There is NO need of Masters Degree for an Entrepreneur

Siku hizi kuna long distance learning huitaji kuwa campus full time..., na it does not mean kwamba Richard Branson angemaliza elimu yake asingefanikiwa..., Kufanikiwa ni Attitude ya mtu alivyo asome au asisome..,

Wasomi wengi huwa hawafanikiwi sababu kubwa ni moja kisomo chao kinawafanya wajione experts na wasichukue idea ya mtu mwingine yoyote (wala hawataki ushauri) wakati money management (hata usiposoma) unaweza ukawa na good team (accountants, lawyers, business advisors etc)..., lakini hii isiwe sababu ya kutokusoma..

Binafsi I love knowledge and I seek it not for the certificates bali ni kuongeza maujuzi..., and if I can manage to get masters why not, If I cant bado its okay..., Masters its like plan B if A fails you can be employed as well...

Nimekupata vizuri sana VOR knowledge ni muhimu, ila katika maisha mtu hutakiwi kuwa wa kujaribu jaribu tu, watu hadi wanazeeka huku wakijaribu mambo hawana huakika na hawajiamini wanayofanya. wewe kama umejipanga kuwa mjasiriamali wa kujenga nyumba na kupangisha mfano au biashara ya restaurant kwanini usijiamini uhitaji tena plan B, waliotoka VOR they had ONE PLAN and stacked to it. Go for plan A only and work hard on it no incases!
 
Nimekupata vizuri sana VOR knowledge ni muhimu, ila katika maisha mtu hutakiwi kuwa wa kujaribu jaribu tu, watu hadi wanazeeka huku wakijaribu mambo hawana huakika na hawajiamini wanayofanya. wewe kama umejipanga kuwa mjasiriamali wa kujenga nyumba na kupangisha mfano au biashara ya restaurant kwanini usijiamini uhitaji tena plan B, waliotoka VOR they had ONE PLAN and stacked to it. Go for plan A only and work hard on it no incases!
Kupangisha nyumba na kufungua restaurant huitaji hata kumaliza darasa la saba.., lakini sio sababu ya wewe kuacha kusoma kama unaweza.., Uzuri siku hizi elimu ni rahisi unaweza ukachukua degree yako kilaini Online bila shida yoyote.

Pili kuna watu wanafanya Consultancy au wanatoa ushauri, kwenye hili the more knowledge you have the better for you (and knowledge is measured by certificates).

Ni kwamba tunapoelekea sio sisi bali watoto wetu sisi ndio products na elimu yetu ndio itakutofautisha wewe na yule.
 
bill gate alitemwa chuo akabuni mradi lakini nenda ndani uone ni jinsigani alivyoajiri jopo la wasomi kufanikisha mradi wake, leo hii reginald .

Mkuu ingawa natoka nje ya mada Bill Gates hakutemwa chuo..., aliona opportunity ambayo angechelewa ingempita yeye na rafiki yake wakaamua kuacha chuo ili waende silicon valley.., wakacapitalise opportunity iliyokuwepo wakati huo. Bill Gates ni kichwa na tangia yuko mdogo alikuwa kichwa.
 
Mkuu ingawa natoka nje ya mada Bill Gates hakutemwa chuo..., aliona opportunity ambayo angechelewa ingempita yeye na rafiki yake wakaamua kuacha chuo ili waende silicon valley.., wakacapitalise opportunity iliyokuwepo wakati huo. Bill Gates ni kichwa na tangia yuko mdogo alikuwa kichwa.

The best direction to ride a horse is the direction in which it's going~
Never try to swim against the tide~

NO 2 people are exactly alike,everyone has got his/her uniqueness....just know your potentials ,,,your brilliance zone..and make use of it effectively.

Work smart,,,work hard.
 
The best direction to ride a horse is the direction in which it's going~
Never try to swim against the tide~

NO 2 people are exactly alike,everyone has got his/her uniqueness....just know your potentials ,,,your brilliance zone..and make use of it effectively.

Work smart,,,work hard.

