There is no template for relationship

There is no template for relationship

Bila bikra hakuna mke Boss.

Hizo zingine ni porojo.

Bikra sio uaminifu kwa mwanamke tuu bali hata uzao wako unakuwa wa baraka
Ila bikra sio kigezo cha mtu kutulia mkuu. Kumbuka hata hao unaokutana nao pia at the beggining walikuwa bikra ila mwisho wa siku waliachana na waliowatoa hizo bikra.... So sababu ni nyingi za ili uhusiano utulie, na inategemea pande zote mbili sio kwa mwanamke tu.
 
Ila bikra sio kigezo cha mtu kutulia mkuu. Kumbuka hata hao unaokutana nao pia at the beggining walikuwa bikra ila mwisho wa siku waliachana na waliowatoa hizo bikra.... So sababu ni nyingi za ili uhusiano utulie, na inategemea pande zote mbili sio kwa mwanamke tu.
Hapo ni kutegemea rehema za Mwenyezi Mungu
 
Tumeelewa mkuu,, Ila pesa ni SI unit kwenye mapenzi
 
Ukiondoa Sex /Mgegedo/kulana/kutiana/kugongana/kutombaner.....hakuna kitu kinachoitwa mapenzi sijui mahusiano katika dunia hii!!.
Mbaya zaidi siku hizi watu wanaoa na kuolewa kwa lengo la kutombaner tu na siyo kuanzisha familia na kujenga kizazi bora kijacho.
Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu maana mkishagegedana mara kadhaa baada ya muda kila mmoja anaanza kuona mwenzake hana jipya ndo hapo sasa kuchepuka kunapoanzia.
Mind in you that binadamu tumeumbwa na Hulka ya kukinai na kuviona tulivyonavyo havina maana Bali tusivyonavyo.
 
Ukiondoa Sex /Mgegedo/kulana/kutiana/kugongana/kutombaner.....hakuna kitu kinachoitwa mapenzi sijui mahusiano katika dunia hii!!.
Mbaya zaidi siku hizi watu wanaoa na kuolewa kwa lengo la kutombaner tu na siyo kuanzisha familia na kujenga kizazi bora kijacho.
Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu maana mkishagegedana mara kadhaa baada ya muda kila mmoja anaanza kuona mwenzake hana jipya ndo hapo sasa kuchepuka kunapoanzia.
Mind in you that binadamu tumeumbwa na Hulka ya kukinai na kuviona tulivyonavyo havina maana Bali tusivyonavyo.
After few years mnachokana au sio? Ila naamini ukiwa na aliyesahihi kwako, kila kitu kitanyooka tu.
 
Back
Top Bottom