The World is a flat plane and not a globe

Kwahiyo mpaka leo msimamo wenu ni ule ule?[emoji4][emoji4][emoji4]
Sio mpaka leo, yaani mpaka pumzi yangu ya mwisho, ile nakata roho. Sababu sisi tumeshalenga shabaha hata kabla ya Sayansi hii si yenye kutajika.
 
Operation dominic walitumia makombora yakifika yanablurst and since then they knew you cant go out of the dome maybe ulipue and i dont think so angalia hiyo video thats reality.

Hicho kioo thickness yake ni ngapi, kimetengenezwa na material gani?

Kwahiyo rocket zinaruka kutoka duniani kwenda nje ya dunia huwa zinalipuka zikigonga hicho kioo?

Sent using Cash Money Wings


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK NI VIZURI NGOJA NIKUPE HII KAMA MUUMINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo swali la 3 ukipata jibu naomba nitag mkuu.
Pia huwa najiuliza nini chanzo cha earth rotation!? why constant speed!!?

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
Nani alianza kuizungusha hiyo dunia mpk ikapata speed kubwa hivyo?? Na je inaongezeka??
Bado sikubaliani kwamba eti dunia ni kubwa sana mpk hiyo speed yote hatuihisi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kioo thickness yake ni ngapi, kimetengenezwa na material gani?

Kwahiyo rocket zinaruka kutoka duniani kwenda nje ya dunia huwa zinalipuka zikigonga hicho kioo?

Sent using Cash Money Wings
Ngoja jamaa anayeelewa akiona maswali yako atakujibu. Mm najua tu kuwa kasema kuna kioo huko juu kinagombaniwa kuvunjwa.
 
Which Gravity

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…