Mkuu hapa tunachanganya issue...
1. kwanza nimemkumbusha Mkuu kwamba Bill Gates hakuwa mbumbumbu Aliamua kuacha College mwenyewe.
2. Kusoma sio mtaji wa kupata pesa, unaweza kupata pesa bila kusoma ila kisomo kina manufaa yake
3. Capitalism inavyokomaa opportunities zinapungua 90% ya watu inabidi wawe employees au share owners mfano labda miaka kumi nyuma ilikuwa rahisi kuanzisha mtandao wa simu lakini sio sasa.., competition ni kubwa.

4. Kisomo sio kama zamani siku hizi unaweza ukasoma part time wakati unapiga deal zako kama kawaida
5. Even Creativity sio very important unaweza ukatoka kwa kuiga wengine mfano mzuri ni Bongo Star Search (wamecopy na kupaste) na biashara nyingi watu wanaigana

Mwisho utajiri sio akili, kisomo, uchawi wala bahati ni kanuni tu... agalia hapo chini nilishawahi kutoa hii post
https://www.jamiiforums.com/busines...chawi-akili-au-bahati%85-ni-kanuni-tu%85.html
 
Mkuu unaonekana unamatatizo yako binafsi na wanaosoma masters.
Nimeenda mfano pale ud can you believe llm ni wanafunzi 30 na kitu!!! Unavyoizungumzia ni kama watu hawataki kuajiriwa wala kuwa wajasiliamali which is not true, product kubwa ya bachela inaingia sokoni kusaka ajira na kuanzisha biashara, wanao opti kufanya masters ni wachache mno kuliko unavyo dhani tena wengi wao ni wafanyakazi tayari.
Mkuu huo ujasiliamali kila mtu anautaka na hapa kunaswala la utashi na mtaji, mazingira ni magumu mno mkuu.
Mkuu usiwe sana against na masters acha watu wasome swala la kuzeekea darasani si kweli kwani ni miaka 2 tu.
Cha umuhimu hapa ni kuwa uwe hujasoma uwe std 7 au phd holder yeyote anaweza kuwa mjasiliamali na akatoka, wanao soma masters si kwasababu wanataka kuwa wajasiliamali no, wanasoma sababu ni hitaji la jamii kuwa na wasomi wa juu wa kila fani, na kupima mafanikio ya kila jambo kwa pesa sidhani kama utakuwa sahihi.
Thanx vor kuniweka sawa kuhusu bill gate na skonga
 
Hapa wasomi ndo wanapowachanganya watu. Elimu na biashara ni vitu vinavoingiliana. Mtu yuko USA,UK n.k anamshauri mbongo aliye kigilagila na makambako kuwa aitumi digrii moja kufanikiwa. Ivi kwani watu wanarelate shule na utajiri?haiwezekani. Biashara ni nzuri sawa,ila sasa utrionea unamsaidiaje mtu kuishi vizuri? Kama mtu umefanikiwa kwa njia zako,tena zisizo na formula kamili ni kuupotosha umma. Tutafika hatua ata akina Bakhresa waseme digrii achana nayo,maliza la saba uanze biashara,acha mtu ajaribu aone! Nawashangaa watu wanawadanganya vijana mfano wahitimu udsm waachane na ajira rasmi wajiajiri,wanakubali wakati hawana mtaji,hawana security,hawana permanent residence,hawana ofisi eti wanaanza ujasiriamali wakati sijawahi kuona benki yoyote Tanzania inatoa mkopo kuanzisha biashara ndogo ndogo ila watu wanakopa kuendeleza biashara. Wanaishia kukopa mil5 kwa riba kubwa kwa muda mrefu na wanaishia kupata ela ya kula. Upande wa pili mtu anahitimu udsm au chuo chochote tz, anaajiriwa anaanza na mshahara wa laki4.5,baada ya miezi6/probation anakopa 12times gross,anapata mil5 ,riba 3%-7%gross, anawekeza na kumpita mjasiriamali aliyekopa kabla ya miezi6 aliyekopa mainly Saccoss kwa riba 19-25%. Sasa anakuwa na vitega uchumi viwili na mshahara.Na ukiongelea mwenye masters mfano pale audit firms au Std Chartered anakula mshahara above 2.5mil and above. Anakopa 30mil na kuanza kuwekeza. Ktk Tanzania yetu kama ujazaliwa familia bora,security ya kukopa 30mil. and above ukihitimu digree inatoka wapi?je payback yake ikoje?rate of return?je margin? Jamani kama mwenye thread anamshauri maskini wa kitanzania,anamdanganya,kama anamshauri mtoto wa Dc,mkurugenzi,au rc yuko sahihi. Ila fimbo ya mnyonge ya kuanzia ni elimu bora na Initial capital ipo ndani ya first employment,believe or ignore that. Professional education is as good as intreprenuership,unless and until misused. Vijana kamata first degree, kamata masters ukiwa mdogo ,ikiwezekana kamata PhD,alafu anza kuinvest. Ukiwa na shule kama iyo alafu uko below35yrs utaenjoy,tuachane na kuiga,lets practise! Tanzania ina wasanii wengi,kopeni bila viable idea,bila security uje uishie frustration na pressure! Tusiwe kama wanasiasa,yeye anajua kiingreza,kasoma kwa kiingereza,leo anatafuta kupitisha sheria eti tangu la kwanza mpaka vyuo elimu itolewe kwa kiswahili pekee, watajuta! Nashauri Elimu kwanza!
 
