The World is a flat plane and not a globe

Unachosema wewe sasa kiwe vice Verser,dunia yenu ni conspiracy ndo maana hata einsten aliwaumbua.
Na tatizo ni pale mtu anapobishia kitu chenye proof and evidence na huku anachokiamini yeye ni conspiracy and myth huku akiamini ndio ukweli.

Utakesha hadi pakuche na hatakaa akuelewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umeanza kuwa mvivu kufikiri, unaleta habari za "Kama A ni B na C ni A basi B ni C"

Onyesha usahihi wako uko wapi.
Usahihi wangu huenda huko kwenye huenda yako[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
A, B, C ar in thermo-equilibrium, sielewi thermo dynamics inaendana vipi na nilichoandika[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na tatizo ni pale mtu anapobishia kitu chenye proof and evidence na huku anachokiamini yeye ni conspiracy and myth huku akiamini ndio ukweli.

Utakesha hadi pakuche na hatakaa akuelewe.
Anakwambia anataka kwenda Kariakoo Dar.

Yuko Africana Mbezi Beach. Halafu anaelekea Bagamoyo, Kaskazini.

Ukimuelewesha anakoelekea siko, anakwambia hakuna kaskazini.

Kaskazini kumetungwa na watu ili kuficha shortcut ya kufika Kariakoo Dar es salaam kutoka Mbezi Beach Africana kwa kupitia Bagamoyo mkoa wa Pwani.

Inabidi uone anatania, uachane naye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hey Zurri my understanding level is beyond yours

My instincts are definitely different

Thats why i don't argue

I am going to take my award next year for this

Just be humble all things will be possible for you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay umeuliza kwanini dunia ikizunguka hatuisikii.

Jibu ni kwamba dunia ina-rotate too slowly of which ni rate mdogo sana ya rotation that would be very hard to notice, hivyo you can't feel motion in any way.
Kitu ambacho utakisikia ni acceleration and the Earth isn't accelerating.

Dunia inapozunguka kila kitu kilichokuzunguka kinazunguka at the same speed. Tofauti na ukiwa kwenye gari unalisikia gari linaenda kwa sababu unaona miti inaanza 'kurudi' nyuma lakini kama ingekuwa inahama na wewe pia usingesikia motion kabisa zaidi ya acceleration kutokana na barabara.

Una feel speed ya kitu pale ambapo unaona tofauti kati ya ya speed of two interacting objects.

Tukija kwenye a psysological point of view, wewe una uhakika gani kwamba hauisikii ikizunguka? Kumbuka umezaliwa ukaikuta kwenye hali iliyopo na tangu kuzaliwa umeizoea hii hali hivyo ni ngumu ku notice kabisa.
 
Ukisoma huu Uzi ndio utajua kwanini serikali za Africa huwa zinafunga wapinzani wao na kuwafunga magerezani.

Ukiwa Africa hupaswi kuhoji au kudadisi kinyume na mitazamo ya watu. Mtu amekuja na thread yake ya kupingana kihoja ila watu wanaleta kejeri, vitisho, matusi na ujivuni. Bahati nzuri sijaona hayo kwa mleta mada. Hatuwezi kuendelea Kama tutaendelea kuwa na kizazi kisichohoji.


Hata hao mnaowatetea kufanya tafiti za anga wlaikuwa watu wa kuhoji ndio maana walefikia hapa walipo. Tuache kubezana. Twendeni kwa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panda gari funga macho iwe speed kwenye highway halafu taratibu inakata kona taratibu kama you dont feel that movement of turn utakuwa mnafki like..........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaamini dunia inazunguka basi wewe utakuwa ni juha.

Tena wazungu wanakwambia inazunguka 10,000km/h.

Ni mwehu tu ndo wakuamini haya mambo kama aliyeamini binadamu wa kwanza kaishi miaka milion 3.


Sent using Jamii Forums mobile app

nini kinakufanya usiamini? unaweza kua kwenye basi au treni linaenda 100km/h ukishakua comfortable na ile spidi unaona kama gari halisogei
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…