially young in managing their relationships is LACK OF SKILLS, maana yake ni kwamba wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa HAWANA MAARIFA YOYOTE, ya jinsi ya kumudu mahusiano hayo, kwa lugha nyingine wanaingia 'bila template' kichwa kichwa huku wakitarajia mahusiano yawe supa... ni kichekesho, na tatizo hili wanalo hasa vijana wa kiume. Vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano na wanatamani yawe poa while they are doing nothing, eti kisa? tarari yeye ni mwanaume!. Hili tutaliongelea siku nyingine. Yaani watu wanaingia kwenye mahusiano kama vile wanavyocheza michezo ya kubahatisha ya kamari (Betting) , huku wakitarajia matokeo bora, chukulia mfano rahisi sana... ukicheza kamari mara kumi unadhani una nafasi ngapi za kushida? (Zote, 1, 6, 10?) nikusaidie? Uzoefu unaonesha kwamba uwezekano wa kukosa zote ni mkubwa na kama ni kupata labda nafasi moja. Hii inamaanisha nini katika maisha yetu ya mahusiano? Mahusiano yako ni maisha yako kwanini unayabahatisha maisha yako kama unavyobet kamari?

Leo hii hakuna yeyote (Si raia wa kawaida, si serikali) akayeruhusu upewe ufunguo ili uendeshe gari bila kuthibitisha kwamba una SKILLS za kuendesha gari, uthibitisho wa kuwa na maarifa ya kuendesha gari ni pamoja na kupitia mafunzo ya driving school, kupata cheti na hatimaye leseni, kwa lugha nyingine hii ndiyo template yako ya kukuwezesha kuendesha gari. Sasa iweje leo unaingia kwenye mahusiano bila SKILLS, lazima utakwama, sio uchawi. Ni sawa na upewe ufunguo uendeshe gari wakati wewe hujui kuendesha gari, sote tunajua kitakachotokea.

Ukitaka kujua jinsi ambavyo vijana wengi hawana SKILLS za kumudu mahusiano yao angalia au sikiliza 'tones' ya zimulizi zao za kimahusiano utagundua masuala mawili 1) Watalalamika sana, 2) Watamlaumu mtu fulani, si wao bali ni UKOSEFU WA MAARIFA

NDUGU ZANGU BADALA YA KUPOTEZA MUDA KULALAMA, KULAUMU, KUSAGA MENO....GO OUT THERE AND GET SOME SKILLS SO THAT YOU CAN MANAGE AND ENJOY YOUR RELATIONSHIPS.

Ukikwama nitafute inbox tuyajenge

NDIYO MAHUSIANO YANA TEMPLATE
Broh hongera. Your way of thinking pengine inaweza patia wadau maarifa mapya juu ya mahusiano. Usisite kutupa darasa pindi upatapo nafasi.
 
I beg to differ , YES there is template in relationship, there is formula in relationship ....shida ya kwanza inaanzia hapo, kitendo cha kufikiri na kuamini kwamba hakuna template kwenye mahusiano ni dalili tosha kwamba itakuletea shida kichwani mwako jinsi ya kumudu mahusiano yako. Shida nyingine ni kwamba hata kwa wale/sisi tunaoamini kwamba there is template wengi hawajui jinsi ya kui apply hiyo template, na pia kuwa template hata iwe nzuri kiasi gani ni kitu kimoja, lakini kujua jinsi ya kuitumia na ifanye kazi vizuri ni kitu kingine.

I'll tell you bluntly, the biggest challenge that faces many people today especially young in managing their relationships is LACK OF SKILLS, maana yake ni kwamba wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa HAWANA MAARIFA YOYOTE, ya jinsi ya kumudu mahusiano hayo, kwa lugha nyingine wanaingia 'bila template' kichwa kichwa huku wakitarajia mahusiano yawe supa... ni kichekesho, na tatizo hili wanalo hasa vijana wa kiume. Vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano na wanatamani yawe poa while they are doing nothing, eti kisa? tarari yeye ni mwanaume!. Hili tutaliongelea siku nyingine. Yaani watu wanaingia kwenye mahusiano kama vile wanavyocheza michezo ya kubahatisha ya kamari (Betting) , huku wakitarajia matokeo bora, chukulia mfano rahisi sana... ukicheza kamari mara kumi unadhani una nafasi ngapi za kushida? (Zote, 1, 6, 10?) nikusaidie? Uzoefu unaonesha kwamba uwezekano wa kukosa zote ni mkubwa na kama ni kupata labda nafasi moja. Hii inamaanisha nini katika maisha yetu ya mahusiano? Mahusiano yako ni maisha yako kwanini unayabahatisha maisha yako kama unavyobet kamari?