Hapa wasomi ndo wanapowachanganya watu. Elimu na biashara ni vitu vinavoingiliana. Mtu yuko USA,UK n.k anamshauri mbongo aliye kigilagila na makambako kuwa aitumi digrii moja kufanikiwa. Ivi kwani watu wanarelate shule na utajiri?haiwezekani. Biashara ni nzuri sawa,ila sasa utrionea unamsaidiaje mtu kuishi vizuri? Kama mtu umefanikiwa kwa njia zako,tena zisizo na formula kamili ni kuupotosha umma. Tutafika hatua ata akina Bakhresa waseme digrii achana nayo,maliza la saba uanze biashara,acha mtu ajaribu aone! Nawashangaa watu wanawadanganya vijana mfano wahitimu udsm waachane na ajira rasmi wajiajiri,wanakubali wakati hawana mtaji,hawana security,hawana permanent residence,hawana ofisi eti wanaanza ujasiriamali wakati sijawahi kuona benki yoyote Tanzania inatoa mkopo kuanzisha biashara ndogo ndogo ila watu wanakopa kuendeleza biashara. Wanaishia kukopa mil5 kwa riba kubwa kwa muda mrefu na wanaishia kupata ela ya kula. Upande wa pili mtu anahitimu udsm au chuo chochote tz, anaajiriwa anaanza na mshahara wa laki4.5,baada ya miezi6/probation anakopa 12times gross,anapata mil5 anawekeza na kumpita mjasiriamali aliyekopa kabla ya miezi6. Sasa anakuwa na vitega uchumi viwili na mshahara.Na ukiongelea mwenye masters mfano pale audit firms au Std Chartered anakula mshahara above 2.5mil and above. Anakopa 30mil na kuanza kuwekeza. Ktk Tanzania yetu kama ujazaliwa familia bora,security ya kukopa 30mil. and above ukihitimu digree inatoka wapi?je payback yake ikoje?rate of return?je margin? Jamani kama mwenye thread anamshauri maskini wa kitanzania,anamdanganya,kama anamshauri mtoto wa Dc,mkurugenzi,au rc yuko sahihi. Ila fimbo ya mnyonge ya kuanzia ni elimu bora na Initial capital ipo ndani ya first employment,believe or ignore that. Professional education is as good as intreprenuership,unless and until misused. Vijana kamata first degree, kamata masters ukiwa mdogo ,ikiwezekana kamata PhD,alafu anza kuinvest. Ukiwa na shule kama iyo alafu uko below35yrs utaenjoy,tuachane na kuiga,lets practise! Tanzania ina wasanii wengi,kopeni bila viable idea,bila security uje uishie frustration na pressure! Tusiwe kama wanasiasa,yeye anajua kiingreza,kasoma kwa kiingereza,leo anatafuta kupitisha sheria eti tangu la kwanza mpaka vyuo elimu itolewe kwa kiswahili pekee, watajuta! Nashauri Elimu kwanza!

