The World is a flat plane and not a globe

Ukiwa mfuatiliaji wa mambo na kisha ukaufuatilia huu mjadala kwa muda mrefu na kwa kina utagundua kuwa;

1. Hoja kuhusu dunia kuwa tambarare bado ni dhaifu sana.

2. Hazijitoshelezi na zina maswali mengi zaidi yasiyo na majibu.
Hizi hoja ni entry level kwa mtafiti wa flat earth na ni hoja nyepesi zaidi kujibu KWA VITENDO tu. Nenda kando ya bahari, itazame meli mpaka pale inapopotea machoni mwako. Chukua kifaa choochote cha kuweza kusogeza umbali (zoom) mfano kamera yenye nguvu. Tazama tena uelekeo wa meli oale ilipopotea (kuzama kwenye duara) halafu ushangae utakapoiona ikichanja mbuga kama kawaida. Kwa mtindo huu unaweza kuona hata vitu vinavyopaswa kuzama zaidi ya mita mia chini ya bahari lakini vikawa vinaelea mbele yako. Hiyo inaitwa perspective, ni upeo wa macho tu, sio mbonyeo wa dunia.

Gravity ni imaginary, hata wewe huwezi kuielezea. Kuanguka kwa vitu kila viendapo juu ni kutokana na kuwa denser than air. Ndivyo ilivyo kuzama pia. Gravity ni mtazamo wa wanafizikia lakini haina uhalisia

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Ni logic rahisi tu,aliyeweka dome hawezi kushindwa kumtumpa malaika aliyemuumba kwa neno yani "malaika tokea"tena kwa miale ya moto.uumbaji wa supreme power na utendaji kazi waki ni complex na beyond our intelligence its rarely hard or impossible at all to comprehend.

Na naposema MUNGU namaanisha"chochote kile kianzilisha cha vyote ,kilituleta na kitatuondoa"kwahiyo ziwezi hata kwa asilimia moja kuestimate nguvu au chochote kuhusu nguvu hiyo maana nipo within boundaries zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja sio antarctic ni Arctic ambayo ni north pole,kingine angalia report na feedback za "admiral byrd"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli ni jumuiya ya wanasayansi wakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata Majirani zetu wa Kenya mwaka juzi walisema wamerusha Satellite.Lakini hapa wanasema hakuna kitu kama hicho ni minara mirefu tu.Na bado wanao ingia kenya hawajaona huo mnara mrefu uliotundikiwa hiyo satellite!
No satellites on earth because they have no technology to make them hang due to electromagnetic force and they cant resist high temperature at the thermo sphere level according to your levels of atmosphere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SOMA BETWEEN



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na upeo wako wa kuview context between.
Ukiwa mfuatiliaji wa mambo na kisha ukaufuatilia huu mjadala kwa muda mrefu na kwa kina utagundua kuwa;

1. Hoja kuhusu dunia kuwa tambarare bado ni dhaifu sana.

2. Hazijitoshelezi na zina maswali mengi zaidi yasiyo na majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nshajibu hapo juu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo walijua dunia IPO kana Dome,,,,While nyumba zao ziliundw Kwa stratified soil (utope) Kama biscuits ,,,je? Dome ipo Kama biscuits ?
Dome like structure to represent our true nature na hata kama hawakuona ila kuna spiritual connection iliyowaongoza watengeneze shelter katika mfumo huo angalia nyumba zote dunia before era zilijengwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kuwaza alternative structure ya nyumba ili zisihusishwe na hizi mambo...
 
Huwezi kuact au kuota kitu ambacho hakipo.
Hiyo picha ya liukuta na watu wanatoka wakiwa kama wamepanda farasi mbona inafanana kabisa na ya kwenye series ya game of thrones wakiwa wanatoka kwenye great wall? Haijatoholewa huko kweli? Nilikuwa naipenda sana hii series na kuifuatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…