Leo hii hakuna yeyote (Si raia wa kawaida, si serikali) akayeruhusu upewe ufunguo ili uendeshe gari bila kuthibitisha kwamba una SKILLS za kuendesha gari, uthibitisho wa kuwa na maarifa ya kuendesha gari ni pamoja na kupitia mafunzo ya driving school, kupata cheti na hatimaye leseni, kwa lugha nyingine hii ndiyo template yako ya kukuwezesha kuendesha gari. Sasa iweje leo unaingia kwenye mahusiano bila SKILLS, lazima utakwama, sio uchawi. Ni sawa na upewe ufunguo uendeshe gari wakati wewe hujui kuendesha gari, sote tunajua kitakachotokea.

Ukitaka kujua jinsi ambavyo vijana wengi hawana SKILLS za kumudu mahusiano yao angalia au sikiliza 'tones' ya zimulizi zao za kimahusiano utagundua masuala mawili 1) Watalalamika sana, 2) Watamlaumu mtu fulani, si wao bali ni UKOSEFU WA MAARIFA

NDUGU ZANGU BADALA YA KUPOTEZA MUDA KULALAMA, KULAUMU, KUSAGA MENO....GO OUT THERE AND GET SOME SKILLS SO THAT YOU CAN MANAGE AND ENJOY YOUR RELATIONSHIPS.

Ukikwama nitafute inbox tuyajenge

NDIYO MAHUSIANO YANA TEMPLATE
una haki ya kujiita Mchanya........ napenda sana mtu anaewaza positive siku zote!


labda kwa kuongezea, watu wanaingia kwenye mahusiano na too much expectation bila kuweka juhudi zao ili kuyafanya mahusiano yao yawe bora!.....

lkn pia kuna tatizo la kutoridhika, mtu akiona ndoa flani imesimama anajua labda ni kwa sababu wana match or ni soulmate and whatever, wakati uhalisia ni watu wameridhika na hali zao, hivyo wamewekeza nguvu na juhudi katika kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo!......


lastly, hatuna mentors kwenye maeneo mengi ya kimaisha including relationships, na hili ni janga kubwa sana mpaka makanisani (kwetu sisi watu wa church)...... mtu anakua yupo yupo tu inafikia hatua anafanya maamuzi hana mtu wa kumwomba ushauri, very sad!.....


Heaven Sent atamalizia......
 
Habari zenu ndugu zangu ambao hatujuani kwa sura wa majina!

Wahenga wanasemaga katika mtihani wa maisha hutakiwi kuigilizia au kupiga chabo maana questions paper zetu ziko tofauti. Ila kwa upande wangu Analyse naamini questions paper zinafanana, ila ukisema ukopi booklet ya mwenzako lazima ufeli.

As human beings wote requirements zetu naamini zipo sawa, ila tunatofautiani upiganiaji hizo requirements.

Recently humu ndani nimeona threads kibao zikizungumzia bikra na single mothers. Kuna anaesema usipooa bikra jua wewe ni mchepuko tu na ndugu yangu Jokajeusi anajitahidi sana kutetea bikra. Mwingine anasema bikra zinamtesa, maana miaka mitatu hajapewa shoo. Asilimia kubwa wapo very negative about single mothers, kwamba ukiwa nae lazima baba wa mtoto apashe kiporo tu.

Things zingekuwa so easy and straight like that nadhan tusingekuwa na stress. Tungekwepa single mothers ili tusigongewe, tungekimbilia only virgins ili tuwe na amani.