Mkuu umesomeka kwa uzuri kabisa
 
Mkuu hapa tunachanganya issue...
1. kwanza nimemkumbusha Mkuu kwamba Bill Gates hakuwa mbumbumbu Aliamua kuacha College mwenyewe.
2. Kusoma sio mtaji wa kupata pesa, unaweza kupata pesa bila kusoma ila kisomo kina manufaa yake
3. Capitalism inavyokomaa opportunities zinapungua 90% ya watu inabidi wawe employees au share owners mfano labda miaka kumi nyuma ilikuwa rahisi kuanzisha mtandao wa simu lakini sio sasa.., competition ni kubwa.

4. Kisomo sio kama zamani siku hizi unaweza ukasoma part time wakati unapiga deal zako kama kawaida
5. Even Creativity sio very important unaweza ukatoka kwa kuiga wengine mfano mzuri ni Bongo Star Search (wamecopy na kupaste) na biashara nyingi watu wanaigana

Mwisho utajiri sio akili, kisomo, uchawi wala bahati ni kanuni tu... agalia hapo chini nilishawahi kutoa hii post
https://www.jamiiforums.com/busines...chawi-akili-au-bahati%85-ni-kanuni-tu%85.html

Originally Posted by Qadhi
The best direction to ride a horse is the direction in which it's going~
Never try to swim against the tide~

NO 2 people are exactly alike,everyone has got his/her uniqueness....just know your potentials ,,,your brilliance zone..and make use of it effectively.

Work smart,,,work hard.

Mkuu VoR,ukinisoma btn the line utaona tuko pamoja,infact nilikuwa nakuunga mkono......there's no general rule ya kutokea.....just follow the basic natural laws of success.

Pia kusema jamaa hawakusoma si sahihi,labda aseme hawakukaa darasani...fuatalia utaona jamaa ni good readers.

Whatever the case....kusoma ni muhimu sana.
 
Mkuu VoR,ukinisoma btn the line utaona tuko pamoja,infact nilikuwa nakuunga mkono......there's no general rule ya kutokea.....just follow the basic natural laws of success.

Pia kusema jamaa hawakusoma si sahihi,labda aseme hawakukaa darasani...fuatalia utaona jamaa ni good readers.

Whatever the case....kusoma ni muhimu sana.
Pamoja Mkuu, Well Said
 
A college or university Masters Degree doesn't guarantee success, but it tends to reduce the incidence of failure, as much as you may know about design, management, scheduling, production and a dozen other skills, if you don't understand how to market yourself, your company and your product, your chance of success is severely constrained
 
Ukisoma historia ya matajiri wengi Duniani hasa Marekani, ni kweli walikuwa drop out wa shule, lakini kitu kingine cha kujiuliza je mfumo wetu unasupport hali hiyo, maanake wao mifumo yao iko wazi, you develop an idea the Governement is there to support you! or the financial institution is there for you, kwa nchi yetu issue iko complicated kidogo nafikiri wewe unafahamu mfumo wa serikali yetu vizuri kuliko hata mie na wa financial institution zetu.
Hivyo basi mtu anapoamua kusoma ni ili aweze kusecure his future of employment na si vinginevyo na kwa sababu mfumo umejengwa hivyo.
Wewe fikiria kila siku Serikali inafikiria kuongeza Vyuoo vikuuu vya nini??? tunataka kuwa na wasomi wenye level ya Degree lakini tunasahau kuna watendaji wengine hawahitaji degree wana hitaji UJUZI TU kutoka VETA na ambao ndo tunawahitaji kwa wingi, kwani hawa ndo watatusaidia kujiajiri wenye bila kutegemea ajira lasimi. Unataka mtu wa kutengeneza maua ya kupamba ndani kwako you don't need a degree holder au vitu vya kawaida ambavyo do vinatumika kila siku unahitaji kuwa na degree holder wa kufanya kazi hizo?? vitu vyote ukiona vinatoka China na vinasambazwa na Machinga ni kichekesho tu, vitu hivyo vinaweza kutegenezwa na watu wetu hawa hawa kutoka VETA na Vyuo kama Dar Tech au Mbeya Tech hawa ndo watu tuliotakiwa kuwazalisha kwa wingi na tungekuwa tunatoa elimu hata ya ujasiliamali BURE kwenye vyuo hivi.
Nchi hapa ndo ingeweza kuendelea kwani Pyramid haliwezi kuwa na base dongo la sivyo halitaweza kusimama imara.

ni kweli kabisa kaka
 
A college or university Masters Degree doesn't guarantee success, but it tends to reduce the incidence of failure, as much as you may know about design, management, scheduling, production and a dozen other skills, if you don't understand how to market yourself, your company and your product, your chance of success is severely constrained

Sure but my point is to effectively use what you have so far. Education is an investment, you cant keep on investing without getting the returns. so the advice to all universities graduates out there is not follow what others are doing but rather follow your dreams and what you capable of. No need for Masters degree for entrepreneurs. #RealTalk
 
Thank you all members for a very good Ideas,threads and contribution, my concern is that myself nilianza ujasiriamali kwa muda mrefu kabla hata ya diploma for about 16 yrs Eng Dip,, then nikaendelea na ujasliamali for about 14 yrs,, B.com then MBA in Finance now am taking PGDEED in UDM,, na nime attend seminar nyingi za kibiashara,,.. ni kwamba kadri biashara yangu ilivyokuwa inaendelea ndivyo nilivyohitaji knowledge zaidi especially Managements and entrepreneurship in modern perspective in short knowledge is power wherever you apply it.. na kila unapoongeza darasa you get new skills and modern and keep you up to date make it easy to apply it even the old one better... Ushauri wangu elimu sio kitu cha kufanya mara moja na kuacha sbb ulishapata it is dynamic wapo watu wanasoma masters esp MBA na kuirudia x2 hata zaidi,,,elimu ni kwa maisha yako yote ilimradi isikuzuie kufanya shughuli yako muhimu, utaratibu wa ODL, executive program ni mzuri sana..
 