Kama baharia wa nchi kavu na hustles zangu katika hii nchi, nimekutana na mengi sana hadi leo unaponiona. Kuna mtu ukimwambia about kuoa single mother hatokuelewa, ila yupo jamaa ambae ameoa single mother mwenye watoto wawili wa baba tofauti, ila anaishi very peacefull kuliko mshikaji wangu aliyeoa dem bikra, ila kila mwezi wanavikao vya familia kuhusu usuluhishi. Mwingine alikutana na dem 2018 mwishoni akiwa bikra (demu alikuwa anasomea certificate ya ualimu wa primary). Wamedumu since then, ila jamaa juzi kati alipokuja kushika simu ya demu, anagundua dem anamshikaji mwingine karibia na anaposomea, demu huyo huyo wakati yupo field alikuwa anatoka na mshikaji mwingine (kumbuka alikutwa bikra na jamaa ndio aliitoa

Kuna mdau humu kitambo nahisi ni RRONDO kama sijakosea alishawahi kusema "Ukitoa sex katika mahusiano, 90% ya wanawake hawana cha ku ofa, ila pia ukitoa hela kwenye mahusiano, 90% ya wanawake hawana sababu ya kuendelea kuwepo"

Hii statement ukiiangalia kwa haraka ni kama umegusa ukweli kwa kiasi fulani, ila ukisema ucheki uhalisia utakutana na mitazamo tofauti kiasi. Kuna mtu ukimwambia mapenzi bila pesa hayaendi hawez kukuelewa kabisa, maana alipata mpenzi na hatimae akaja kuwa mke kipindi yeye kafulia kichizi. Ila nina jamaa yangu anaamini hela ikiisha na mapenzi yanaisha.

Katika mahusiano mwanamke anaplay vital role zaidi ile ya kuprovide sex tu. Mwanamke anauwezo wa kumshape mwanaume akawa vile atakavyo, na mwanamke anaweza akakufanya uwe better person kuliko ulivyo sasa, swala msingi ni upate mtu sahihi tu, maana naamini SIO KILA KIATU UNACHOVAA KINAKUPENDEZA. Kiatu kinaweza kuwa kizuri, ila kikawa kinakubana, trust me hapo hautakuwa comfortable, utakuwa unachechemea muda wote. Na kikiwa kikubwa kitakufanya uwe slow maana kitakuwa kinavuka ukitembea.

Kuna wadau utasikia wanasema "UKIWA MASKINI KAZI YA KUMLINDA MKE/MPENZI WAKO MUACHIE MUNGU". Ila wengine watasema " We are happy until we get married", hapo hapo yupo atakayesema " Ndoa tamu"

Kipindi mwanamke akiolewa anajifeel secure, mwanaume akioa anajifeel trapped. Ndio maana binafsi kwa upande naamini "There is no template for relationship". Anayempa stress Analyse akiangukia kwa Baba Swalehe au Perimeter watakuwa very happy. Anayemfanya Saint Anne awe happy and charming, siku akianza toka na Karma utakuta wanapeana stress kila siku.

Sio kila anayechepuka anafanya hivyo kwa lengo la tamaa, people are searching for happiness and comfort. Ndoa nyingi life span yake ni 5 years, after that drama huwa zinaanza, wachache sana wanatoboa miaka mingi pamoja.

Huwa naamini LATE MARRIAGES ARE BETTER THAN BAD MARRIAGES. Unajua watu wengi wanaoa for the sake of age and not for the sake of love. Mwingine kipato kidogo tu tayari ashaanza michakato ya kuoa, wala hataki kupoteza muda.

Ninajamaa yangu mmoja, ndani ya mwaka 2019 peke yake, alikuwa na the love of his life wanne, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa tayari kumuoa, ila time hii sidhan hata kama anajua walipo. Hivi unakuwaje na love of your life 4 times in a year?

Haya maswala ya kukimbilia kuoa au kuolewa, yanasababisha mnaoa wanawake wasio wenu, au kuolewa na wanaume wasio wenu then zinafata kauli "I MET MY SOULMATE AFTER GETTING MARRIAGE" . Migogoro inaanza mwishowe ndoa inavunjika. Sasa haraka ilikuwa ya nini? Kila ndoa zinapokuwa na migogoro au kuvunjika, mnatupanikisha ambao bado hatujaoa, tunaanza kuona ndoa ni mtego.

Kuna mdau humu prospilla anaomba ushauri, kwamba baba mkwe wake anachangia kuvunja ndoa yake. Yani wengine ndoa zao zinavunjwa na usaliti, ila ya huyu inavunjwa na dingi (no offence broh). Siumemuona Muuza simu used anatamani kurudi utotoni? Sababu ni mapenzi tu. Au ndugu yangu establishment anauliza namna gani ya kufanya biashara ili mke wake asijue? No offence pia kwako broh, ila how come mwanamke uliyeridhia kuoa akunyime unyumba?