Hapa wasomi ndo wanapowachanganya watu. Elimu na biashara ni vitu vinavoingiliana. Mtu yuko USA,UK n.k anamshauri mbongo aliye kigilagila na makambako kuwa aitumi digrii moja kufanikiwa. Ivi kwani watu wanarelate shule na utajiri?haiwezekani. Biashara ni nzuri sawa,ila sasa utrionea unamsaidiaje mtu kuishi vizuri? Kama mtu umefanikiwa kwa njia zako,tena zisizo na formula kamili ni kuupotosha umma. Tutafika hatua ata akina Bakhresa waseme digrii achana nayo,maliza la saba uanze biashara,acha mtu ajaribu aone! Nawashangaa watu wanawadanganya vijana mfano wahitimu udsm waachane na ajira rasmi wajiajiri,wanakubali wakati hawana mtaji,hawana security,hawana permanent residence,hawana ofisi eti wanaanza ujasiriamali wakati sijawahi kuona benki yoyote Tanzania inatoa mkopo kuanzisha biashara ndogo ndogo ila watu wanakopa kuendeleza biashara. Wanaishia kukopa mil5 kwa riba kubwa kwa muda mrefu na wanaishia kupata ela ya kula. Upande wa pili mtu anahitimu udsm au chuo chochote tz, anaajiriwa anaanza na mshahara wa laki4.5,baada ya miezi6/probation anakopa 12times gross,anapata mil5 ,riba 3%-7%gross, anawekeza na kumpita mjasiriamali aliyekopa kabla ya miezi6 aliyekopa mainly Saccoss kwa riba 19-25%. Sasa anakuwa na vitega uchumi viwili na mshahara.Na ukiongelea mwenye masters mfano pale audit firms au Std Chartered anakula mshahara above 2.5mil and above. Anakopa 30mil na kuanza kuwekeza. Ktk Tanzania yetu kama ujazaliwa familia bora,security ya kukopa 30mil. and above ukihitimu digree inatoka wapi?je payback yake ikoje?rate of return?je margin? Jamani kama mwenye thread anamshauri maskini wa kitanzania,anamdanganya,kama anamshauri mtoto wa Dc,mkurugenzi,au rc yuko sahihi. Ila fimbo ya mnyonge ya kuanzia ni elimu bora na Initial capital ipo ndani ya first employment,believe or ignore that. Professional education is as good as intreprenuership,unless and until misused. Vijana kamata first degree, kamata masters ukiwa mdogo ,ikiwezekana kamata PhD,alafu anza kuinvest. Ukiwa na shule kama iyo alafu uko below35yrs utaenjoy,tuachane na kuiga,lets practise! Tanzania ina wasanii wengi,kopeni bila viable idea,bila security uje uishie frustration na pressure! Tusiwe kama wanasiasa,yeye anajua kiingreza,kasoma kwa kiingereza,leo anatafuta kupitisha sheria eti tangu la kwanza mpaka vyuo elimu itolewe kwa kiswahili pekee, watajuta! Nashauri Elimu kwanza!

Mkuu huko sahihi,ebu jiulize mtu ndo wa kwanza kwenye familia kupata dgr na hana mtu yeyote wakumvuta mkono,nyumbani wazee hawana ajira,ndugu wanamtegemea yeye tu alafu unamshauri eti afanye ujasiriamali wala hasisubiri kuajiriwa.Nadhani mtoa mada na wengiwao uwa wanajiangalia wao walivyo alafu wanadhani watu wote wako kama wao.
 
Mkuu huko sahihi,ebu jiulize mtu ndo wa kwanza kwenye familia kupata dgr na hana mtu yeyote wakumvuta mkono,nyumbani wazee hawana ajira,ndugu wanamtegemea yeye tu alafu unamshauri eti afanye ujasiriamali wala hasisubiri kuajiriwa.Nadhani mtoa mada na wengiwao uwa wanajiangalia wao walivyo alafu wanadhani watu wote wako kama wao.

The reason behind the topic is motivation, i think people shouldnt be limited by their situation. we all know in order to make it BIG is through Business
(Note) Steve Jobs was born out of wedlock, put up for adoption at birth, dropped out of college, then changed the world by being innovative. What's your excuse?
 
Mifano ya kina Gates, Jobs etc itawapotosha, ni kweli hawakumaliza shule na ni matajiri sana. Lakini hawa watu ni special cases kwa wanaojua statistics, ukianalyse data hawa ndo huwa tunaita "outliers". Kama wewe uko kama wao then probably follow ur idea quickly.
Ila jambo moja ni kuwa makampuni yao yameajiri wasomi waliobobea sana hata PHDs wengi tu. Kampuni zao zisingefika hapo bila wasomi wakubwa.
Tusijifariji kwa mifano ya watu hao wachache.
 
Ki ukweli elimu ya sasa hivi haina tofauti na Maziangaombwe. Mimi ni mjasiriamali mzuri nahisi sitaweza kuajiriwa tena na mtu yeyote, nakuza biashara yangu najua ipo siku nitakuwa nazungumza na akina yakhe wenye biashara za kueleweka. Watu wote wameng'nga'ania shule mke mume hata watoto hawana mapenzi na wazazi kukicha kazi/shule jamani tunaenda wapi?

Tujaribu na upande mwingine wa shilingi. Hivi wote tukirundikana ofisini nani atauza maji, ubuyu, ukwaju etc?
 
Back
Top Bottom