Laiti kama zile chemical bonds tulizokuwa tunasoma kwenye chemia zingekuwa zinasaidia na huku, ndio tungejua kuna bonds nyingi sana tunazifosi ila hazireact kikemikali na hazitakaa zikubali no matter what we try and force.

Alaf naomba niwakumbushe kitu kimoja KUTESEKA AU KUISHI KWA TABU LEO HAIMAANISHI HUKO MBELENI NDIO MAMBO YATAKAA SAWA THEN UTAISHI KWA RAHA. Usipokuwa makini unaweza ishi kwa msoto hadi ile siku unaaga. Uvumilivu unamipaka, ila umakini ni nguzo.

Any way, narudia THERE IS NO TEMPLATE FOR RELATIONSHIPS.

Analyse

#Baharia_wa_nchi_kavu.View attachment 1685054
Nakubaliana na hili bandiko, ila kuna Jambo kama jamii ingebadili mtazamo labda ingesaidia mabinti kupata wenza wao sahihi muda ukifika maana kuna ile social pressure ambayo mabinti wanapitia 25+ kwamba mbona hujaolewa? Mpaka sahivi huna hata mchumba? Inapelekea mdada wa watu aolewe na mtu ambaye hawajajuana vizuri hajui upande wa pili wa mpenzi wake weaknesses, strength etc.... Badae ndio unasikia ndoa chali baada ya muda mfupi
 
una haki ya kujiita Mchanya........ napenda sana mtu anaewaza positive siku zote!


labda kwa kuongezea, watu wanaingia kwenye mahusiano na too much expectation bila kuweka juhudi zao ili kuyafanya mahusiano yao yawe bora!.....

lkn pia kuna tatizo la kutoridhika, mtu akiona ndoa flani imesimama anajua labda ni kwa sababu wana match or ni soulmate and whatever, wakati uhalisia ni watu wameridhika na hali zao, hivyo wamewekeza nguvu na juhudi katika kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo!......


lastly, hatuna mentors kwenye maeneo mengi ya kimaisha including relationships, na hili ni janga kubwa sana mpaka makanisani (kwetu sisi watu wa church)...... mtu anakua yupo yupo tu inafikia hatua anafanya maamuzi hana mtu wa kumwomba ushauri, very sad!.....


Heaven Sent atamalizia......
Tatizo wasiojua wanaongea sana, na wanao jua wapo kimya tu. Wenye uelewa wako busy, na wasio na uelewa ndio wanatoa darasa. Hii inachnagia kuongeza ugumu kwenye sekta ya mahusiano.

Vingi ambavyo inabidi viwekwe wazi, vinafichwa sana. Alaf vinavyostahili kufichwa ndio vinawekwa bayana.
 
Nakubaliana na hili bandiko, ila kuna Jambo kama jamii ingebadili mtazamo labda ingesaidia mabinti kupata wenza wao sahihi muda ukifika maana kuna ile social pressure ambayo mabinti wanapitia 25+ kwamba mbona hujaolewa? Mpaka sahivi huna hata mchumba? Inapelekea mdada wa watu aolewe na mtu ambaye hawajajuana vizuri hajui upande wa pili wa mpenzi wake weaknesses, strength etc.... Badae ndio unasikia ndoa chali baada ya muda mfupi
Late marriages are better than forced marriages
 
Tatizo wasiojua wanaongea sana, na wanao jua wapo kimya tu. Wenye uelewa wako busy, na wasio na uelewa ndio wanatoa darasa. Hii inachnagia kuongeza ugumu kwenye sekta ya mahusiano.

Vingi ambavyo inabidi viwekwe wazi, vinafichwa sana. Alaf vinavyostahili kufichwa ndio vinawekwa bayana.
ni desturi ya wanaojua kukaa kimya, sijui kwanini iko hivi!...... ndio mana nikasema laiti kila kijana angekua na mentor wake jamii hii ingebadilika kwa kiasi kikubwa sana!


ngoja mimi nijitolee kuwa mentor wa Saint Anne ,
 
Back
Top Bottom